binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 13,111
- 34,408
Tunalaumu outcome bila kuhoji tumefikaje fikaje hapa.
Hili swali tuligeuze kwa wanaume, kwa dunia na mazingira ya sasa mngekuwa wanawake mngefanya nini?
Nazungumzia dunia ambayo mtu anakutongoza sasa hivi akulale baadae, au anakutongoza sasa hivi akakulale sasa hivi…..Option hapa ni moja tu kukataa au kumuuzia.
Mna complicate mambo, ni dunia tuliyojikuta tumo na haya yote tumeyasababisha sisi.
Waliooa waacheni wapeane bure maana kuna gharama kila mmoja alishaziingia kwa namna moja ama zingine.
Wale wanaodate for better future wanajua wafanyeje ili waendeshe mahusiano yao.
Ninyi mliobaki mambo yasiwe mengi, atakayemfuata mwenzie amlipe, dau la mtu mmoja litatofautiana na la mwingine Vigezo na masharti vikizingatiwa, Si ndio muda wa wanaume kujipandisha thamani na nyie 😂😂😂 naandika huku nacheka!
Wanaume jitulizeni msubiri kutongozwa muone kama mtaombwa hela.
Hili swali tuligeuze kwa wanaume, kwa dunia na mazingira ya sasa mngekuwa wanawake mngefanya nini?
Nazungumzia dunia ambayo mtu anakutongoza sasa hivi akulale baadae, au anakutongoza sasa hivi akakulale sasa hivi…..Option hapa ni moja tu kukataa au kumuuzia.
Mna complicate mambo, ni dunia tuliyojikuta tumo na haya yote tumeyasababisha sisi.
Waliooa waacheni wapeane bure maana kuna gharama kila mmoja alishaziingia kwa namna moja ama zingine.
Wale wanaodate for better future wanajua wafanyeje ili waendeshe mahusiano yao.
Ninyi mliobaki mambo yasiwe mengi, atakayemfuata mwenzie amlipe, dau la mtu mmoja litatofautiana na la mwingine Vigezo na masharti vikizingatiwa, Si ndio muda wa wanaume kujipandisha thamani na nyie 😂😂😂 naandika huku nacheka!
Wanaume jitulizeni msubiri kutongozwa muone kama mtaombwa hela.
