sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Hongera mwaya kwa kujijali kiafya na kuepuka neno la "ninge" lisikusumbue maishani.
Mimi kiukweli na sarakasi zangu kibaao mpk leo ila sijawahi kbsaaaa nunua narushaga mpra upande wa pili kwa kumwambia uje nayo mimi ninamambo mengi.....
Teh teh...
Sasa akigoma kuja
Nayo inakuwaje? Hapati game