Siku ya Kifo Changu

Kwenye mali za baba yao? Hawakuambulia hata soks hata kijiko. Yuko mtoto wa nje ya ndoa ndo alijimilikisha vyote.

Hawa watoto wa nje ya ndoa ni hatari.

Nazidi kumngojea Mungu aje aamue mwenyewe.

Inasikitisha sana
 
Kwenye mali za baba yao? Hawakuambulia hata soks hata kijiko. Yuko mtoto wa nje ya ndoa ndo alijimilikisha vyote.

Hawa watoto wa nje ya ndoa ni hatari.

Nazidi kumngojea Mungu aje aamue mwenyewe.
Ilikuwaje wewe na watoto mkafanyiwa hivyo?
 
Sawa ila hakuna anaekufa hajaridhiwa Na Mola. Hayo maneno mengine ni Faraja ya insecurities Tu
Kuridhiwa na Mola maanayake... Nife nikiwa. Mtu mwema...
Kuna watu wakifa... Watu wanacelebrate...kwa jinsi walivyokuwa waovu
 
Mimi ndio nasema. You are not required to quote any verses from scriptures.
Si wewe tu,
Hayupo yeyote mwenye Haki Wajibu wala Mamlaka ya kumpangia/kumshurutisha/kumkatalia mwingine yeyote kufanya chochote apendacho achilia mbali kunukuu maneno matakatifu katika hali ambayo si ya dhihaka au dharau ya maandiko husika.
Sijui umenielewa?

Nami ninesema.
 
You need a WILL Mkuu that diary note book is not sufficient enough to protect your assets for your loved ones. Hyenas will be there to steal from your family.
 
Kwa uandishi wako tu, it is obviously wewe ni MJINGA. I advise you to go and read Common Mistakes in English.
Sawa bingwa wa 'common mistakes' :

Jitafakari;
Tunasema,
Do you go to school?
Au,
Do you go to schooling?

Unamdhalilisha mwalimu aliekufundisha English Darasa la Tatu.

Mimi mjinga?
Hujakosea, ninajifunza kila uchao.

Nitafutie tusi zurizuri lingine.
 
Nikifa tumali twangu..wapewe watoto wahitaji.

Nizikwe katika uwanja wa nyumbani kwetu au hata makaburi ya chan'gombe.. sitaki kuzikwa kijijini kwa baba.. sitaki yanikute Kama yalivyo mkuta marehemu Mama yangu maiti yake ilivyosuswa kuzikwa na upande wa Mume wake.
 

Nimeshasema huruhusiwi ku quote verse yoyoye ya kitabu cha dini humu. Ukitaka kufanya hivyo nenda kafungue uzi wako. Hatuwezi kuzungukwa na kondoo
 

Pole sana, kwanini alisuswa?
 
You need a WILL Mkuu that diary note book is not sufficient enough to protect your assets for your loved ones. Hyenas will be there to steal from your family.

We need a WILL. I already have

Je, ungependa nini usifanyiwe siku ya kifo chako ? Don’t afraid brother, this is just a hard talk, because one day, it will be true
 
Did I say anything about being afraid? Please show me that line. Don’t put words in my mouth.
We need a WILL. I already have

Je, ungependa nini usifanyiwe siku ya kifo chako ? Don’t afraid brother, this is just a hard talk, because one day, it will be true
 
Kuridhiwa na Mola maanayake... Nife nikiwa. Mtu mwema...
Kuna watu wakifa... Watu wanacelebrate...kwa jinsi walivyokuwa waovu

Hakuna anaekufa akiwa mtu mbaya, ni perspectives zako za maisha and I respect that. Watu hufa wakati muda wao wa kufa ukifika.

Leo hii mtu akifia guest na kimada, anaonekana ni mdhambi...., Na Yule aliyefia Hospitali ataonekana Okay. Hii ni mtazamo mbaya wa Judgemental pasipo kuwa na ithibati yoyoye juu ya Dhana na ni miongoni mwa mafundisho ya hovyo yaliyotamalaki.

Kama tungekuwa tunauwezo wa ku control our destiny, hakuna ambae angekubali kufa akiwa kijana au kufia kwa kimada . Kila mtu angetamani afie kanisani au msikitini whatsoever....

So kusema kwamba nife kifo Chema au nikiwa mwema it is useless for as long as Huna control.

Ukifia kwenye shimo la choo it’s okay , ukifia guest it is okay , ukifia bar it is okay that was your destiny na hakuna mtu mbaya au mwema bali kuna watu ambao wamekuwa huru and honesty kuchagua njia za maisha yao .
 
Nimeshasema huruhusiwi ku quote verse yoyoye ya kitabu cha dini humu. Ukitaka kufanya hivyo nenda kafungue uzi wako. Hatuwezi kuzungukwa na kondoo
Mimi nasema huwezi kumpangia mtu.
yeyeto akijisikia a-quote tu.

Nami nimesema.
 
Dadrekii
 
Kula bata sasa
 
The thread is scary! Hata sitaki kuwaza juu ya kifo changu..
 
Kutoka Uvungu wa Moyo wangu

Natamani sana kufa kijana, sipendi nife niumweeeeeeee weeeeeeeeee. Naumwa siku 3 au 5 then Unalala kayika Bwana

Unajua Duniani Salama kwa wakosa rehema, ukuwa unaabudu Mungu kweli huwezi penda maisha ya Tabu ya dunia hii asee.

Siku nakata roho naagana na dunia hii aseeee Naingia Maisha ya kutokufa(tunayofunzwa) nitafurahi sanaaa.

Hata uwe na hela kiasi gani Maisha hayana maana wala shukrani

DUNIANI TABU SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…