Siku hizi undugu ni ‘overrated’

Siku hizi undugu ni ‘overrated’

Ndugu zako watafute sana na uwajue wote sio kwa lengo la kukusaidia just look for em ni faida.
.
Mimi hadi naitwaga mnoko nawajua wote nikisikia kuna ndugu mahala ambaye simfahamu nafunga safari namfata na mpaka niwajue hao anaoishi nao ninawajua wengi sana wengine hadi nimeshapitaga nao kwa kutokujua.
.
Ilifika time nikaambiwa ukifatilia sana utakuta wote ndugu zako ukose wakuoa [emoji4] ila sikomi i was born to unite my clans (ziko mbili) wanautengano sana hawa jamaa hawapendani visanga vingi ila mimi ni kakiunganishi kao.

”Mtaka nyingi nasaba, hupata mingi misiba”.
 
Ndugu zako watafute sana na uwajue wote sio kwa lengo la kukusaidia just look for em ni faida.
.
Mimi hadi naitwaga mnoko nawajua wote nikisikia kuna ndugu mahala ambaye simfahamu nafunga safari namfata na mpaka niwajue hao anaoishi nao ninawajua wengi sana wengine hadi nimeshapitaga nao kwa kutokujua.
.
Ilifika time nikaambiwa ukifatilia sana utakuta wote ndugu zako ukose wakuoa [emoji4] ila sikomi i was born to unite my clans (ziko mbili) wanautengano sana hawa jamaa hawapendani visanga vingi ila mimi ni kakiunganishi kao.
Utakipata tu unachokitafuta mwishowe utaenda mtoa nyoka alikojificha
 
Nina ndugu ambao nikiwaomba hata 50k kila MTU naanza na mtaji wa 50milion lakini hakuna hata anayekupa buku zaidi nikusengenya tu na wivu.

Major Impact of globalization is raise of individualism and extended of single parent family. Kikubwa ni kupambana na hali yako, hii kitu wazungu walishapitia kitambo ndio maana wanafanya kazi sana nje na hapo utalala njaa buda 😉 😉
 
Hivi nchi zilizoendelea kama US wana maswala ya ukoo?? Sijui shemeji yake mjomba,bibi yake binamu na kaka yake shangazi?
Yani mnakutana msibani watu 1000 wote ndugu.
Yapo sana tu ni roho mbaya kuwatupa ndugu kwa kisingizio cha maisha. Kama.una ndigu anafanya kazi hotel anaweza kukwambia hiki nachosema. Wazungu wanakuja kutalii anakuja na familia nzima hadi wajomb na mashangazi. Sisi huku kwetu kwa kujifanta tunaendelea tubatupana hata wazazi tu kuwasaidia imekuwa kazi.

Utashangaa sana Mama anakuja kutalii na watoto wake na baba mkwe wake tu na mumewe kamwacha ulaya.

Hapa kwetu kwa wanawake wety haawa umpe milioni 2 akale bata Ngorongoro atakumbuka kwenda na Baba yangu mimi( mkwe wake).

Afrika tunaiga kwenye mambo negative nakujifanya ni mambi ya ulaya..tale mazuri ya ulata tunayatupa. Sana sana wakitukera tunawaita Mabeberu.🤣🤣
 
Nina ndugu ambao nikiwaomba hata 50k kila MTU naanza na mtaji wa 50milion lakini hakuna hata anayekupa buku zaidi nikusengenya tu na wivu.

Major Impact of globalization is raise of individualism and extended of single parent family. Kikubwa ni kupambana na hali yako, hii kitu wazungu walishapitia kitambo ndio maana wanafanya kazi sana nje na hapo utalala njaa buda 😉 😉
Hao wazungu unaosema sijui ni wazungu wa wapi. Wacha kujificha kwa wazungu kwa kuwa wanandugu zako wana roho za kutu. Nina marafiki zangu wamekuja kuwekeza miradi ya hotel. Jamaa alipofika mahali fedha ikamuishia alinambia ana kaka yake mtoto wa baba yake mdogo atamuazima kama dolar elfu 30 hivi amalizie mradi wake. Binafsi nimeweza kukaa na watu hawa wanapendana mno.

Tazama wahindi walivyo na upendo wao kwa wao. Yaani unaenda kwa familia ya muhindi unakuta nyumba ya vyumba vitano kuna ishi humo mtu kama 50 hivi. Wote ni ndugu na mwenye kipato( mhindi mwenye duka lake kariakoo) ni mmoja tu. Na anawalea wote na kuwatunza.

Twende kwa Warabu sasa. Yaanu haw ani noma. Mmoja akikosa mtaji wanamchangia na yeye anafanya biashara. Yaani hukuti kuna boya kwenye familia. Hata kama hakusoma lakini utakuta ana japo banda la spare za pikipiki.

Huku kwa waafrika sasa. Duuh ndio kama hayo. Ambayo na weww unayaendeleza kwa kisingizio kilekile.
 
Hili swali ni mjadala sababu hata vitabu vya dini baadhi vimegawa ndugu kwa mafungu mafungu kutokana na kuwa ama wana mama mmoja na wana jamaa zao wanaotokana na baba yao mfano watoto wa Yakobo.

Hapa tunaweza kujuzana zaidi ila kwa upande wangu hao ni jamaa zako tu ndugu ni wale toka nitoke. Ndio maana tuna Wazazi, Ndugu, Jamaa na Marafiki haya ni makundi tofauti kabisa ya wapendwa wetu.
Kwahyo hapa kuna ndugu wa damu na ndugu wa tumbo moja.
Au sijaelewa mzee Baba
 
’Nakumalaga nyanda’... isijekuwa unawahitaji zaidi ya wanavyokuhitaji.

Je, ukishawapa huwa nao wanaweka juhudi.?
Ng'wana ng'wise wanaweka juhudi na kunieleza mengi kwanza wanafurahi.

As alivyosema mleta uzi watu wanaishi mkoa mmoja tena mdoooogo mmoja Sinza mwingine Gongo la mboto ila wanaonana sikukuu hadi sikukuu au kutokee tatizo na hata yakitokea wanayatatua au kukutana kwa ukaribu walionao!

Kumewahi kutokea msiba nikawajulisha ndugu ambao hawajawahi kabisa kumfahamu marehemu na wakafika wote.

Likitokea tatizo msema hovyo lazima nitafutwe
 
Back
Top Bottom