wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,574
Story za Paukwa pakawa mkuu.Mleta mada ni miongoni mwa mananga wanaozalishwa jeshini kwa kupiga zile kozi za mtoto wa binamu anafundishwa na mtoto wa nmmjomba. Kuna cheo kinaitwa askari luteni kweli katika jeshi lolote!!, huyu askari luteni bia yake inamwagwa na kuambiwa aende mahabusu baada ya kugoma bunduki anaelekezewa sajenti.