Siku ya kwanza kijiweni kama dereva bodaboda

Mr Samba

Member
Dec 6, 2018
35
99
Ni matumaini yangu mpo salama wote. Baada ya kusota mtaani kwa miaka miwili tokea kumaliza degree yangu nimefanikiwa kujikusanya na kupata kapesa kidogo.

Baada ya kuwaza sana nimeona ninunue pikipiki kwaajili ya biashara ya bodaboda ambayo nataka niifanye mimi mwenyewe.

Hatimaye kila kitu kimekamilika naomba msaada wa mawazo siku ya kwanza kwenda kijiweni, je unaenda kijiwe chochote unachoona kinafaa au kuna utaratibu wa kufuata ili uwe member wa kijiwe fulani?

Karibuni kwa mawazo na ushauri wenu.

Asante.
 
Bodaboda wana utaratibu wao na utatakiwa kulipa ada ya kiingilio. Ukizingua wanakwambia tumejaa ila kwa Dar unaweza kutega mingo popote sema baadhi ya vijiwe kama hawakufahamu watakumaindi.

Baadhi ya vijiwe kuna ada ya kiingilio ya dereva na ada ya honda lako

Katege mitaa ya Mlimani City kama upo Dar pale nauli ya chini kabisa buku 2
 
Mkuu kama upo Dar kajisajili bolt hakika utaona mambo mqazuri wala huna haja ya kwenda kuomba kijiwe abiria unapata online swala la kulaza 30k au 40k na kuendelea ni jambo la kawaida cha muhimu pkpk yako iwe na bima, kadi, pleti namba nyeupe, latra zamani ilikuwa inaitwa Sumatra na leseni hai ya kuendesha chombo husika then nenda ofisini kwao pale jengo la victoria place unasajiliwa bure kabisa.
 
Mkuu kama upo dar kajisajili bolt hakika utaona mambo mazuri wala huna haja ya kwenda kuomba kijiwe abiria unapata online swala la kulaza 30k au 40k na kuendelea ni jambo la kawaida cha muhimu pkpk yako iwe na bima, kadi, pleti namba nyeupe, latra zamani ilikuwa inaitwa Sumatra na leseni hai ya kuendesha chombo husika then nenda ofisini kwao pale jengo la victoria place unasajiliwa bure kabisa
Naunga mkono HII HOJA fanya alichokushauri jamaa hutojuta mkuu na pkpk hivyo mpya utapiga ela kichizi
 
Bodaboda wana utaratibu wao na utatakiwa kulipa ada ya kiingilio...ukizingua wanakwambia tumejaa ila kwa Dar unaweza kutega mingo popote sema baadhi ya vijiwe kama hawakufahamu watakumaindi.

Baadhi ya vijiwe kuna ada ya kiingilio ya dereva na ada ya honda lako

Katege mitaa ya Mlimani City kama upo Dar pale nauli ya chini kabisa buku 2
Yaah nipo Dar mkuu Kigamboni
 
Mkuu kama upo dar kajisajili bolt hakika utaona mambo mazuri wala huna haja ya kwenda kuomba kijiwe abiria unapata online swala la kulaza 30k au 40k na kuendelea ni jambo la kawaida cha muhimu pkpk yako iwe na bima,kadi,pleti namba nyeupe,latra zamani ilikuwa inaitwa Sumatra na leseni hai ya kuendesha chombo husika then nenda ofisini kwao pale jengo la victoria place unasajiliwa bure kabisa
Wazo zuri sana mkuu,, shukran sana hili nitalifanyia kazi kwa ukaribu sana🤝🤝
 
Mkuu kama upo dar kajisajili bolt hakika utaona mambo mazuri wala huna haja ya kwenda kuomba kijiwe abiria unapata online swala la kulaza 30k au 40k na kuendelea ni jambo la kawaida cha muhimu pkpk yako iwe na bima,kadi,pleti namba nyeupe,latra zamani ilikuwa inaitwa Sumatra na leseni hai ya kuendesha chombo husika then nenda ofisini kwao pale jengo la victoria place unasajiliwa bure kabisa
Aisee, umeongea kirahisi sana tofauti na 'reality' ilivyo
 
hongera mkuu kama unataka kijiwe cha mtaa na huna connection basi ujue kuna gharama utahitajika kutoa. Mimi mwenyewe ni bodaboda huku kitaa kwetu, mwanzoni walikuwa wananimaindi ila niliongea na wakongwe wakapitisha hakuna boda kunisumbua. Boda ina pesa ila unatakiwa kuwa mvumilivu na makini sana na kuweka tamaa nyuma.
 
aisee, umeongea kirahisi sana tofauti na 'reality' ilivyo
Uhalisia upi unaotaka ww wakati mm mwenyewe nafanya mishe hiyo so naongea kitu ambacho nakielewa 100% usiwe na roho ya uchawi ya kukatisha watu tamaa wakati ktk bolt kulaza hiyo pesa ni jambo la kawaida na endelea kutembeza bahasha katika maofisi ya watu kila siku huku ukipewa tumaini hewa
 
Back
Top Bottom