Siku Idd Amin alipomkamata "inflation"

wiseboy.

JF-Expert Member
Aug 11, 2014
2,932
4,534
Kwa sisi wazee wa zamani yaani vijana wa miaka ya 1978 ambao bado hadi sasa hivi tupo hai nashukuru alhamdulilahi Bakwata.

Tuliona jinsi Idd Amin alivyoingia madarakani kwa mapinduzi na kushangiliwa kama mkombozi wa waganda,baadae alianza kuboronga ile mbaya,viongozi wa dini na wanaharakati walipoanza kumkosoa wakaanza kupotea na kuuawa hovyo.

Uchumi ulizidi kuporomoka, siku moja Idd Amin akamwita gavana wa benki kuu na kumuuliza kwa nini uchumi unaporomoka hivyo,gavana akajibu ni kwa sababu ya inflation,Idd Amin akasema mkamateni inflation haraka.
Madikteta huwa hawana akili timamu ndo sifa yao kuu.
 
Kwa sisi wazee wa zamani yaani vijana wa miaka ya 1978 ambao bado hadi sasa hivi tupo hai nashukuru alhamdulilahi Bakwata.
Tuliona jinsi Idd Amin alivyoingia madarakani kwa mapinduzi na kushangiliwa kama mkombozi wa waganda,baadae alianza kuboronga ile mbaya,viongozi wa dini na wanaharakati walipoanza kumkosoa wakaanza kupotea na kuuawa hovyo.
Uchumi ulizidi kuporomoka ,siku moja Idd Amin akamwita gavana wa benki kuu na kumuuliza kwa nini uchumi unaporomoka hivyo,gavana akajibu ni kwa sababu ya inflation,Idd Amin akasema mkamateni inflation haraka.
Madikteta huwa hawana akili timamu ndo sifa yao kuu.
Awekwe ndani haraka sana huyo
 
Kwa sisi wazee wa zamani yaani vijana wa miaka ya 1978 ambao bado hadi sasa hivi tupo hai nashukuru alhamdulilahi Bakwata.
Tuliona jinsi Idd Amin alivyoingia madarakani kwa mapinduzi na kushangiliwa kama mkombozi wa waganda,baadae alianza kuboronga ile mbaya,viongozi wa dini na wanaharakati walipoanza kumkosoa wakaanza kupotea na kuuawa hovyo.
Uchumi ulizidi kuporomoka ,siku moja Idd Amin akamwita gavana wa benki kuu na kumuuliza kwa nini uchumi unaporomoka hivyo,gavana akajibu ni kwa sababu ya inflation,Idd Amin akasema mkamateni inflation haraka.
Madikteta huwa hawana akili timamu ndo sifa yao kuu.
Hii naikumbuka jamaa akachapisha noti nyingi eti ajaribu kukuza uchumi!!! Maweeeee mh
 
Kwa sisi wazee wa zamani yaani vijana wa miaka ya 1978 ambao bado hadi sasa hivi tupo hai nashukuru alhamdulilahi Bakwata.
Tuliona jinsi Idd Amin alivyoingia madarakani kwa mapinduzi na kushangiliwa kama mkombozi wa waganda,baadae alianza kuboronga ile mbaya,viongozi wa dini na wanaharakati walipoanza kumkosoa wakaanza kupotea na kuuawa hovyo.
Uchumi ulizidi kuporomoka ,siku moja Idd Amin akamwita gavana wa benki kuu na kumuuliza kwa nini uchumi unaporomoka hivyo,gavana akajibu ni kwa sababu ya inflation,Idd Amin akasema mkamateni inflation haraka.
Madikteta huwa hawana akili timamu ndo sifa yao kuu.
dictator hata akiwa profesa anakuwaga empty headed, afu huwa hawajielewi kama hawana akili. idi amin ni mfano tosha.
 
Hapa najua unamsema JIWE....
si bora hata jiwe, mtu kama idi amin hivi hata ukiweka mhindi wa kuchoma pembeni watu watachagua mhindi kuliko yeye (kama angelikuwa bado mzima enzi hizi), kuna majitu hayana akili alafu huwa yanaamini yana akili.
 
Kwa sisi wazee wa zamani yaani vijana wa miaka ya 1978 ambao bado hadi sasa hivi tupo hai nashukuru alhamdulilahi Bakwata.
Tuliona jinsi Idd Amin alivyoingia madarakani kwa mapinduzi na kushangiliwa kama mkombozi wa waganda,baadae alianza kuboronga ile mbaya,viongozi wa dini na wanaharakati walipoanza kumkosoa wakaanza kupotea na kuuawa hovyo.
Uchumi ulizidi kuporomoka ,siku moja Idd Amin akamwita gavana wa benki kuu na kumuuliza kwa nini uchumi unaporomoka hivyo,gavana akajibu ni kwa sababu ya inflation,Idd Amin akasema mkamateni inflation haraka.
Madikteta huwa hawana akili timamu ndo sifa yao kuu.

mmh sina hakika kama wewe nikijana wa zamani kweli...sidhani kulikuwa na tukio hilo...ila Askofu Luwum alishughulikiwa, na wengi wetu tulilaani...
 
Kwa sisi wazee wa zamani yaani vijana wa miaka ya 1978 ambao bado hadi sasa hivi tupo hai nashukuru alhamdulilahi Bakwata.
Tuliona jinsi Idd Amin alivyoingia madarakani kwa mapinduzi na kushangiliwa kama mkombozi wa waganda,baadae alianza kuboronga ile mbaya,viongozi wa dini na wanaharakati walipoanza kumkosoa wakaanza kupotea na kuuawa hovyo.
Uchumi ulizidi kuporomoka ,siku moja Idd Amin akamwita gavana wa benki kuu na kumuuliza kwa nini uchumi unaporomoka hivyo,gavana akajibu ni kwa sababu ya inflation,Idd Amin akasema mkamateni inflation haraka.
Madikteta huwa hawana akili timamu ndo sifa yao kuu.

Huyo huyo gavana wa central bank siku moja kwenye disco, anaulizwa na boss wake.

Idd Amini: "What is the major complaint of Ugandans about my reign? "

Governor: "Your exellence, majority are complaining that there is no money in circulation"

Idd Amini: "If Ugandans are complaining about money scarcity, PRINT MORE!".

Governor: "As you wish".
 
Kwa sisi wazee wa zamani yaani vijana wa miaka ya 1978 ambao bado hadi sasa hivi tupo hai nashukuru alhamdulilahi Bakwata.
Tuliona jinsi Idd Amin alivyoingia madarakani kwa mapinduzi na kushangiliwa kama mkombozi wa waganda,baadae alianza kuboronga ile mbaya,viongozi wa dini na wanaharakati walipoanza kumkosoa wakaanza kupotea na kuuawa hovyo.
Uchumi ulizidi kuporomoka ,siku moja Idd Amin akamwita gavana wa benki kuu na kumuuliza kwa nini uchumi unaporomoka hivyo,gavana akajibu ni kwa sababu ya inflation,Idd Amin akasema mkamateni inflation haraka.
Madikteta huwa hawana akili timamu ndo sifa yao kuu.


Sasa kwanini mnalilia Mbowe na Lissu waje kuwa Marais wa nchi hii, una akili kweli.....mbona una ji-contradict? Kumbuka, Iddi Amini ni sawa tu na Mbowe, no education ila alikuwa rais...sasa fikiria Mbowe aje kuwa rais, unafikiri atafanya vituko gani hapa Bongo?
 
Back
Top Bottom