Siku ya Kifo Changu


Umeandika vizuri sana. Ila kauli ya Marehemu lazima iheshimike. Maagizo yangu yanatekelezeka. Nifikia hewani, that is my destiny , I cannot change

Thank you , je kwa wewe ni mambo gani ukifa leo, huyopenda ufanyiwe?
 
Mimi kifo najua kipo na kitakuja tu...hakina siku saa.
Hivyo Basi...najiandaa na maisha baada ya kifo ambayo naamini yapo.

Nachoomba nife Hali ya kuwa Mola want yu radhi nami.

Kuzikwa nizikwe kwa taratibu za Dini yangu..ya uisilamu.

Hivyo yaani
 

Nikipotea that is my destiny , I cannot help
 
Umeandika vizuri sana. Ila kauli ya Marehemu lazima iheshimike. Maagizo yangu yanatekelezeka. Nifikia hewani, that is my destiny , I cannot change

Thank you , je kwa wewe ni mambo gani ukifa leo, huyopenda ufanyiwe?
Sawa mkuu nimekueleza hayo sababu nakumbuka hata mzee wangu aliagiza akifa akazikwe kijijini alikozikwa mama yake mzazi, lakini baada ya kifo chake kamati ya mazishi iliamua tofauti na akazikwa palepale mkoa alipofiwa na hayo yalikuwa maombi ya mkewe kuwa awe jirani na kaburi la mumewe.
Pia mzee aliacha wosia na mgawanyo wa mali, lakini suala la mirathi lilipofikishwa mahakamani, mahakama iliukataa wosia wake na kuagiza kitu tofauti na maagizo yake japo mahakama yenyewe inakiri kuwa wosia wa marehemu unawakilisha kauli yake halisi!
Mimi binafsi ningependa nikifa nizikwe tu kwa taratibu za kawaida kama walivyozikwa marehemu wengine walionitangulia, Lakini zaidi ningependa kila anayenifahamu popote alipo akinikumbuka aseme neno lolote kuniombea pumziko la amani huko nitakakokuwa sababu mimi pia nina utamaduni wa kuwaombea marehemu wote popote kila ninapohudhuria misiba au ibada makanisani!
 
Mimi sihofii kufa...Nina hofu nitakufaje.
Engine failure?(means my body systems are down?)
By accident.
By Illness.
I wish nikufe Bila maumivu yeyote.

Lakini Nakuja kukumbuka siwezi kucontol hayo niliyoyatamani hapo juu.
Haijalishi Ni mara ngapi nitalalama Nitatamani ,
Ila nitafall kwenye Category moja wapo Tajwa hapo juu.
We all live once.
 
Mungu yupo huko juu....hapa chini Ni sisi.
 
Nasoma lkn sielewi,mtu anakuwa na courage ya kusema sitaki mwili wangu as if ni kitu cha maana sana,ninachoamini mimi ni kuwa there is life after death,hii miili tunayoita ya kwetu na kuipangia masharti itabaki hapa duniani na itaoza,roho zetu ndio zitabaki hai,hii ni either peponi au motoni...
 
Uzikwe na kinanda cha kazi gani sasa? Hicho niachie mimi niwe napiga kukukumbuka.
 
Mie nikutakie kifo chema, ila tunaomba uweke simu ya my wife wako tuwe tunamjulia hali na kumpa co.
 
When i die, bury me inside the Gucci store.

When i die, bury me inside the Louis store.

Haya ni maneno yake mwenyewe 2 chain katika wimbo wake wa birthday song
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…