Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
Jifunze kuandika kwanzaKuendelea kupata vichekesho hivi, tuma neno Luwasa kwenda 15774...Gharama utatozwa
Jifunze kuandika kwanzaKuendelea kupata vichekesho hivi, tuma neno Luwasa kwenda 15774...Gharama utatozwa
Chadema kinawapenzi wengi sana
Ukweli haufichwi kwa usani wa kushtukizaamezidi kuachwa mbalina Magufuli naona wakina mengi bado wanajifariji chama kimeimarika wakati hakina katibu mkuu
uzi wa siku 200 za lowassa umegeuka uzi wa Magufuli, huyu jamaa anawanyima usingizi. Toka asilimia 39 ya kupendwa mpaka 9.6, si mchezo! BACKWARD MARCHING!!Milioni hamsini kila kijiji ipo wapi? Walimu wote kupewa komputer mpakato wapi? Nakumbuka alisema anajua kupika ameshaanza kusonga ugali?
Jifunze kusoma kwanzaJifunze kuandika kwanza
Hatukurupuki wala kushtulizaWatajaza Lowassa akipata mtu.
haa haa lini nafasi ya katibu mkuu inajazwa?
upinzani kwa ujumla wake nchini unazidi kupata nguvu zaidi hasa baada ya watanzania kushuhudia waliowahi kuwa viongozi mashahuhuri hapa nchini kama MZEE LOWASSA NA SUMAYE wakijiunga na upinzani chini ya kauli mbiu ya MABADILIKO, LOWASSA NA LOWASSA MABADILIKOchadema imezidi kupendwa na kuaminiwa na watanzania.
Chance mlikuwa nayo awamu ya nne walivurunda sana, hata tundu lissu alisema pia kuwa ktk sisiemu kulikuwa na mpasuko ambao hujawahi tokea, hivyo wangeotumia fursa ila bahati mbaya Mungu akawaletea Magufuli, hapo mwendo wa chadema ukawa downwards tu.Bora Nyumbu kuliko fisi anayesubiri mkono wa binadamu udondoke ndio afaidi kama wewe
Zaidi kaongoza maandamano ya misiba. Kweli wameimarika tehee teheeKipi kaongeza kwenye taifa?
Angetimiza ahadi yake akishindwa uchaguzi anaenda kuchunga ng'ombe
Badala yake kabanana hapa mjini kutafuta kiki
Haaminiki huyo fisodo
Hayo yapo kwenye nipashe
Kwani CCM kimeimarika? Hukusikia mapovu ya M/kiti wako huko Singida? Picha ilijionyesha, chama kimechoka kabisa.Cdm kuwaamini unatakiwa uwe na akiri ya kushikiwa. Imeimaritka wapi cdm? Hatumssikii mwenyekiti wala katbu chama ameachiwa lowasa
Yakweli ni nyingi hata kwenye website ya ccm haitoshiLowassa ndani ya siku 200 kasababisha Chadema ifute orodha ya Mafisadi Papa 11 (List of shame) kwenye Tovuti ya Chama iliyowekwa tangu 2007.
Umeshaonaga anafanya vitu vya kushtukiza ambavyo nimaigizo?Lowassa is finished.
Hata usanii wake kwa sasa ameshindwa kuuza kwa wananchi wengi pamoja na kubebwa na vyombo vingi vya habari nchini.