Aaah...! Kumambegese dogo utapigiwa sana na ka-IST kako na mke kwenye pradoMfano ni mimi nasukuma IST wakati mke wangu nimemkalisha kwenye Prado ya 2010 awarushe roho watu kama nyie
Potelea kokote kwani wanamtumia yeye?. Si wanatumia sehemu zake tu?mmh, kwa mawazo yako haya, bila shaka sehemu zako zinatumika sana
Ni wivu tu!
Hivi bado upo clouds?Najua na wewe pia unasukuma gari kali
Asee we jamaa umeuliza swali la kipumbavu asee cheee!!!Wanawake hizo hela mnazonunulia Ndinga kali siku hizi mnazitoa wapi aisee
Mie sio dogo futa hiyo kauli kabisaAaah...! Kumambegese dogo utapigiwa sana na ka-IST kako na mke kwenye prado
Mkuu hao wako tayari hata kuweka rehani mtaro. Kwani kujinyea kitu gani bwana.Wana kazi za kawaida, kipato chini 700k kwa mwezi. Lakini wanasukuma Ndinga moja za maana aisee,
Ukiwakuta wamevaa miwani yao myeusi utafikiri wanafanya kazi Hazina ama BOT lakini kumbe sio. Unakuta mwanamke anasukuma Ndinga kali kuliko ata ndinga ya Boss wake aliyempita zaidi ya Nusu ya mshahara Wake,
Wanawake hizo hela mnazonunulia Ndinga kali siku hizi mnazitoa wapi aisee. Namba za magari zinazidi kusonga kwa kasi kwa sababu yenu hadi mnafanya yale maisha magumu kwa Serikari iyaone mepesi.
Kwa sababu kuna Raia wananunua Ndinga vibaya mno.
Cc Zero iq
Heshma kwako mkuu🤣🤣🤣Mie sio dogo futa hiyo kauli kabisa
MarhabaaaaaHeshma kwako mkuu🤣🤣🤣