funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,650
- 21,522
Kwa hiyo siku hizi ukichepuka unaona kawaida tu
Ashakuwa mkubwa hawezikulia tena kwa mambo ya kitoto
Kwa hiyo siku hizi ukichepuka unaona kawaida tu
Umelelewa kwenyw familia za rozari na kristu mstakatifu.Kwa nini?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] mbavu zangu,kama wewe ni wa mwembechai yawezekanaIla ulinipa hasira sana siku ile, nakupiga kimoja halafu unakimbia... sasa kwa taarifa yako ile hela uliyonirudishia nilienda kuchukua voda fasta mpaka kukakucha...
Mama S za jumapili?Halaf we mwanaume gani sijui,mfyuuu natukanwa humu hata kupiga watu huweziii halaf nikupendee
Ukiwa mchepukaji mzoefu walaaaa nafsi haikusuti.Mtu anayekupenda ukimsaliti lazima nafsi ikusute haswaaa.
Baada ya jamaa nilimpenda mpaka kumtolea machozi kunifanyia mbaya,sikutoa machozi tena baada ya kumpata mwingineSiku ya kwanza kuchepuka ulitoa machozi...vipi siku ya pili na ya tatu ilikuwaje...malizia story yote[emoji3][emoji3][emoji3]
Ninachouliza ni kwenye kuchepuka. Je michepuko iliyofuata (sio lazima iwe na huyo huyo) uliendeleza tabia ya kulia?Hatukuendelea
Wenye ndoa peke yao wakienda kinyume na wenza wao ndo huwa wanachepuka,kwa kuwa papuchi na gegedeo vimemilikishwa kisheria na mamlaka zinatambua!!Ndo maana kama umeoa/umeolewa halafu mwenzako hakupi tendo unaweza kwenda kushitaki!!Hivyo ndoa pekee ndo njia kuu hayo mahusiano mengine ni holela tu na uzinifu!!Kwani ukiwa na mpenzi,huyo si ndo mtu wako,ina maana ikitokea ukawa na mtu mwingine hapo utakuwa umemsaliti it means umechepukaaa,au unamaanisha mpaka ndoa ndo kuchepukaa?
JF kubwa hii bibie kwani kwenye avatar kuna address ya mtaa mtu unapoishi? Anyway nakutania tu lakini.. ila hukufanya powa kabisa..... kitendo kama hiki kwangu adhabu yake ni ya kumwaga mtu damu ama kupelekea mauaji.[emoji3] [emoji3] [emoji3] mbavu zangu,kama wewe ni wa mwembechai yawezekana
Hahahaha...asiwe yule jamaa alikuja na thread anadai kamnani demi hadi kamrudishia pesabasi jamaa alijua kaku.....mpaka umekimbia
Wewe mwenyewe jina lako halina tafsida na linanyegesha!kweli nyani...Ina maana huna tafsida? mambo gani haya kunyegeshana asubuhi?.. sio powa
Hahaha. Yule uliyependa alikutenda nini?Sikuendelea kulia,kwanza niliona wanaume hawapendeki
[emoji3] [emoji3] [emoji3] makubwa,ufanye mauaji pasipopendeka jamani,kama ulionja siku hiyo shukuru,tafuta mwingine tenaaJF kubwa hii bibie kwani kwenye avatar kuna address ya mtaa mtu unapoishi? Anyway nakutania tu lakini.. ila hukufanya powa kabisa..... kitendo kama hiki kwangu adhabu yake ni ya kumwaga mtu damu ama kupelekea mauaji.
Kwa hiyo unataka upendwe wewe tuu?? PekeyakoSikuendelea kulia,kwanza niliona wanaume hawapendeki
Tena jamaa ameshapenyeza mkuyange kabisa....(hapo ni kujisemea sasa ameshapiga bao moja na kunifahamu maungo yangu..acha nijiondokee nazo tu hizi ela maana haifuti doa aliloweka)...ila inaonekana kama alipewa fedha kabla ya tukio maana alivaa na kuchukua mkoba na ela akamrushiaWe utakuwa unatokea kigoma au sijui wapi?? Mdada Wa mjini aache pesa?? Haiwezekani kabisa.