Siku hizi undugu ni ‘overrated’

Siku hizi undugu ni ‘overrated’

Ng'wana ng'wise wanaweka juhudi na kunieleza mengi kwanza wanafurahi.

As alivyosema mleta uzi watu wanaishi mkoa mmoja tena mdoooogo mmoja Sinza mwingine Gongo la mboto ila wanaonana sikukuu hadi sikukuu au kutokee tatizo na hata yakitokea wanayatatua au kukutana kwa ukaribu walionao!

Kumewahi kutokea msiba nikawajulisha ndugu ambao hawajawahi kabisa kumfahamu marehemu na wakafika wote.

Likitokea tatizo msema hovyo lazima nitafutwe

Kwa upande wako naona iko vizuri, inaweza kuwa kuna kusudi la uwepo wako kama ‘Masihi’ wa ukoo.... lakini pia jiridhishe na ‘nafasi’ yako kimaisha isijekuwa unatunukiwa ‘vyeo’ kimaslahi.
 
Hao wazungu unaosema sijui ni wazungu wa wapi. Wacha kujificha kwa wazungu kwa kuwa wanandugu zako wana roho za kutu. Nina marafiki zangu wamekuja kuwekeza miradi ya hotel. Jamaa alipofika mahali fedha ikamuishia alinambia ana kaka yake mtoto wa baba yake mdogo atamuazima kama dolar elfu 30 hivi amalizie mradi wake. Binafsi nimeweza kukaa na watu hawa wanapendana mno.

Tazama wahindi walivyo na upendo wao kwa wao. Yaani unaenda kwa familia ya muhindi unakuta nyumba ya vyumba vitano kuna ishi humo mtu kama 50 hivi. Wote ni ndugu na mwenye kipato( mhindi mwenye duka lake kariakoo) ni mmoja tu. Na anawalea wote na kuwatunza...
Ni sawa wao wanaelewa maana ya umoja hata waisrael wako poa sana ila dah hapa napoishi Mimi nimejaribu kuja na hiyo spirit naonekana boya sana hadi nimevunjika moyo sana
 
Ni sawa wao wanaelewa maana ya umoja hata waisrael wako poa sana ila dah hapa napoishi Mimi nimejaribu kuja na hiyo spirit naonekana boya sana hadi nimevunjika moyo sana
Hahaha wapi hapo unapoishi?
 
Tatizo ni ubinafsi. Siku hizi watu ni wabinafsi sana. Na ukijifanya eti wewe ndio unajali undugu, basi utakiona. Ni kuacha mambo yawe hivyo hivyo tu. Sababu ndg hawakusaidii ila wanakuridisha nyuma tu na ubinafsi wao.
 
Natoka job jioni nakuta majirani wamejaa sebuleni wanaangalia TV
Na wanakaa Hadi saa 6 Usiku wakati mwingine..
Ilikua zamani,enzi za awamu ya tatu,,saa hizi tv kila Kona
 
Aisee tunapokuja kuzungumzia dada kaka mama baba nk
Hawa ni ndugu zangu na yote nnayopambania ni ili tuje kupata faraja ya mbeleni.
Napenda sana ndugu zangu.
 
Yapo sana tu ni roho mbaya kuwatupa ndugu kwa kisingizio cha maisha. Kama.una ndigu anafanya kazi hotel anaweza kukwambia hiki nachosema. Wazungu wanakuja kutalii anakuja na familia nzima hadi wajomb na mashangazi. Sisi huku kwetu kwa kujifanta tunaendelea tubatupana hata wazazi tu kuwasaidia imekuwa kazi...
Kukataa ndugu kwa kisingizio cha maisha ni ujinga
Halafu na hizi ndoa uchwara zinachangia sana kuua udugu
 
Na sisi ambao hata tuliozaliwa nao tumbo moja sio ndugu tupo fungu gani
 
Unakuta ndugu hawampendi mwenza wa ndugu yao hapo ndipo ugomvi huanzia hapo! Mfano Kaka alikuwa anasaidia ndugu, ukafika wakati naye anaoa majukumu yameongezeka msaada umepungua weee [emoji32][emoji32] lawama kwa mke hata kama hakuna hicho chakuwasaidia na hilo ndilo tatizo kubwa sana kwenye familia zetu za kiafrika
Huu ndio ujinga hapo huoni kama ulioa mzigo
Yaani kijitu mmekutana at 20's ndio aje kunigombanisha na chalii yangu niliyedokoa nae mboga utotoni

Haitokaa ikatokea kamwe
 
Utasikia we dogo upo Dar es salaam hii hii? Ila ndio poa kila mtu awe bize na ishu zake.
 
kwahyo wazungu wana maswala ya kiukoo kama huku?
Yani mara kikao cha ukoo etc.
Misiba ya watu 300+??? Wanayo?

Ninaamini US mtoto anaweza akazaliwa mpaka akafa ndugu anaowajua wasizidi 10

Kwa taarifa yako tu nchi zilizoendelea wanathamini sana hizi siku ambazo nyny mnasherehekea kwa kupost juu juu tu happy mothers day wazungu wanajumuika pamoja nyumbani kwa mama au bibi siku za watoto wanajumuika pia pamoja hawana undugu wa kushinda kwa ndugu kuvizia chakula ila wanakumbukana mara kwa mara katka zile siku za maadhimisho
 
Ndugu wana msemo wao wanakwambia "ndugu yetu unajitenga sana kwenye matukio ya kifamilia, na wewe kwenye matukio yako usishangae watu waspokuja. mkwara mwingine wanasema ukifa utazikwa na nani kama ndugu zao hupatani nao?"

Ila ndugu haohao wanaotaka uwe nao karibu ndio haohao ukigeuza kisogo wanakung'ong'a.

pumbav.


Watanizika wapi, wanata kuja kunitia hasara, mimi nishakufa lakini na bado wanataka na pilau ya msibani
 
Kama huna hela utaona ndugu wote nuksi na kuwakimbia.
 
Back
Top Bottom