Sijui tunaelekea wapi asee!

Sijui tunaelekea wapi asee!

Kwanza kabisa, penzi ni nini?

Unamaanisha nini unavyoandika "penzi"?
Anamaanisha mahusiano yote kiujumla maintanance cost yake ni sawa na kununua kahaba. Akija kukutembelea ugharamie usafiri, ukienda kumtembelea utaambiwa njoo na kitu fulan mfano chipsi, mnaishi sehemu tofauti lakini utaombwa umlipie umeme, gas na wakati mwingine hadi kodi ya nyumba. Mapenzi ni mutualy basic need lakini mwanaume anabebeshwa gharama kama vile anauziwa au anafanyiwa favour ambayo kiungwana tu itatakiwa kulipia posho, mwanaume anabebeshwa gharama ambazo kimsingi mwanamke alitakiwa kuwajiba nazo mwenyewe au kama hana kazi basi alitakiwa kugharamiwa na wazazi wake.
 
Unamwomba Penzi ili iweje?
Sasa ambake? Kuombwa penzi ni sawa na kutongozwwa yaani jamaa kaonesha hitaji la kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wewe sasa wewe ukitumia hitaji la jamaa kama fursa ya kupiga hela ndipo hapo unakua hauna tofauti na dada poa
 
Nyakati hizi demu anakwambia eti "me sijiuzi ila kama hunipi hela nakupaje penzi sasa?


That means bila kumpa hela mapenzi hayapo kabisa alafu demu huyo huyo anakwambia hajiuzi. Sasa unajiuliza kuna tofauti gani na kununua malaya sehemu zingine

Na hawa ndiyo tunawategemea wawe mama wa watoto wetu na bibi wa wajukuu zetu inahuzunisha kwakweli.
Kwahyo akikupa bure ndio atakuwa mama bora.?
 
Kwani kunipa k mpaka nikupe hela?huwezi nipa kwa upendo tu?

Sasa tofauti yako na dada poa ni nini hapo!!?

Na je ukinipa k me pia si nakupa mboo,basi na we nipe hela....

Mbona wanawake mnakuwa selfish sana
Hao ndio nature yao very selfish creatures known to mankind
 
Anamaanisha mahusiano yote kiujumla maintanance cost yake ni sawa na kununua kahaba. Akija kukutembelea ugharamie usafiri, ukienda kumtembelea utaambiwa njoo na kitu fulan mfano chipsi, mnaishi sehemu tofauti lakini utaombwa umlipie umeme, gas na wakati mwingine hadi kodi ya nyumba. Mapenzi ni mutualy basic need lakini mwanaume anabebeshwa gharama kama vile anauziwa au anafanyiwa favour ambayo kiungwana tu itatakiwa kulipia posho, mwanaume anabebeshwa gharama ambazo kimsingi mwanamke alitakiwa kuwajiba nazo mwenyewe au kama hana kazi basi alitakiwa kugharamiwa na wazazi wake.
Haya ni matatizo ya jamii masikini. Zaidi ya jamii masikini, mentality ya kimasikini. Maana unaweza kukutana na mtu masikini lakini hana mentality ya kimasikini.

Kuna siku, miaka ya nyuma sana, nilikuwa namtongoza dada mmoja, dada Mmarekani mweusi. Mtoto mkali, katulia.Nikasema ngoja nimchokoze huyu kwenye mtoko wa weekend.

Nikamtupia ndoano ya maneno matamu, tukawa tunaelewana.

Nikamwambia vipi weekend, una mpango gani? Ningependa tutoke. Akasema kutoka ningependa, ila kwa sasa nimechalala, mambo yangu si mazuri.

Sasa mimi mwanamme wa Kiafrika nikasema hapa si ndo penyewe pa kutoka kidedea mwanamme. Nikamwambia wewe usijali, mimi nitakuja kukuchukua nyumbani, tutakwenda restaurant ya maana, tutabarizi vizuri, halafu nitakurudisha.

Bidada akashukuru sana kwa ukarimu wangu, lakini akaniambia kwamba, yeye hata kama mwanamme atamlipia kila kitu, hawezi kufanya mtoko bila ya yeye kuwa na hela zake pia.

Nikamuangalia yule bibie, nikasema dada ningeweza kukurekodi tutoe somo kwa dada zetu wengine wa kibongo ningefanya hivyo.

Huko kwetu unaweza kuombwa mpaka nauli, ukatuma nauli na ya kutolea, halafu mtu asije!
 
Haya ni matatizo ya jamii masikini. Zaidi ya jamii masikini, mentality ya kimasikini. Maana unaweza kukutana na mtu masikini lakini hana mentality ya kimasikini.

Kuna siku, miaka ya nyuma sana, nilikuwa namtongoza dada mmoja, dada Mmarekani mweusi. Mtoto mkali, katulia.Nikasema ngoja nimchokoze huyu kwenye mtoko wa weekend.

Nikamtupia ndoano ya maneno matamu, tukawa tunaelewana.

Nikamwambia vipi weekend, una mpango gani? Ningependa tutoke. Akasema kutoka ningependa, ila kwa sasa nimechalala, mambo yangu si mazuri.

Sasa mimi mwanamme wa Kiafrika nikasema hapa si ndo penyewe pa kutoka kidedea mwanamme. Nikamwambia wewe usijali, mimi nitakuja kukuchukua nyumbani, tutakwenda restaurant ya maana, tutabarizi vizuri, halafu nitakurudisha.

Bidada akashukuru sana kwa ukarimu wangu, lakini akaniambia kwamba, yeye hata kama mwanamme atamlipia kila kitu, hawezi kufanya mtoko bila ya yeye kuwa na hela zake pia.

Nikamuangalia yule bibie, nikasema dada ningeweza kukurekodi tutoe somo kwa dada zetu wengine wa kibongo ningefanya hivyo.

Huko kwetu unaweza kuombwa mpaka nauli, ukatuma nauli na ya kutolea, halafu mtu asije!
Huku ni balaa kaka mkubwa. Mwanamke akishavaa kisketi chake kinachoacha mapaja wazi akaingia club basi anajiona ana haki ya kununuliwa vinywaji, chakula, shisha na kugharamiwa usafiri wa kuondoka. Siku ya mwaka mpya kuna dada alinitumia text kuniambia twende tuaangalie show ya christian bella nikamwambia its ok but we will split all bills. Yule dada akapotea hewani.

Unajua hata mwanamke akikuzidi matumaizi na mnatakiwa kugharamia sawa wala hakuna shida angalao tu na yeye anawajibika kwa kiasi fulani lets say tumetoka out bill imekuja 100k ambapo mwanamke katumia 70k na mimi nimetumia 30k itagawanywa kwa nusu kila mmoja atatoa 50k wala hakuna shida but a woman who provide absolutely nothing thats its too bad.
 
Haya ni matatizo ya jamii masikini. Zaidi ya jamii masikini, mentality ya kimasikini. Maana unaweza kukutana na mtu masikini lakini hana mentality ya kimasikini.

Kuna siku, miaka ya nyuma sana, nilikuwa namtongoza dada mmoja, dada Mmarekani mweusi. Mtoto mkali, katulia.Nikasema ngoja nimchokoze huyu kwenye mtoko wa weekend.

Nikamtupia ndoano ya maneno matamu, tukawa tunaelewana.

Nikamwambia vipi weekend, una mpango gani? Ningependa tutoke. Akasema kutoka ningependa, ila kwa sasa nimechalala, mambo yangu si mazuri.

Sasa mimi mwanamme wa Kiafrika nikasema hapa si ndo penyewe pa kutoka kidedea mwanamme. Nikamwambia wewe usijali, mimi nitakuja kukuchukua nyumbani, tutakwenda restaurant ya maana, tutabarizi vizuri, halafu nitakurudisha.

Bidada akashukuru sana kwa ukarimu wangu, lakini akaniambia kwamba, yeye hata kama mwanamme atamlipia kila kitu, hawezi kufanya mtoko bila ya yeye kuwa na hela zake pia.

Nikamuangalia yule bibie, nikasema dada ningeweza kukurekodi tutoe somo kwa dada zetu wengine wa kibongo ningefanya hivyo.

Huko kwetu unaweza kuombwa mpaka nauli, ukatuma nauli na ya kutolea, halafu mtu asije!
Isn’t that what anybody with an ounce of common sense ought to do?

If you invite me to an all expense paid trip to the Kilymandiaro Sunset Paradise, for example, to celebrate your birthday bash, I’m not just gonna show up without my own money!

That’s just basic common sense. But I get it. Nowadays it seems like we don’t have it in abundance.

My common sense tells me to always have your own money about your person no matter where you’re invited or by whom you’re invited.

So that lady friend of yours had some good common sense and the decency to let you know that her economy wasn’t good at the time.

I rock with that.

Ne-Yo, Jamie Foxx, and Fabolos reminded us about it over a decade ago!


View: https://youtu.be/LKj5MWHTInY?si=FLKR5gGMgf3RJLk7
 
Mapenzi bila pesa (Zilipendwa!)

Ni sawa na kujidanganya kwa hadithi za Romeo & Juliet love.... Ni Sawa na kujaribu kumuua Tai kwa Manati!
 
Anamaanisha mahusiano yote kiujumla maintanance cost yake ni sawa na kununua kahaba. Akija kukutembelea ugharamie usafiri, ukienda kumtembelea utaambiwa njoo na kitu fulan mfano chipsi, mnaishi sehemu tofauti lakini utaombwa umlipie umeme, gas na wakati mwingine hadi kodi ya nyumba. Mapenzi ni mutualy basic need lakini mwanaume anabebeshwa gharama kama vile anauziwa au anafanyiwa favour ambayo kiungwana tu itatakiwa kulipia posho, mwanaume anabebeshwa gharama ambazo kimsingi mwanamke alitakiwa kuwajiba nazo mwenyewe au kama hana kazi basi alitakiwa kugharamiwa na wazazi wake.
Umemaliza kila kitu mkuu
 
Nyakati hizi demu anakwambia eti "me sijiuzi ila kama hunipi hela nakupaje penzi sasa?


That means bila kumpa hela mapenzi hayapo kabisa alafu demu huyo huyo anakwambia hajiuzi. Sasa unajiuliza kuna tofauti gani na kununua malaya sehemu zingine

Na hawa ndiyo tunawategemea wawe mama wa watoto wetu na bibi wa wajukuu zetu inahuzunisha kwakweli.
Hujawahi kukataa kitu huku anakitaka?, yaani unajibu kama hautaki ila unataka, na kutokana na hilo jibu lazima upewe
 
Back
Top Bottom