Siku ya kwanza kupiga story na mzungu

Siku ya kwanza kupiga story na mzungu

kinsman476

Member
Joined
Jun 29, 2026
Posts
14
Reaction score
9
Jana nilitoka zangu kawaida, bila hata kujua kwamba siku hiyo ningekutana na mtu ambaye angenifanya nicheke mpaka nikasahau nilikuwa naenda kufanya nini.

Nikiwa njiani nikamuona mzungu mmoja amesimama pembeni, anaonekana kama amepotea. Nikajiambia moyoni, Kinsman, leo English yako itapimwa.😂

Nikamsogelea nikamwambia, Hello, can I help you?

Akanitazama na kutabasamu, akasema, Yes, please. I’m looking for a good place to eat.

Nikaanza kumwelekeza, lakini ghafla akaniuliza, Are you from here?

Nikacheka nikamwambia, Yes, born and raised.

Akanishangaa akasema, Wow! You speak English very well.

Nikajisikia kama nimepata scholarship. 😂

Nikamuuliza, And you? Is this your first time here?

Akasema, “Yes.”

Nikamuangalia nikasema, “Then you need someone who knows this place.”

Akanicheka akaniuliza, Are you offering to be my guide?

Nikajibu, Maybe… if the price is right.😂

Akaanza kucheka sana.

Tukaendelea kuongea, tukatembea kidogo na kuanza kufahamiana. Kila swali aliloniuliza lilikuwa linanifanya nifikirie jibu zuri zaidi.

Baada ya muda akaniambia, You are actually very interesting.

Nikajiambia moyoni, Kinsman, usiharibu hii opportunity.😂

Lakini kabla sijamjibu, simu yangu ikaita.

Nikaangalia simu, nikamwangalia yeye, halafu nikasema, “Hii story bado ni ndefu sana. Ngoja niipumzishe hapa.

Tutaonana kesho, nitawaambia kilichotokea baada ya simu ile kupigwa... 👀🔥

Ngoja nipumzike kwanza. 😴
 
Kutojua kuongea kiingereza itamkwe kama aina ya ulemavu. Wabongo wengi hawawezi ongea kiingereza kwa dakika 3 mfululizo bila kuchapia. Kwa hapa Tanzania ukinitoa mimi nadhani ni Freeman Mbowe, Mama Samia, Tundu Lissu, Jokate Mwegelo, Esther Bulaya na Nikki wa pili ndo wanaongea kiingereza kilichonyooka.
 
"Kiingereza ni lugha ya kigeni, siyo kipimo cha ulemavu. Mtanzania akichapia Kiingereza si ulemavu — ni changamoto ya mfumo wa elimu. Kiswahili tunakiongea kwa ufasaha wa hali ya juu; hiyo inaonyesha uwezo wetu wa lugha. Hao uliowataja ni vipaji vilivyopata fursa — wapo Watanzania wengi wa kawaida wanakijua Kiingereza vizuri bila kuonekana kwenye TV. Tatizo si uwezo wetu, ni fursa.
Kutojua kuongea kiingereza itamkwe kama aina ya ulemavu. Wabongo wengi hawawezi ongea kiingereza kwa dakika 3 mfululizo bila kuchapia. Kwa hapa Tanzania ukinitoa mimi nadhani ni Freeman Mbowe, Mama Samia, Tundu Lissu, Jokate Mwegelo, Esther Bulaya na Nikki wa pili ndo wanaongea kiingereza kilichonyooka.
 
Jana nilitoka zangu kawaida, bila hata kujua kwamba siku hiyo ningekutana na mtu ambaye angenifanya nicheke mpaka nikasahau nilikuwa naenda kufanya nini.

Nikiwa njiani nikamuona mzungu mmoja amesimama pembeni, anaonekana kama amepotea. Nikajiambia moyoni, Kinsman, leo English yako itapimwa.😂

Nikamsogelea nikamwambia, Hello, can I help you?

Akanitazama na kutabasamu, akasema, Yes, please. I’m looking for a good place to eat.

Nikaanza kumwelekeza, lakini ghafla akaniuliza, Are you from here?

Nikacheka nikamwambia, Yes, born and raised.

Akanishangaa akasema, Wow! You speak English very well.

Nikajisikia kama nimepata scholarship. 😂

Nikamuuliza, And you? Is this your first time here?

Akasema, “Yes.”

Nikamuangalia nikasema, “Then you need someone who knows this place.”

Akanicheka akaniuliza, Are you offering to be my guide?

Nikajibu, Maybe… if the price is right.😂

Akaanza kucheka sana.

Tukaendelea kuongea, tukatembea kidogo na kuanza kufahamiana. Kila swali aliloniuliza lilikuwa linanifanya nifikirie jibu zuri zaidi.

Baada ya muda akaniambia, You are actually very interesting.

Nikajiambia moyoni, Kinsman, usiharibu hii opportunity.😂

Lakini kabla sijamjibu, simu yangu ikaita.

Nikaangalia simu, nikamwangalia yeye, halafu nikasema, “Hii story bado ni ndefu sana. Ngoja niipumzishe hapa.

Tutaonana kesho, nitawaambia kilichotokea baada ya simu ile kupigwa... 👀🔥

Ngoja nipumzike kwanza. 😴
Ulijitahid hata ivo maana mlielewana vizur tu,watu tunaogopaga kuongea Brocken jaman,unataman kuongea lakin huamin kama utaeleweka
 
Vema sana.Nikiwa nawaza kwa kiingereza huwa kinakuwa na ukubwa wa nyangumi.Ila,nikianza tu kukiongea kinakonda sana hadi kufikia usawa wa sisimizi.
NB;Msimuliaji acha uvivu.Kuandika kidogo tu unataka "upundhike"!?
 
Part2

Baada ya simu ile kupigwa, nilimuomba yule mzungu dakika moja.

Nilipomaliza kuongea, nikarudi kwake.

Akanitazama akasema, “Everything okay?”

Nikamuambia, “Yeah, everything is fine.”

Akatabasamu, halafu akaniuliza, “So, where were we?”

Nikacheka nikamwambia, “You were telling me that I’m interesting.”

Akasema, “Exactly. Actually, I wanted to ask you something.”

Nikajiambia moyoni, “Hapa sasa kuna kitu.” 😂

Nikamuuliza, “What is it?”

Akaitoa simu yake, akanionyesha picha kadhaa za vitu alivyokuwa akivifanyia kazi.

Nikazitazama kwa makini, nikasema, “I can help you with that.”

Akaninyamaza kwa sekunde chache, halafu akaniuliza, “Are you serious?”

Nikajibu tu, “Very serious.”

Akasema, “How much would you charge?”

Hapo nikatabasamu kidogo.

Sikutaka kumwambia bei haraka, nikamwambia, “First, let me understand exactly what you need.”

Akanitazama na kusema, “I like the way you think.”

Tukaendelea kuzungumza kwa muda, na kadiri tulivyoendelea, ndivyo nilivyoanza kugundua kwamba huyu mtu hakuwa amekuja hapa kwa ajili ya kula tu.

Alikuwa anatafuta mtu wa kufanya naye kazi.

Kabla hatujaachana, akanipa simu yake.

Akasema, “Send me your details tonight. I may have something bigger for you.”

Nikachukua namba yake nikasema, “Okay, I will.”

Tukaagana.

Nilipoanza kutembea nikajiambia mwenyewe, “Kinsman, hii inaweza kuwa mwanzo wa kitu kikubwa.” 😂🔥

Lakini nilipofika nyumbani, nikakuta message yake tayari imeingia...

Ilikuwa na maneno machache tu:

“Are you available tomorrow?”

Nikaitazama message ile nikatabasamu.

Nikajiuliza, “Kesho tena? Sasa huyu anataka nini?” 👀

Hapo ndipo nilipoanza kuhisi kwamba hii deal inaweza kuwa serious...

Lakini hayo nitawaambia kesho.

Tutaonana kesho, ngoja nipumzike kwanza. 😴🔥
 
Part2

Baada ya simu ile kupigwa, nilimuomba yule mzungu dakika moja.

Nilipomaliza kuongea, nikarudi kwake.

Akanitazama akasema, “Everything okay?”

Nikamuambia, “Yeah, everything is fine.”

Akatabasamu, halafu akaniuliza, “So, where were we?”

Nikacheka nikamwambia, “You were telling me that I’m interesting.”

Akasema, “Exactly. Actually, I wanted to ask you something.”

Nikajiambia moyoni, “Hapa sasa kuna kitu.” 😂

Nikamuuliza, “What is it?”

Akaitoa simu yake, akanionyesha picha kadhaa za vitu alivyokuwa akivifanyia kazi.

Nikazitazama kwa makini, nikasema, “I can help you with that.”

Akaninyamaza kwa sekunde chache, halafu akaniuliza, “Are you serious?”

Nikajibu tu, “Very serious.”

Akasema, “How much would you charge?”

Hapo nikatabasamu kidogo.

Sikutaka kumwambia bei haraka, nikamwambia, “First, let me understand exactly what you need.”

Akanitazama na kusema, “I like the way you think.”

Tukaendelea kuzungumza kwa muda, na kadiri tulivyoendelea, ndivyo nilivyoanza kugundua kwamba huyu mtu hakuwa amekuja hapa kwa ajili ya kula tu.

Alikuwa anatafuta mtu wa kufanya naye kazi.

Kabla hatujaachana, akanipa simu yake.

Akasema, “Send me your details tonight. I may have something bigger for you.”

Nikachukua namba yake nikasema, “Okay, I will.”

Tukaagana.

Nilipoanza kutembea nikajiambia mwenyewe, “Kinsman, hii inaweza kuwa mwanzo wa kitu kikubwa.” 😂🔥

Lakini nilipofika nyumbani, nikakuta message yake tayari imeingia...

Ilikuwa na maneno machache tu:

“Are you available tomorrow?”

Nikaitazama message ile nikatabasamu.

Nikajiuliza, “Kesho tena? Sasa huyu anataka nini?” 👀

Hapo ndipo nilipoanza kuhisi kwamba hii deal inaweza kuwa serious...

Lakini hayo nitawaambia kesho.

Tutaonana kesho, ngoja nipumzike kwanza. 😴🔥
Probably
 
siku ya kwanza kuongea kingereza na mzungu nilikuwa na jamaa yangu ferry tunasubiri pantoni, kushoto kulia nikaona kimzungu kimevaa begi kubwaa kikanisogelea. Jamaa angu akaniambia oya upo na mzungu hapo na mm nilivyogeuka kumuangalia mzungu fresh, mzungu akalianzisha..

mzungu; hello
mim; Hello, how are you?
mzungu; I'm fine, excuse me can I ask you a thing?
mimi; sure
Mzungu aliuliza kama pantoni linapiga kazi masaa 24 au laah
mimi nikajibu, I dont think so! lakn kwenye utamkaji nilikaza ulimi nikasema i dont sinki so! 😁

Jamaa angu pembeni akadakia akasema sinki deep my man 😁

nikamjibu jamaa angu kwa kumuuliza, who said I'm sinking pashale 😁

nikarudisha macho kwa mzungu naona mzungu yupo serious sana ni kama alikuwa anasubiri majibu ya maana kutoka kwa kilaza mimi,

Basi na hapahapo umakini ukapotea konfidence ikakata, pantoni likaja nikampotezea mzungu as if sikuwa naongea nae.

Hii ilitokea kipindi nimemaliza form 4 nilikuwa nazurula sana nikisubir majibu ya pepa.
 
Kutojua kuongea kiingereza itamkwe kama aina ya ulemavu. Wabongo wengi hawawezi ongea kiingereza kwa dakika 3 mfululizo bila kuchapia. Kwa hapa Tanzania ukinitoa mimi nadhani ni Freeman Mbowe, Mama Samia, Tundu Lissu, Jokate Mwegelo, Esther Bulaya na Nikki wa pili ndo wanaongea kiingereza kilichonyooka.
Kuna ofisi ya umma niliwahi kutembelea,hadi boss wa hiyo office hajui English
 
Back
Top Bottom