Siku hizi wanaume ndio wanaolia msibani

Siku hizi wanaume ndio wanaolia msibani

Hahaaa mkuu we ukishaona mwanaume anadiriki kukaa kwenye kiti anaweka miguu kwenye beseni halafu mwanaume mwenzie anamuosha miguu, anamsugua na kumkata kucha, anampaka mafuta mpaka kwenye mapaja... Hapo kuna mwanaume kweli?

Kiukweli bila kupeoesa macho hapa mwanaume hakuna....mwanaume unakatwa kucha na kutekenywa miguuuu..???!!!
 
Sijawahi sikia kilio cha Besi hata siku moja, yaani hicho kilio nitacheka mpaka mwisho! mleta mada labda useme wana sauti za kwanza pia
 
Back
Top Bottom