Mkuu sidhani maana sababu hata hiyo katiba cdm hatuijuiHivi mama Magufuli si chadema yulee?
Cdm kuwaamini unatakiwa uwe na akiri ya kushikiwa. Imeimaritka wapi cdm? Hatumssikii mwenyekiti wala katbu chama ameachiwa lowasa
JF niko 24/7 nikuulize wewe ulipotelea wapi?Mkuu upooo? Wapi ulipotelea ndugu?
Hakuna kitu wanachoogopa ccm kama wakisikia jina la lowassa likitajwa, kiboko ya ccm ni mh lowassaKuna Siri tumezijua za siasa ambazo kabla tulikuwa hatuzijui ndio maana tulivyochakachuliwa tulikauka.
Ccm wakisikia tu jina la mh lowassa bas wao matumbo joto 😱😛😛😛😛😛😛😛Kuna Siri tumezijua za siasa ambazo kabla tulikuwa hatuzijui ndio maana tulivyochakachuliwa tulikauka.
Tatizo liko wapi?.Cdm kuwaamini unatakiwa uwe na akiri ya kushikiwa. Imeimaritka wapi cdm? Hatumssikii mwenyekiti wala katbu chama ameachiwa lowasa
Naona umelewa mazingaombweWalishamuuzia hiyo Saccos. Ndiyo maana kasema atagombea tena 2020. Hakuna mtu mwingine kutoa pua yake.
Ukiwa unapenda kitu hata kwenye shida itakuwa nacho.Wewe ni CCM ukaiacha CDM kwenye shida zaa hizi ndiyo unajisogeza acha hizo.Haki CCM tuAfadhali lowasa aondolewe wabaki cdm halisi.hata kama sio mwana cdm utaipenda tu kwa mapambano yake na dollar
Naona kale ka wimbo ka ccm ni ile ile kamekuadhiri sanaImeimalikaje sasa?cdm uongozi ulifanya mambo ya mkanganyiko kibiashara,kwa nn kujifariji na mambo yalionekana?ni bola kutoa ushauli wa uchaguzi ujao,mtu aliyechafuliwa alikuja kulipa kisasi cdm na watu hawastuki tu aisee! na wengine wakakubali jamaa aje alipe kisasi wakalamba pesa,mapenzi ya chama pasi kufikili kwa kina tukaishia kutoa pongezi ni kujidanganya
Katangaze kabisa kwenye Zapa RadioFmNaona umelewa mazingaombwe
Mlifanya nini kwenye kujumlishia kura?Madudu yalikuwa mengi sana awamu ya 4...hiyo ndo nafasi pekee mliyokuwanayo ila mkachemka kwa kupokea mapandikizi ya chichiemu..subirini muone kama hilo jahazi litatoa nanga hapo
Milioni hamsini kila kijiji ipo wapi? Walimu wote kupewa komputer mpakato wapi? Nakumbuka alisema anajua kupika ameshaanza kusonga ugali?Kipi kaongeza kwenye taifa?
Angetimiza ahadi yake akishindwa uchaguzi anaenda kuchunga ng'ombe
Badala yake kabanana hapa mjini kutafuta kiki
Haaminiki huyo fisodo
Doubling the dosage!Mlifanya nini kwenye kujumlishia kura?