Mr Samba
Member
- Dec 6, 2018
- 35
- 99
Ni matumaini yangu mpo salama wote. Baada ya kusota mtaani kwa miaka miwili tokea kumaliza degree yangu nimefanikiwa kujikusanya na kupata kapesa kidogo.
Baada ya kuwaza sana nimeona ninunue pikipiki kwaajili ya biashara ya bodaboda ambayo nataka niifanye mimi mwenyewe.
Hatimaye kila kitu kimekamilika naomba msaada wa mawazo siku ya kwanza kwenda kijiweni, je unaenda kijiwe chochote unachoona kinafaa au kuna utaratibu wa kufuata ili uwe member wa kijiwe fulani?
Karibuni kwa mawazo na ushauri wenu.
Asante.
Baada ya kuwaza sana nimeona ninunue pikipiki kwaajili ya biashara ya bodaboda ambayo nataka niifanye mimi mwenyewe.
Hatimaye kila kitu kimekamilika naomba msaada wa mawazo siku ya kwanza kwenda kijiweni, je unaenda kijiwe chochote unachoona kinafaa au kuna utaratibu wa kufuata ili uwe member wa kijiwe fulani?
Karibuni kwa mawazo na ushauri wenu.
Asante.