nimeshindwa kwenda kumuosha mzee huko mortuary,nilichoweza ni kumtoa kwenye fridge basi,nimetoka nje nakutana na huu uzi. Kifo cha kisenge kinoma
Pole Sana. Niliandika huu uzi baada ya kupata Taarifa za Mama mwenye nyumba yangu aliyenipangisha huku ughaibuni.
Last Monday alinipigia simu kuniuliza kama Nina changamoto yoyote kwenye nyumba ili fundi aje kufanya maboresho kwakuwa mkataba wangu wa makazi ulikuwa umeisha na nika renew.
Nikamwambia AC moja naona imechoka naomba kubadilishiwa, na nipigiwe Rangi Upya sitting room yangu. Akafanya Hivyo, the following day akanicheki na akasema nikiwa na muda nikamsalimie.
Nikasema Mama I will come Jumapili maana this week imekuwa tait.
Ijumaa jioni naambiwa Mama anaumwa umwa , nikamcall kujua hali , she told me , najisikia vizuri kidogo, it gets better.
saa sita ya Usiku mtoto wake wa kike ananicheki, rarely kunicheki muda huo , kupokea simu ananiambia Mom is no more....
I was like what ... what the hell with this world , where are we going? I could not believe my ears.
Nimeumia snaa Na nikajutia as in why sikumsikiliza kwenda kumuona as she requested. Imeniuma sana na kwa majonzi nikaandika huu Uzi.
Huwa nasema kama ningepewa fursa ya kuchagua whether nizaliwe duniani au la ; mm nisingekubali kuzaliwa kwa maana matokeo ya kuzaliwa ni kifo, kama najua matokeo ni kifo kwanini niishi kwa fantasy then nije kuacha watu wangu kwa majonzi.
Naikumbuka sana nyimbo ya R KELLY aliyomtumia Michael Jackson kuiimba. R Kelly aliandika ile nyimbo based on true story ya yeye kuondokewa na mpenzi wake.
You are not alone by MJ,
Rest In Peace Michael Jackson the prophet of our time. Pole sana Michael Jackson