Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,514
- 23,701
We jamaa una hatari sana.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu nikodishe hiyo mashine ntakuwa naleta hesabu kwa mwezi
We jamaa una hatari sana.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu nikodishe hiyo mashine ntakuwa naleta hesabu kwa mwezi
Kile kitendo mkuu kiliniacha na maswali mengi sana, sbbu cku iyo ndio nimefika alaf nakutana na balaa hiloUlitakiwa moja upige juu ya pili uzishe kwenye ugoko. Ukitoka hapo unalekebisha tabia za dada zako kwa bakora za haja, mpka mama ajue kweli mwanaume kaingia na mabinti wapoteze kihelehele chote cha kuja mjini kwa brother. Si ajabu ukute mabinti walikuwa wanamsumbua sana mzazi.
NaijuaMkuu kwa ambae amewai kuitumia Glock wanaijua vzr haina usumbufu kama handgun zingne ile ni mayai ikitoka imetoka
Una miliki hii kitu?Mkuu kwa ambae amewai kuitumia Glock wanaijua vzr haina usumbufu kama handgun zingne ile ni mayai ikitoka imetoka
Me situmii ID fake...yangu ni orijino kabisa!Lengo la thread mkuu haikua iyo haunijui ckujui kwaiyo nijikweze kwako au kwa members wa jf ili iweje lbda ilhali wote tunatumia fake ID
Niliwakuta home sbbu mimi ilinichukua mda sana kufika sbbu ya ugeni na giza
Uliokoa jahazi!Kwa jinsi nilivyokuja kusimuliwa na mama yule mdogo wangu hakua na mienendo mizuri hpo home, kwaiyo vyote inaweza kua
Sidhani kama walipanga ivyo unavyofikiria, lkn chanzo ni mmoja wa hao ndugu zangu, na hta wavamizi nahisi walifikiri kua nimeopoa dem wao kumbe cvyoHao ndugu zako malaya tu ndio walipanga huo mpango na hao vijana. Kwamba wawavamie na kuwateka kumbe nia yao ni kwenda kwa hao vijana. Tafakari chukua hatua.