Siku PM zikiongea

Siku PM zikiongea

based ona imagination.

Siku PM za watu wote zikiwekwa wazi itakuwaje?
Ni pm za akina nani utataka kuzipitia kwaza, top 3
na unadhani nani hatapenda kabisa hiyo idea?

Mie ntapenda kuona za washawasha, bujibuji na rejao, nahisi ntacheka sana.

hebu ni PM tuone
 
based ona imagination.

Siku PM za watu wote zikiwekwa wazi itakuwaje?
Ni pm za akina nani utataka kuzipitia kwaza, top 3
na unadhani nani hatapenda kabisa hiyo idea?

Mie ntapenda kuona za washawasha, bujibuji na rejao, nahisi ntacheka sana.

mimi ningependa za:
1. Kibweka.
2. Kimpanga ampiga mkoloni.
3. Funza dume.
 
Back
Top Bottom