Siku hizi wanawake wanaendesha magari ya maana

Kwa hao wasio na kazi sina neno nao.

Ila kwa wanawake wanaofanya kazi, kuna uzi ulikuwa unauliza mke achangie kiasi gani.

Wanajamvi wakamshauri mke hapangiwi, afanye kwa hiari yake,.

Pesa ya mume ni ya wote ila ya mke ni yake.

OVA!
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom