Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 7,316
- 12,768
Tambua:
Siku hizi sio kama zamani ambapo undugu ulikuwa na thamani, damu ilikuwa nzito kuliko maji.
Siku hizi unaweza ukawa na braza hapa mjini msionane miaka miwili na msipigiane simu.
Siku hizi kila mtu ana time zake tu wanaita 'kuendana na kasi ya mheshimiwa'
Siku hizi rafiki na mchepuko wana nafasi kubwa kuliko ndugu.
Zamani matatizo ya ndugu yako ni matatizo yako lakini sikuizi kila mtu 'anapambana na hali yake'Undugu uliobaki ni mke, mume na watoto.
Lakini Kaka, Dada, Mjomba, Shangazi, Binamu imeshapitwa na wakati.
Maisha sasa hivi kila mtu yuko bize na maisha yake kutafuta vya kwake tu.
In short teknolojia ilileta ustaarabu na ndiyo inayouondoa.
Siku hizi sio kama zamani ambapo undugu ulikuwa na thamani, damu ilikuwa nzito kuliko maji.
Siku hizi unaweza ukawa na braza hapa mjini msionane miaka miwili na msipigiane simu.
Siku hizi kila mtu ana time zake tu wanaita 'kuendana na kasi ya mheshimiwa'
Siku hizi rafiki na mchepuko wana nafasi kubwa kuliko ndugu.
Zamani matatizo ya ndugu yako ni matatizo yako lakini sikuizi kila mtu 'anapambana na hali yake'Undugu uliobaki ni mke, mume na watoto.
Lakini Kaka, Dada, Mjomba, Shangazi, Binamu imeshapitwa na wakati.
Maisha sasa hivi kila mtu yuko bize na maisha yake kutafuta vya kwake tu.
In short teknolojia ilileta ustaarabu na ndiyo inayouondoa.