Siku ya kwanza kununua Condom

Siku ya kwanza kununua Condom

Aisee kwakeli nilienda wilaya tofauti umbali kidogo naninapo ishi ila niliingia phamarcy ambayo ilikuwa inauzwa na mwanaume....nikanunua changu nikasepa

Tupo wengi sana kumbe
 
Haya mambo we acha tu!, ww km ni mwenyej wa mkoa wa mby. Mm nilikuwa natoka airport naenda mbaliz au uyole kununua cdm. Huu ujinga sitausahau kabisa!, mapenz shida tupu

Dah mwanangu mm pia mara ya kwanya ni hapo mbeya ukizingatia me nilikua c mwenyeji xaana hapo xo ilikua kaz nyepesi japokuwa nilienda ucku kama xaa3 iv
 
Dah mwanangu mm pia mara ya kwanya ni hapo mbeya ukizingatia me nilikua c mwenyeji xaana hapo xo ilikua kaz nyepesi japokuwa nilienda ucku kama xaa3 iv

Tatizo langu Mm sura yangu inafahamika karibia kila kona, ikawa inanilazimisha kwenda mbali na mji. Pumbavu mapenzi!
 
Analyse

Sasa wewe unatumia condom halafu unajiita kweli Mwanaume au Shujaa? Mwanaume asiyetumia condom katika tendo lolote la Ndoa hata uwezo wake wa KUFIKIRI ni MKUBWA, MZURI na ULIOTUKUKA kushinda wale wanaopenda kutumia ambao 99.999% huwa ni GOIGOI KICHWANI na hata Tendo lenyewe HAWAJUI KULIFANYA IPASAVYO. Kweli Wewe POYOYO yaani ujanja wote huo kumbe UNATUMIA condom? Umeniangusha na kunipandisha sana hasira kwani kwa kutumia kwako condom UNATUKOSESHA viongozi Wazuri wa baadae wa Taifa hili hasa baada ya Dr. Magufuli kumaliza ngwe yake hapo 2025.

yalaaaah toba mbavu zangu mm
 
Last edited by a moderator:
Sana mkuu hapa umegusa wengi sana...yaani
hii nisawa na kina dada kununua pedi za siku zao..wengi huwa
wanakuwa na kigugumizi kama cha vidume kwenye
condom....

Hha yanii ulivyosema pedi umenikumbusha mbali sana
Mara yangu ya kwanza nilitetemeka balaa afu muuzaji alikua mwanaume yanii acha tu
Nilifika pale dukani nikakuta kuna watu wengi nikajifanya nimeaahau kitu nyumbani
nikarudi mpk nyumbani nikaanza kujilaum tena
Nikarudi mara ya pili hapo nimekaza moyo balaa yanii hata kutamka neno pedi ilikua kwa shida sana huku jasho mikononi mpaka kupata nilichopata ilikua kazi kweliii
 
hahahahaha!!!!!!!Nakumbuka Mimi siku ya kwanza nilimtuma mdogo wangu Akaninunulie akaenda sasa Aliporudi Akanikuta nimekaa na Mama pamoja na Dada Zangu sasa yeye badala ya kuuchuna Yeye si Akanipa kwa kunirushia nilipotaka kuzidaka nikazikosa zikaanguka chini na kutoka kwenye kalatasi.. Nilitimua mbio huku nikiacha songombingo kwa dogo

hahahaha mkuu umenchekesha sana duh hyo noma
 
Jf bwana!!
Mimi kwa mara ya kwanza nilimkuta dada wa makamo kidogo kwenye duka la bidhaa mchanganyiko. Foleni haikatiki na muda unakwenda nikamuuliza, DADA YULE BINTI YAKO SALAMA YUPO ANILETEE MAJI YA KUNYWA??
Alinipata na kunijibu kuwa amemtuma kwa bibi yake. Nilisepa na mzigo nikasamehe.
Hahahaaah hii Kali....
 
Hahaaaaa...kumbe nanyi kwenye pedi mnashikwa
na kwikwi kama vidume kwenye ndomu....
haya mambo ni kote kote . Nimependa ushuhuda wako
juu ya ishu ya pedi.

Hha yanii ulivyosema pedi umenikumbusha mbali sana
Mara yangu ya kwanza nilitetemeka balaa afu muuzaji alikua mwanaume yanii acha tu
Nilifika pale dukani nikakuta kuna watu wengi nikajifanya nimeaahau kitu nyumbani
nikarudi mpk nyumbani nikaanza kujilaum tena
Nikarudi mara ya pili hapo nimekaza moyo balaa yanii hata kutamka neno pedi ilikua kwa shida sana huku jasho mikononi mpaka kupata nilichopata ilikua kazi kweliii
 
Hahah mi kiwembe tu nakigugumizi sembuse hiyo kitu.
 
Ulichukua mmojawapo kutoka hapo pharmacy???

nilichukua mmoja niliwazuga kuwa haikuwa nia yangu kuja kununua condom ilikuwa ni njia raisi kwangu kuwaambia shida yangu wakanielewa wote nikaja kuwagonga
 
mimi mpatja leo ninamiaka 27 nikikuta m2 dukani simezi nunua mpaka waishe na siwezi nunua mitaa ya nyumbani kwa mfano mimi naishi mkuu rombo condom nanunua mamsera au mwika
 
Back
Top Bottom