Siku hizi undugu ni ‘overrated’

Siku hizi undugu ni ‘overrated’

Njaa inauma... chunga usichinje nyau. Ukisha fikisha 18 yrs wewe ni sovereigh state ni free jiongeze acha kutegemea ndugu nayeye ana yake acha lawama...ujamaa umeisha long sasa hivi kila mtu anajiangalia mwenyewe.
😃kweli
 
Ndg wa tumbo moja sio ishu, ishu ni wale sijui watoto wa aunty, anko, bamkubwa n.k
Mimi mbona ndugu yangu ndo aliyeninyanyua pale nilipojua mimi ni mgeni sana hapa duniani. Au kisa tupo wachache tu(3)!!!

Hao ndugu zenu inabidi mkapime DNA,labda bi'mkubwa alimpiga changa la macho mzee. Ndugu yako ni yule mliyetoka naye tumbo moja tu.
 
Mi nili apply kwangu hiyo tangu mwaka juzi, niliona huu ni ujinga sasa heri nibaki na watoto wangu, ndg wa damu na mme wangu.
Yaani acha kabisa mpango wangu mwakani nibaki na wanangu wawili tu ndugu tupa kulee!!!kwanza wanaafiki watupu unawasaidia halafu wanakusemanga!big up nyote mnaoishi na watoto wenu tu! Nuclear family ndugu kulostishana tu.
 
Nyakati zimebadilika,jamii inazidi kusogea mbali na enzi za ujima
 
Kwa Hiyo umekuwa overrated au Underrated?
 
Sure.Yani nina kaka yangu wa damu kabisa, aisee hatuwasilianiiiii
Mimi kaka zangu na dada zangu wote tunao'share baba sio tu hatuwasiliani lakini tuna bifu kabisa....kisa mzee alimuacha mama yao
 
Mimi kaka zangu na dada zangu wote tunao'share baba sio tu hatuwasiliani lakini tuna bifu kabisa....kisa mzee alimuacha mama yao
Hata ingekuwa ni wewe ni kawaida watoto wanaoshare mama wana maelewano tofauti na watoto walioshare baba
 
Mimi mbona ndugu yangu ndo aliyeninyanyua pale nilipojua mimi ni mgeni sana hapa duniani. Au kisa tupo wachache tu(3)!!!

Hao ndugu zenu inabidi mkapime DNA,labda bi'mkubwa alimpiga changa la macho mzee. Ndugu yako ni yule mliyetoka naye tumbo moja tu.
Sio wote kama mmependana ki hivyo shukuru Mungu, maana humo humo tumbo wanatokaga mpaka kenge
 
Mtu hajawahi acha zikwa. Hata wezi huzikwa
Ndugu wana msemo wao wanakwambia "ndugu yetu unajitenga sana kwenye matukio ya kifamilia, na wewe kwenye matukio yako usishangae watu waspokuja. mkwara mwingine wanasema ukifa utazikwa na nani kama ndugu zao hupatani nao?"

Ila ndugu haohao wanaotaka uwe nao karibu ndio haohao ukigeuza kisogo wanakung'ong'a.

pumbav.
 
Ndugu zako watafute sana na uwajue wote sio kwa lengo la kukusaidia just look for em ni faida.
.
Mimi hadi naitwaga mnoko nawajua wote nikisikia kuna ndugu mahala ambaye simfahamu nafunga safari namfata na mpaka niwajue hao anaoishi nao ninawajua wengi sana wengine hadi nimeshapitaga nao kwa kutokujua.
.
Ilifika time nikaambiwa ukifatilia sana utakuta wote ndugu zako ukose wakuoa 😊 ila sikomi i was born to unite my clans (ziko mbili) wanautengano sana hawa jamaa hawapendani visanga vingi ila mimi ni kakiunganishi kao.
 
Ndugu wana msemo wao wanakwambia "ndugu yetu unajitenga sana kwenye matukio ya kifamilia, na wewe kwenye matukio yako usishangae watu waspokuja. mkwara mwingine wanasema ukifa utazikwa na nani kama ndugu zao hupatani nao?"

Ila ndugu haohao wanaotaka uwe nao karibu ndio haohao ukigeuza kisogo wanakung'ong'a.

pumbav.
Kuzikwa ni kuzikwa hata serikali inazika watu wake, hakuna maiti isiyozikwa , huyo anasema hivyo akitangulia yeye nawe usimzike? Pumbafu sana!
 
Unakuta ndugu hawampendi mwenza wa ndugu yao hapo ndipo ugomvi huanzia hapo! Mfano Kaka alikuwa anasaidia ndugu, ukafika wakati naye anaoa majukumu yameongezeka msaada umepungua weee [emoji32][emoji32] lawama kwa mke hata kama hakuna hicho chakuwasaidia na hilo ndilo tatizo kubwa sana kwenye familia zetu za kiafrika
 
Back
Top Bottom