Siku bwana mkubwa akisema ushoga ruksa,bado ataungwa mkono

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,390
145,473
Tena na hawahawa wanaopinga wanafunzi wanaopata mimba waendelee na masomo.

Jiulizeni ni lini mliwahi kuwasikia wakipinga kipengele hicho kilichokuwepo kwenye ilani ya chama chao?

Hawa wenzetu kuna mtu anafikiria kwa niaba yao!

Ajabu sana!
 
Bahati mbaya wanachama wake wa kile chama cha makinikia hawaruhusiwi kuwa na akili au kuwa na mitizamo yao. Analosema yeye wao wanapiga makofi tu. Kama nchi ya ma zombie vile
 
Mbona Nyie Mbowe alipowaambia Lowassa ni Fisadi mliunga Mkono na kumtukana Yule Mmasai kuwa ni thawabu kumzomea na Siku mlipoambiwa sio Fisadi ni Mwadilifu na anafaa kwa Urais pia mkashangilia na kupiga Deki apite? Nanyi kuna Mtu anafiri kwa niaba yenu!
 
Mbona Nyie Mbowe alipowaambia Lowassa ni Fisadi mliunga Mkono na kumtukana Yule Mmasai kuwa ni thawabu kumzomea na Siku mlipoambiwa sio Fisadi ni Mwadilifu na anafaa kwa Urais pia mkashangilia na kupiga Deki apite? Nanyi kuna Mtu anafiri kwa niaba yenu!

Nimependa, umewapa la usoni pwaaaa

Ha ha haaaaa
 
Naona kila mkilala mnafikiria
kesho mtaandika nini kuhusu
Raid,Vp kwani huwa mnalipwa
Tshs kiasi gani kwenye kitengo
cha Mtandaoni?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom