Ndugu wana msemo wao wanakwambia "ndugu yetu unajitenga sana kwenye matukio ya kifamilia, na wewe kwenye matukio yako usishangae watu waspokuja. mkwara mwingine wanasema ukifa utazikwa na nani kama ndugu zao hupatani nao?"Yaani acha kabisa mpango wangu mwakani nibaki na wanangu wawili tu ndugu tupa kulee!!!kwanza wanaafiki watupu unawasaidia halafu wanakusemanga!big up nyote mnaoishi na watoto wenu tu!nuclear family ndugu kulostishana tu
Acha kabisa sina hamu nao ndugu sio kuna shemeji yangu juzi kanipiga 300k yaani mmeapa afe kipa, afe beki hela atalipa sitakagi ujinga Mimi!Ndugu wana msemo wao wanakwambia "ndugu yetu unajitenga sana kwenye matukio ya kifamilia, na wewe kwenye matukio yako usishangae watu waspokuja. mkwara mwingine wanasema ukifa utazikwa na nani kama ndugu zao hupatani nao?"
Ila ndugu haohao wanaotaka uwe nao karibu ndio haohao ukigeuza kisogo wanakung'ong'a.
pumbav.
Hivi mki'share baba sio ndugu eti?
Mkuu kua uyaone, udugu wa sasa ni wa mwendo kasi.
Pole sana dadangu!!! InaumizaAcha kabisa sina hamu nao ndugu sio kuna shemeji yangu juzi kanipiga 300k yaani mmeapa afe kipa, afe beki hela atalipa sitakagi ujinga Mimi!
Mbaya zaidi mtoto wa kiume anakua anantapeli halafu Mimi mwenyewe niliagizwa na mtu nimfanyie kazi!nililia jamani siku almost wiki nzima nawaza why!
Na mm nakazia, ndugu yako ni yule mlietoka nae tumbo moja.Mimi mbona ndugu yangu ndo aliyeninyanyua pale nilipojua mimi ni mgeni sana hapa duniani...Au kisa tupo wachache tu(3)!!!
Hao ndugu zenu inabidi mkapime DNA,labda bi'mkubwa alimpiga changa la macho mzee.
Ndugu yako ni yule mliyetoka naye tumbo moja tu.
Pole sana dadangu!!! Inaumiza
Sio wote wabaya wema wapo pia miongoni mwaoMimi mbona ndugu yangu ndo aliyeninyanyua pale nilipojua mimi ni mgeni sana hapa duniani. Au kisa tupo wachache tu(3)!!!
Hao ndugu zenu inabidi mkapime DNA,labda bi'mkubwa alimpiga changa la macho mzee. Ndugu yako ni yule mliyetoka naye tumbo moja tu.
Halafu kweliTafuta hela utatafutwa na ndugu wote na Utaondokana na karaha ya wewe kutafuta ndugu zako.
Nasema tafuta hela.