Siku ya Kifo Changu

Siku ya Kifo Changu

Ndugu zangu wote na marafiki zangu wote wanajua kuwa siku ya kufa kwangu nizikwe kwa kutumia kitanda ninacholalia na mke wangu. Fedha ya jeneza mnunulieni kitanda kipya na godoro. Wekeni pilo ya pili kando yangu ili akifa mfungue kaburi mmlaze tu hapo kando mrudishie mfuniko.

Kaburi natarajia kulichimba na kulijengea mwenyewe tiyari kwa maziko yangu
 
Ndugu zangu wote na marafiki zangu wote wanajua kuwa siku yakufa kwangu nizikwe kwa kutumia kitanda ninacho lalia na mke wangu. Fedha yajeneza mnunulieni kitanda kipya na godoro. Wekeni pilo ya pili kando yangu ili akifa mfungue kaburi mmlaze tu hapo kando mrudishie mfuniko.
Kaburi natarajia kulichimba na kulijengea mwenyewe tiyari kwa maziko yangu
Unajitabiria kufa, kifo kitakufuata badala ya kumuomba Mungu uishi kwa lile dhumuni lake la kutuleta duniani ili tumuabudu. Tunaishi kwa imani na imeandikwa Zab 118:17 sitakufa bali nitaishi...... Muombe Mungu uishi maisha marefu na mazuri umtukuze huku ukisifu matendo yake makuu.
 
Na hatuwezi kufa pamoja . Hata nikisafiri, ataanza mke , then Mimi kisha watoto au Mimi naondoka na mtoto 1 yeye ataondoka alone au na mtto mwingine then we meet at destinations point.

To avoid Hizo coincidences
Haha
 
Unajitabiria kufa kifo kitakufuata badala ya kumuomba Mungu uishi kwa lile dhumuni lake la kutuleta duniani ili tumuabudu . tunaishi kwa imani na imeandikwa Zab 118:17 sitakufa bali nitaishi ......Muombe Mungu uishi maisha marefu na mazuri umtukuze huku ukisifu matendo yake makuu .

Kwani kufa ni dhambi? Hakika wewe Sio Muumini, ni Mental illness

How can you meet your lord bila KUFA?

Tatizo ni kwamba mnapitia mafundisho ya hovyo yanayoonesha kuishi miaka mingi ndio baraka za Mungu , na kifo ni kitu kama laana. That is the shame sababu huenda wanaokufa ndio best creatures , and you are here in hell . Muumini wa kweli hawezi kutamani au kuomba kuishi maisha mengi in this criminal world. The pioneers have already gone, the remaining are mental slaves like you who have been encrypted to believe death is for devil and bad . Ni matusi kwa Mungu wako .

Kama kweli wewe ni muamin unatakiwa kuomba ufe ili ukamsifu bwana. You can’t separate death from God as you believe.

Yaani hii yote kwako ni Denial and for sure you will die no matter what!

Death and life are branches of the same tree.
 
mkuu emb soma signature yangu

au ngoja nikurahisishie
“Does man think that We will not assemble his bones?
Yes. [We are] Able [even] to proportion(Reconstruct) his fingertips.”
Qur’ān 75:3-4

Huruhusiwi ku quote any verse from scriptures maana huu Sio Uzi wa kidini. No Bible nor Quran. Maana nyie watu soon mta deviate hii mada na kuanza mabishano yenu yasiyo na mwisho
 
Kifo hakina huruma wala ujanja ujanja, siku ikifika tunaenda tu, yani hatukwepi kitu hapo.
 
Unajitabiria kufa kifo kitakufuata badala ya kumuomba Mungu uishi kwa lile dhumuni lake la kutuleta duniani ili tumuabudu . tunaishi kwa imani na imeandikwa Zab 118:17 sitakufa bali nitaishi ......Muombe Mungu uishi maisha marefu na mazuri umtukuze huku ukisifu matendo yake makuu .

Sema siku hiyo utakuwa marehemu. Don’t skip that part
 
Kifo ni tukio kama matukio mengine, mimi nasubiria kifo kama ninavyopokea mwaka mpya au X - mas. Nizikwe mahali popote kwa gharama ndogo, nizikwe kwa jadi yangu ya mila sio hizi dini zilizokuja kwa meli.
 
Kwanza mimi nataka niwekwe kwenye mafriji hata wiki, kisha sitapenda watu walie, na zaidi watu wapige urabu kwa kwenda mbele, na after a week nichomwe moto uwanja wa wazi na majivu yakamwagwe kwenye kijito au mto unaotiririsha maji kwa speed.
 
Nilipoenda Hospital, I think those days nilikuwa mwaka wa 1 kwenye medical Field Chuo, nilienda kumpeleka mzee wangu pale Mount Meru, tulipofikisha maiti pale, wakailaza chini, ambapo kulikuwa kama kuna maiti kama nne hivi Jamaa wa mochwari anazirukaruka kama anavoruka madibwi...
Ni kweli Maiti hazina hela. Hela wanakua nazo walio hai
 
Sitaki niwekwe mortuary namwogopa Mshana Jr atanibaka.

Sitaki wakanizike alikozikwa Mr. kule wana roho mbaya maana hata mali zote za Mr. plus nyumba niliyojenga Naye wamenipora,

Wanizike na joho langu la uzee wa kanisa, Bible yangu na kinanda changu.

Siyo lazima wawasubiri ndugu zangu wafike ndo nizikwe acha wakifika wakute kaburi.

Mali nimeshawaambia, kila mtu anajua chake, mali zangu binafsi wafanye watakavyoamua.

Kifo kipo tukubali tu.
 
Huruhusiwi ku quote any verse from scriptures maana huu Sio Uzi wa kidini. No Bible nor Quran. Maana nyie watu soon mta deviate hii mada na kuanza mabishano yenu yasiyo na mwisho
Nani kasema?
Hizo ni rejea za shaiisha anachokusudia kusisitiza mtu na hakuna mwenye hati miliki ya maandiko takatifu.
Una shida mahali, jichunguze.
 
Back
Top Bottom