Mwewe kaondoka nalo....
Khaaa! Kumbe leo asubuhi nilipokodi ndege kwenda Mpwapwa lilikuwa limbwata tayari...
Ole wako nikija kufanya ukaguzi nikute zangu.Nakuretea riafande rikufunze adabu.
Dah! Bado siamini kama Hus anaweza kuniwekea limbwata..Paja la kuku at work lol, usisahau kumwachia na kadi ya gari...
Hahaha...Shock up ziko safi, Oil Filter iko safii, Engine Oil iko poaaa...hivi kwanza Dodoma walikubakiza kweli, nahisi kama vile kuna vifaa vitakuwa hazifanyi kazi kwa sasa hadi uende service.
Change tu hata filter na shock up
wa members wakibadili ID. (kama hujaelewa sifafanui). Lol
Khaaa! Mwalimu gani unampiga mkwara mwanafunzi? Lol
Lol...Mimi option ya PM nimeidisable kabisa..itabidi niirudishe ili niwe nakupm!based ona imagination.
Siku PM za watu wote zikiwekwa wazi itakuwaje?
Ni pm za akina nani utataka kuzipitia kwaza, top 3
na unadhani nani hatapenda kabisa hiyo idea?
Mie ntapenda kuona za washawasha, bujibuji na rejao, nahisi ntacheka sana.
Mimi napenda sana hiyo idea. . . naweza nikaanza kwa kukupa access ya zangu.
Kwani nini cha ajabu kinaongelewa PM zaidi ya story za hapa na pale na kutongozana kwa uongo na kweli?
Hahahahahahaha.....................hilarious! naona kwa anaglizo hili zako nafaa kuanza nazo!:lol:
Kuna mtu huwa ananichekesha sana kwa pm. Huyo huyo ndio nitazirudia na kuzipitia kila muda.
Hivi kumbe na wewe huwa unaandika PM?Khaaaa! kumbe unajibu PM wewe? sasa mbona PM zangu hauzijibu? acha ubaguzi bana
Nakuwa nahubiri hubiri maandiko samtaimu kwa kondoo waliopotea.Hivi kumbe na wewe huwa unaandika PM?
Lakini kondoo wenyewe wajeuri, kama huyu kondoo husninyo hajibu kabisa yaaniHa ha, matumizi bora ya PM, endelea kuwalisha hao kondoo
Lakini kondoo wenyewe wajeuri, kama huyu kondoo husninyo hajibu kabisa yaani
Khaaaa! kumbe unajibu PM wewe? sasa mbona PM zangu hauzijibu? acha ubaguzi bana