Dancani
JF-Expert Member
- Apr 4, 2012
- 796
- 398
Hilo neno ndio lingekuwa sahihi kutumiwa na mleta mada, ili asaidiwe kuchaguliwa mchumba, ili aingie kwenye ndoaMe upande wangu siwezi kumlaum kwa kusema kweli yake mambo kama hayo ni ya kawaida maaana huyu yeye kasema kweli lakini wapo wengi wenye wapenzi zaidi ya mmoja hata ww unayem,ponda huyu dada huna mpenzi mmoja so me nakushauri dada kumcgaua kati ya hao unaowapenda lakin usirudie kupoteza muda wa mtu kwani kila mmoja kati ya hao anamini ww ni wake peke yake wakati ww unajua wapo wawili so sitabia njema hata kidogo sababu hata ukiolewa ukizoea tabia hiyo utakuwa na mwanamme wa NjE YA nDOA