Siku 52: Tanzania bila Magufuli

Siku 52: Tanzania bila Magufuli

ANGEKUWA MAGUFULI: Safari ya kuelekea Dar kuongea na wazee angeenda kwa kutumia usafiri wa gari ilimradi apite njiani aone wananchi wake na azungumze nao kabla ya kufika dar.

Kuna watu au taasisi wangetatuliwa matatizo yao papo kwa papo, kuna watu au taasisi angewapatia pesa kwa ajili ya shughuli za kimaendeleo.

PIA, angekuwa anarudi DODOMA angepita barabarani kuona kama kuna wananchi wapo njiani kumsubiria awasalimu na angesimama kuwasalimu. NAMKUMBUKA SANA HUYU MZEE
 
Ninapomuona mtu anamponda Jiwe ninabaki namshangaa na kumuona hana akili kabisa.

Mosi,Huo uhuru wa habari ndio ulikuwa kipaumbele kwa watanzania? Upuuzi mtupu! Watu wanakufa huko vijijini kwa kukosa huduma bora za afya na umasikini alafu kuna mtanzania mmoja mpuuzi analeta fyokofyoko zake...
Mungu Fundi
 
Vyombo vya habari vilikiwa likizo enzi za utawala wa jiwe
Vipi matukio ya wagonjwa waliokuwa wanakufa hospital kwa kukosa huduma bora za afya ulikuwa unazisikia? Au wajawazito waliofia njiani kwa ubovu wa miundombinu nao uliwasikia? Au kwakuwa hawakuwa na umaarufu nao sio watu?
 
Vipi matukio ya wagonjwa waliokuwa wanakufa hospital kwa kukosa huduma bora za afya ulikuwa unazisikia? Au wajawazito waliofia njiani kwa ubovu wa miundombinu nao uliwasikia? Au kwakuwa hawakuwa na umaarufu nao sio watu?
Hao tangia Uhuru so ilizoeleweka vikawa vitu vya kawaida, ila haya ya kutekana na kupotezana au viroba vya maiti kuelea majini ni majambo mapya na yalianza na kushamiri ktk utawala wa marehemu dikiteta magufuli.
 
Kwetu huku umeme unakatika kila wakati kama awamu ya nne, kipindi cha magu umeme ulikuwa haukatiki hovyohovyo,siku hizi kwa siku moja umeme unakatika mara nne..magu sijui alikuwa anawafanyaje hawa tanesco,na sijui kwa nini siku hizi wanashindwa,mbona walikuwa wanaweza kipindi cha magu?
 
ANGEKUWA MAGUFULI: Safari ya kuelekea Dar kuongea na wazee angeenda kwa kutumia usafiri wa gari ilimradi apite njiani aone wananchi wake na azungumze nao kabla ya kufika dar. Kuna watu au taasisi wangetatuliwa matatizo yao papo kwa papo, kuna watu au taasisi angewapatia pesa kwa ajili ya shughuli za kimaendeleo
Angekuwa anakula mahindi ya kuchoma barabarani sio😃😃😃 too late to talk about it. Ya nini ujioverwork? No wonder alijikuta anazidiwa, ofisi Ile ni ngumu sana hulali wakati mwingine. Sasa ya nini kuzurura mabarabarani kila siku kama dereva wa malori.🤷
 
"Leo nimesoma mtandaoni, Dar es salaam kuna watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu,naomba nitoe meseji wasijaribu kina cha maji, IGP upo hapa, mitandaoni wanamtaja Afande mmoja alikomesha ujambazi, wanasema 'Mama turudishie',IGP kaliangalie hilo vizuri" -- Rais Samia Suluhu wakati akizungumza na wazee Dar es salaam..
Hata tukichelewa home hatupigiwi tena simu na ndugu zetu kwa hofu kwamba labda tumetekwa
 
Kuna kiongozi ktk nchi hii alipangua watendaji kama meko?lakini hadi ana fariki hakuwa amepata cream!!
Tena Kayafa ndio alileta viongozi wa hovyo sana, imagine makonda, sabaya, gambo, Jerry muro, Albert RC mbeya, Ally hapi, waziri Luhaga Mpina, yule mchapa viboko DC wa Arusha, Mnyeti, huko kwenye MaDAS ndio wamejaa vichaa watupu kama yule aliyesimamishwa wa temeke.

Yani naona alikuwa anataka watu flani ambao waliishia kuwa wehu haeakuelewa wanapaswa kufanya nini
 
"Leo nimesoma mtandaoni, Dar es salaam kuna watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu,naomba nitoe meseji wasijaribu kina cha maji, IGP upo hapa, mitandaoni wanamtaja Afande mmoja alikomesha ujambazi, wanasema 'Mama turudishie',IGP kaliangalie hilo vizuri" -- Rais Samia Suluhu wakati akizungumza na wazee Dar es salaam.

Swali; Tangu aliyekuwa Rais wa JMT John Magufuli kufariki mbona haya matukio yanarudi kwa kasi?

Mbona madawa ya kulevya mitaani yanarudi kwa kasi sana na siku za karibuni kuna mzigo mkubwa ulikuwa unaingizwa nchini?

Maoni ya wadau
Sio IGP bali aliyekuwa nyuma ya IGP alikuwa ni Moto usiosogeleka! Tunashukuru kuwa mmeanza kuona tofauti ndani ya kipindi hiki kifupi.Jiwe was real hard mpaka majambazi walipiga saluti.

Haki nobody like JPM. Alikuwa one man show.Nguvu kubwa isiyoonekana nyuma yake ilinyamazisha kelele na fujo za kila mtu na kila kitu.Alitamka na kila mwenye akili timamu alimwelewa waovu walitulia,Hadi mapepo ya Corona na ujambazi yalitii.Sasa vyote vinarudi kwa kasi ya 5G.Mungu baba ahsante kwa maisha ya Magufuli kabla yake tulikuomba kwa pamoja utupe rais wa aina yake ukatupa,ukatuonjesha tu atufungue macho na tuone tofauti ya uongozi na uongozi.Umemhitaji ukamchukua.Wewe ni Mungu.Ushukuriwe milele.

Je,Unadhani kwanini imekuwa mapema mno utofauti wa juhudi za hayati JPM na uongozi uliopo kuonekana miongoni mwa watanzania?
Ninachokiona mimi ni utofauti wa kupata taarifa. Enzi za hayati upatikanaji wa taarifa ulikua mgumu. Hakuna mtu alikua anajiachia kutoa taarifa ya aina yoyote ile kwa kuogopa either yeye kuwa mtuhumiwa namba moja au kukiona cha moto.

Ndio maana hata taarifa za ufisadi, rushwa zilikua ngumu kwakua watu waliogopa kuzitoa.

Hivi sasa watu wapo huru kutoa taarifa ya aina yoyote ile
 
Ninachokiona mimi ni utofauti wa kupata taarifa. Enzi za hayati upatikanaji wa taarifa ulikua mgumu. Hakuna mtu alikua anajiachia kutoa taatifa ya aina yoyote ile kwa kuogopa either yeye kuwa mtuhumiwa namba moja au kukiona cha moto.

Ndio maana hata taarifa za ufisadi, rushwa zilikua ngumu kwakua watu waliogopa kuzitoa.

Hivi sasa watu wapo huru kutoa taarifa ya aina yoyote ile
Watoa taarifa wengi walipotea
 
Ninapomuona mtu anamponda Jiwe ninabaki namshangaa na kumuona hana akili kabisa.

Mosi,Huo uhuru wa habari ndio ulikuwa kipaumbele kwa watanzania? Upuuzi mtupu! Watu wanakufa huko vijijini kwa kukosa huduma bora za afya na umasikini alafu kuna mtanzania mmoja mpuuzi analeta fyokofyoko zake.

Pili,Hakuna kikosi kazi kilichoundwa na Magufuli zaidi ya uchafuzi na propaganda za kisiasa, Na hata kama kingekuwepo watanzania waliona ni sawa kwa kuwa baadhi ya watu walijiona ni muhimu kuliko maisha ya watanzania wengine hususan wale masikini waliopo vijijini kwa kuendekeza siasa zisizo na tija!

Tatu, Tanzania ni nchi masikini.Nyerere alisema maadui wa taifa ni ujinga,umasikini na maradhi ninyi wanasiasa mnaendekeza upuuzi mwingine kutuondoa watanzania katika focus! Nenda vijijini watanzania wanafurahia huduma bora za afya,elimu bure maji kila kona! Kama alikuwa muuaji basi alikuwa muuaji mzuri!

Nne, Chato ipo nje ya Tanzania?

Mwisho Mwendazake alikuwa mwiba kwa wanasiasa uchwara walioendekeza siasa za midomoni na kutafuta ulaji kwa jina la siasa.Ni heri hata kama aliwapiga risasi baadhi yao ili kuokoa maelfu ya wanawake waliokuwa wanafia njiani kuelekea hospitali kujifungua kutokana na ubovu wa miundombinu! Ujenzi wa SGR,Flyovers,barabara,madaraja,ndege...n.k zote ni kwa ajili ya watanzania!

Ahsante Baba!
Hizi propaganda ndio meko alikuwa anazipenda, eti vijijini wananchi wanafurahia huduma bora za maji kila kona! na afya kweli?tena hakuna kipindi ambapo gharama za matibabu kwenye hospital za serikali zimekuwa juu kama kipindi chake!!upatikanaji wa dawa bado ni tatizo, kwenye bima ya afya huko nako akapagusa, kidogo sasa hivi ndio wameanza kurekebisha!!hao maelfu ya wanawake aliwasaidia vipi wakati upotevu wa pesa ya serikali ulikuwa vile vile tu?licha ya kutaka kuwanyamazisha wapinzani wake je waliisha?!!
Bora nisiwe na akili, kuliko niwe nazo kwa kushabikia ukatili ule!!sasa hata kama hatuna kitu tunaishi kwa amani!hatufokewi, hatutishwi tishwi
 
Hizi propaganda ndio meko alikuwa anazipenda, eti vijijini wananchi wanafurahia huduma bora za maji kila kona! na afya kweli?tena hakuna kipindi ambapo gharama za matibabu kwenye hospital za serikali zimekuwa juu kama kipindi chake!!upatikanaji wa dawa bado ni tatizo, kwenye bima ya afya huko nako akapagusa, kidogo sasa hivi ndio wameanza kurekebisha!!hao maelfu ya wanawake aliwasaidia vipi wakati upotevu wa pesa ya serikali ulikuwa vile vile tu?licha ya kutaka kuwanyamazisha wapinzani wake je waliisha?!!
Bora nisiwe na akili, kuliko niwe nazo kwa kushabikia ukatili ule!!sasa hata kama hatuna kitu tunaishi kwa amani!hatufokewi, hatutishwi tishwi
ukweli mtupu !
 
Dah kweli nime amini nabii akubaliki kwao
Wote wanao mpinga jpm jaribuni kuhuliza inch zingine za afrika muone jinsi gani jpm alivyo kuwa na kubalika and I think miaka ya mbeleni TZ ingelikuwa super power in Africa
Maana jamaa alikubakika saana ok any way si shangai maana mtu awezi pendwa na watu wote
Ila kiukweli vile alivyo kuwa jpm ndivyo kiongozi anatakiwa awe
Na kuhusu vitendo vya utekaji na ku kill watu wanao mkosoa na kupingana na sheria zake ukweli na mpongeza
Ata kipindi cha zamani ata Mungu alikuwa ivo ukikosa ku respect sheria zake anakuchoma na moto ili upotelee mbali

But na fikiri in our country DRC tungeli mpata kama jpm dah ukweli light tungeli ona
Maana angeli tunyohosha na Nina fikiri ata Belgium wasingeli tuchukulia wanyonge tena
Kile walicho na tegemea kukipa dah jamaa angeli wa bana sawa sawa na tungeli faidika saana
Na ukileta za kuleta ana tuma kundi lake la watekaji wana enda kukuteka na maisha yana kwenda maana afrika bila kufanyiwa ivo ujinga atuwezi kuacha ujinga TZ kila mtu alieshimu mwenzake na kueshimu kazi ya mwenzake ukileta za kuleta una kula out na ukiguna una potelea mbali kuepusha matatizo
 
Vipi matukio ya wagonjwa waliokuwa wanakufa hospital kwa kukosa huduma bora za afya ulikuwa unazisikia? Au wajawazito waliofia njiani kwa ubovu wa miundombinu nao uliwasikia? Au kwakuwa hawakuwa na umaarufu nao sio watu?
What a stupid comment, unaboresha huduma za afya kuokoa maisha ya watu huku unaua watu kikatili, probably you were among the hit squad crew/gang(wasiojulikana).
 
"Leo nimesoma mtandaoni, Dar es salaam kuna watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu,naomba nitoe meseji wasijaribu kina cha maji, IGP upo hapa, mitandaoni wanamtaja Afande mmoja alikomesha ujambazi, wanasema 'Mama turudishie',IGP kaliangalie hilo vizuri" -- Rais Samia Suluhu wakati akizungumza na wazee Dar es salaam.

Swali; Tangu aliyekuwa Rais wa JMT John Magufuli kufariki mbona haya matukio yanarudi kwa kasi?

Mbona madawa ya kulevya mitaani yanarudi kwa kasi sana na siku za karibuni kuna mzigo mkubwa ulikuwa unaingizwa nchini?

Maoni ya wadau
Sio IGP bali aliyekuwa nyuma ya IGP alikuwa ni Moto usiosogeleka! Tunashukuru kuwa mmeanza kuona tofauti ndani ya kipindi hiki kifupi.Jiwe was real hard mpaka majambazi walipiga saluti.

Haki nobody like JPM. Alikuwa one man show.Nguvu kubwa isiyoonekana nyuma yake ilinyamazisha kelele na fujo za kila mtu na kila kitu.Alitamka na kila mwenye akili timamu alimwelewa waovu walitulia,Hadi mapepo ya Corona na ujambazi yalitii.Sasa vyote vinarudi kwa kasi ya 5G.Mungu baba ahsante kwa maisha ya Magufuli kabla yake tulikuomba kwa pamoja utupe rais wa aina yake ukatupa,ukatuonjesha tu atufungue macho na tuone tofauti ya uongozi na uongozi.Umemhitaji ukamchukua.Wewe ni Mungu.Ushukuriwe milele.

Je,Unadhani kwanini imekuwa mapema mno utofauti wa juhudi za hayati JPM na uongozi uliopo kuonekana miongoni mwa watanzania?
utopolo FC. katika ubora wake. hayo madawa ya kulevya yaliyoongezeka umeyaona wapi? hata huo ujambazi haukuisha kipindi cha JPM wala hautaisha kipindi cha SSH.
 
Back
Top Bottom