Siku nilipogonganisha magari marafiki ugenini

Siku nilipogonganisha magari marafiki ugenini

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
58,058
Reaction score
134,387
Kama kuna mtu ananipenda humu asinichikulie vibaya, yeye aendelee kunipenda tu. It is the past, very long time ago

Amina na Ashura walikuwa wahudumu wa duka kubwa la Mpesa mkoani pale. First time nikamwelewa Amina lakini sikuwa nimemzoea na alikuwa mkimya sana kwa hiyo ilileta ugumu kupata namba. Lakini Ashura alikuwa chakaramu sana, tukazoeana mpaka akaniomba namba yangu.

Siku moja nikamuomba outing hakuvunga. Kero ilikuja kutokana na yeye kuanza kunipa stori za mahusiano yake. Nikaona kumbe ana mtu, nikamuomba namba ya Amina na kama anaweza anipigie pande.

Amina alikubali lakini ni wale watu wenye pozi sana, mara kadhaa alikuja hotelini kwangu lakini utelezi hatoi. Akanikera, ikabidi nimsemee kwa Amina. Amina akanionea huruma akasema usijali nakuja kukupa papa mwenyewe.

Siku hiyo ikafika Ashura akazama room. Nikiwa napiga foreplay simu za Amina zikaannza, akapiga kama mara 5 hivi, sipokei. Kisha akatuma sms "Nipo hapa nje, si room ile ile kama haupo nichukue funguo leo nataka kulala na wewe"

Nikamwambia Ashura ndugu yako yupo hapo nje. Ashura akiwa kapaniki Amina akaanza kumpigia yeye simu. Akamtumia sms ajaribu kunipigia maana sipokei simu yake.

Ashura akaenda reception kuuliza kama nipo Yule dogo maza faka akamwambia nipo room wakati akijua nina mwanamke mwingine. Mlango ukaanza kugongwa, tupo room tumepiga kimya. Anagonga huku anasikilizia. Fasta nikazima simu, akiwa pale mlangoni akapiga simu ya Ashura ikaita kwa sauti ikiwa chumbani. Akaanza kuita Amina....Ashura...Ashura, Ashura yupo kimya tu.

Baadae ikiwa kimya, nikaona nichomoke kuona kama msala umeisha au! Askari ananiambia alikuwa hapa analia lakini ameondoka. Basi nikarejea ndani kuomba mzigo kwa Ashura. Ashura alinipa kinyonge sana maana alikuwa Amina amemtumia sms za kumwita msaliti maana hapokei simu na amesikia ikiita chumbani kwangu.

Mambo mengi sana yaliendelea ambayo sio muhimu. Ufuska haufai
 
Kama kuna mtu ananipenda humu asinichikulie vibaya, yeye aendelee kunipenda tu. It is the past, very long time ago

Amina na Ashura walikuwa wahudumu wa duka kubwa la Mpesa mkoani pale. First time nikamwelewa Amina lakini sikuwa nimemzoea na alikuwa mkimya sana kwa hiyo ilileta ugumu kupata namba. Lakini Ashura alikuwa chakaramu sana, tukazoeana mpaka akaniomba namba yangu.

Siku moja nikamuomba outing hakuvunga. Kero ilikuja kutokana na yeye kuanza kunipa stori za mahusiano yake. Nikaona kumbe ana mtu, nikamuomba namba ya Ashura na kama anaweza anipigie pande.

Ashura alikubali lakini ni wale watu wenye pozi sana, mara kadhaa alikuja hotelini kwangu lakini utelezi hatoi. Akanikera, ikabidi nimsemee kwa Amina. Amina akanionea huruma akasema usijali nakuja kukupa papa mwenyewe.

Siku hiyo ikafika Amina akazama room. Nikiwa napiga foreplay simu za Ashura zikaannza, akapiga kama mara 5 hivi, sipokei. Kisha akatuma sms "Nipo hapa nje, si room ile ile kama haupo nichukue funguo leo nataka kulala na wewe"

Nikamwambia Amina ndugu yako yupo hapo nje. Amina akiwa kapaniki Ashura akaanza kumpigia yeye simu. Akamtumia sms ajaribu kunipigia maana sipokei simu yake.

Ashura akaenda reception kuuliza kama nipo Yule dogo maza faka akamwambia nipo room wakati akijua nina mwanamke mwingine. Mlango ukaanza kugongwa, tupo room tumepiga kimya. Anagonga huku anasikilizia. Fasta nikazima simu, akiwa pale mlangoni akapiga simu ya Amina ikaita kwa sauti ikiwa chumbani. Akaanza kuita Amina....Amina...Amina, Amina yupo kimya tu.

Baadae ikiwa kimya, nikaona nichomoke kuona kama msala umeisha au! Askari ananiambia alikuwa hapa analia lakini ameondoka. Basi nikarejea ndani kuomba mzigo kwa Amina. Amina alinipa kinyonge sana maana alikuwa Ashura amemtumia sms za kumwita msaliti maana hapokei simu na amesikia ikiita chumbani kwangu.

Mambo mengi sana yaliendelea ambayo sio muhimu. Ufuska haufai
Chai 😹
Ukaomba namba ya Ashura kwa Ashura?!!
 
Mbona umetuchanganyia chai na maharage mkuu?? Nikaomba namba ya ashura kwa ashura. Ashura alikuwa chakaramu nikaomba game amina akasema heeee.....haya hongera kwa hatua kubwa
 
Mbona umetuchanganyia chai na maharage mkuu?? Nikaomba namba ya ashura kwa ashura. Ashura alikuwa chakaramu nikaomba game amina akasema heeee.....haya hongera kwa hatua kubwa
Chai ya baridi
Chai ya baridi kabania sukari..!!

Huyu alitaka kumrusha roho manzi wake wa JF ukute anamringia sasa anatafuta sifa za kula mademu madai yake Bartasar 😹😹😹
 
Uzuri, huyo Ashura alikuwa anaelewa kila kitu; mbona ingekuwa rahisi kuingiza gari moja mferejini ili nyingine ipite salama!

Wanadamu mnafeli wapi? Mbona wazembe sana? Mtayaweza maisha kweli baada ya kifo?
 
Back
Top Bottom