Hao ndo wale ma last born wachagua kaziUhalisia upi unaotaka ww wakati mm mwenyewe nafanya mishe hiyo so naongea kitu ambacho nakielewa 100% usiwe na roho ya uchawi ya kukatisha watu tamaa wakati ktk bolt kulaza hiyo pesa ni jambo la kawaida na endelea kutembeza bahasha katika maofisi ya watu kila siku huku ukipewa tumaini hewa
Muhimu kutega sehemu ambayo nauli ya chini buku 2 na pana mzunguko mkubwa wa wateja vuka hata posta kuleYaah nipo dar mkuu kigamboni
Hizo ni baadhi tu ya earnings ktk siku za hivi karibuni
Kumbe upo kigamboni, avatar inasadifu " keep change"Yaah nipo dar mkuu kigamboni
Mkuu asante sana. Tupige kazikaziHizo ni baadhi tu ya earnings ktk siku za hivi karibuni
Hongera mkuu hatua kubwa hiyo...Avatar iko bomba,ni wewe huyo?
Hongera, itapata pia mademu wa kugonga...Ni matumaini yangu mpo salama wote. Baada ya kusota mtaani kwa miaka miwili tokea kumaliza degree yangu nimefanikiwa kujikusanya na kupata kapesa kidogo.
Baada ya kuwaza sana nimeona ninunue pikipiki kwaajili ya biashara ya bodaboda ambayo nataka niifanye mimi mwenyewe.
Hatimaye kila kitu kimekamilika naomba msaada wa mawazo siku ya kwanza kwenda kijiweni, je unaenda kijiwe chochote unachoona kinafaa au kuna utaratibu wa kufuata ili uwe member wa kijiwe fulani?
Karibuni kwa mawazo na ushauri wenu.
Asante.
Bado mafuta
Mkuu nimeku PMMkuu kama upo Dar kajisajili bolt hakika utaona mambo mqazuri wala huna haja ya kwenda kuomba kijiwe abiria unapata online swala la kulaza 30k au 40k na kuendelea ni jambo la kawaida cha muhimu pkpk yako iwe na bima,kadi,pleti namba nyeupe,latra zamani ilikuwa inaitwa Sumatra na leseni hai ya kuendesha chombo husika then nenda ofisini kwao pale jengo la victoria place unasajiliwa bure kabisa
Mkuu nimeku PM
Nshakutumia namba zanguMkuu nimeku PM
Nakushauri ukiweza unaweza ku-park kariakooYaah nipo Dar mkuu Kigamboni