Mkuu nina swali moja tu kwako.... Je katika maisha yenu ya ndoa haujawahi kumcheat??
asante kiongozi, nitakutafutakahema!
pole sana! usibabaike hauko peke yako. kwanza tafita sababu kwa nini mkeo anaenda nje hill ndio swala la singi sababu inswezekana wewe ndio kidonda hivyo hata ikioa mwingine atafanya hiyo hiyo! pili, kuwapenda watoto wako kusikuzuie maisha yako ya baadae it all depends on how you plan it especially on choosing your next spouse but since you have three children already, I advice you to go for a woman who has one child and is also desperate with life like you, you can cope. But But I warn you this shouldn't be your fore most thought or idea, first scrutinize the innermost relationship with your wife if at you all find you find yourself weak somewhere don't dare attempting any act forward other than reconciling with your wife because it is said A DEVIL YOU KNOW IS BETTER THAN AN ANGEL YOU DONT KNOW.nitafute ritchelous@gmaii.com yaliishanipata hayo am 64 now mwisho kabisa nimeoa Guyana.
Mkuu nashukuru sana, hicho ulichosema nilikifanya mapema sana, nikajikuta nipo vizuri that why nikaja jamvini kupata msaada wa kimawazo nisonge vp kuanzia hapa.Kwanza nenda kapime huu ugonjwa wa Kisasa, then vuta pumzi za kutosha kulea wanao na mwisho usifikirie kumrudisha mkeo kwa sasa na pia usiwaze kuoa kwa kipindi kifupi kijacho kwani wapo na utawapata au pengine baada ya tafakari na tafakuri ukamrudia mkeo. Kama una uhakika kakucheat na vidume V3 ni wazo huyo mkeo haridhiki hata kama mngemuoa wanaume w2 na aina hii ya wanawake na hata wanaume ni pasua kichwa kwani hata ufanye juhudi kiasi gani starehe yake ni kukutana na wanaume tofauti tofauti na siyo kuridhishwa. Anza hatua sasa na hutoijutia safari yako ila ukigeuka kurudi nyuma nachelea kusema hata usalama wako na wanao uwapendae utakua shakani. Pole kwa masaibu na Happy New Year of 2015.
nipo hapa mjini mkuu, mji ambao wanaume hatuna thamani tena eti kwa kua tulijifungia ndani kuogopa panya road
kwa ufupi tu dada yangu, mimi na huyu binti tulikutana hapa mjini, tukawa marafiki na hatimaye tukaoana, binti alikuja mjini toka kwa wazazi wake akaja kuishi kwa uncle wake ambaye ni swahiba wangu wa karibu. kiufupi huyo rafiki yangu ana familia yake nzuri kabisa na background yakwao naijua fika maana tumesoma,tumekua wote so haikua taabu mimi kumjua huyo binti kiundani zaidi. na kwa kweli ndani ya miaka yote hiyo sikua na tatizo naye kimaadili kwa kua hakuonyesha hilo waziwazi, mengine yapo japo ni madogo madogo. lakini kitu ambacho nikuweke wazi tu dada yangu ni kwamba nilimuamini sana na nikampa uhuru sana huyu binti kiasi kwamba hata alipokua akiniaga kwenda sehemu sikuhitaji kumuulizax2 ilo labda ndio kosa langu kubwa.Kahema nimesoma tena thread yako pamoja na comments za watu na wewe ulivyojibu. Nimegundua kuna tatizo kubwa nyuma yenu ambalo hujafunguka. usipofunguka hata kwa kifupi, itakua ngumu kupata ushauri muafaka. na withdraw kwa sasa comments zangu za mwanzo za nini ufanye. Jaribu kufunguka kidogo ili tukupe ushauri unaostahili. Sipati picha mke kukimbia watoto wake for 6 days...!!! what went wrong, hebu funguka hapa na utuambie mlikutana wapi katika mazingira gani. Kingine usimlaumu sana, duniani hapa kuna mambo mengi, kuna mwanamke namfahamu alimkimbia mume wake na watoto watatu, mdogo akiwa na 9 months, akaenda kwa mwanamme mwingine, huko akazaa watoto wawili. hapa ninapoandika comments hizi, alishaachana na huyo mwanamme wa pili sasa hivi ni teja (mla unga na bangi) wa kupindukia. Ni mama mwenye degree yake huyu, above 40 lakini hapa ndipo alipoishia. watoto wake wote kaacha kwa baba zao. familia yake inadai aliondoka kimazingara kwa mume wa mwanzo. sina hakika na hili. hainingii akilini mwanamke kupotea na kuacha watoto watatu. mimi hata mmoja simuachi no matter what... Funguka kaka yangu, hapa ndio penyewe kwa ushauri.
Mmhh
Hii sasa ni noma!
Usioe kwa ss, tafuta dada wa kuwalea umlipe vzr!
Huku ukiendelea kutafakari
kwa ufupi tu dada yangu, mimi na huyu binti tulikutana hapa mjini, tukawa marafiki na hatimaye tukaoana, binti alikuja mjini toka kwa wazazi wake akaja kuishi kwa uncle wake ambaye ni swahiba wangu wa karibu. kiufupi huyo rafiki yangu ana familia yake nzuri kabisa na background yakwao naijua fika maana tumesoma,tumekua wote so haikua taabu mimi kumjua huyo binti kiundani zaidi. na kwa kweli ndani ya miaka yote hiyo sikua na tatizo naye kimaadili kwa kua hakuonyesha hilo waziwazi, mengine yapo japo ni madogo madogo. lakini kitu ambacho nikuweke wazi tu dada yangu ni kwamba nilimuamini sana na nikampa uhuru sana huyu binti kiasi kwamba hata alipokua akiniaga kwenda sehemu sikuhitaji kumuulizax2 ilo labda ndio kosa langu kubwa.
ukitaka kujua mengi tafadhali ni PM
asante sana kiongozimkuu Mimi nakushauri kitu kimoja, tafuta house girl au ndugu yoyote anayeweza kuwalea wanao vizuri, ishi nae pale home.madogo waende shule wakitoka wanakuta msosi na Cares zingine
jenga utaaratibu Wa kurudi home mapema , ili madogo wakuone before they retire to bed, baada ya hapo unaweza kunyoosha miguu kwenye ki pup cha Jiran hapo.
suala LA kuoa sasa hivi achana nalo kabisa, na Kama wewe ni mtumiaji Wa gambe, this is the time to quit or punguza kabisa coz unaweza jikuta unakunywa Sana kupunguza stress, kumbe wajiharibia.
make sure that ukiwa na nafasi japo weekend then wapeleke madogo matembezi kidogo,being close to the children will make you forget their mum and other women.
ukizidiwa kimwili, I mean damu ikichemka then unaweza kuchepuka once in a blue moon bhana usiogope lakini usiende kwa Mke Wa mtu au hookers,tafuta single mother ambae Hana shida ya mwanaume Wa kumlea Bali Wa Ku share nae life experience tu, wapo wengi Sana.
jenga mapenzi mengi Sana kwa watoto, ili wasije wakakuuliza mama yuko wapi au baba tunamtaka mama, yaani wasi m miss kabisa.am talking from experience brother.
wakati unafanya haya mungu atakuwa anakufunulia njia ya kumrudia mkeo au kutafuta mbadala wake.usikurupuke kumrudia au kupiga chini for good.
Rudia kusoma mchango wangu kuna way forward step by step......Ila uwe mbayuwayu.Mkuu nashukuru sana, hicho ulichosema nilikifanya mapema sana, nikajikuta nipo vizuri that why nikaja jamvini kupata msaada wa kimawazo nisonge vp kuanzia hapa.
maya amempenda sir chief akiwa na watoto watatu na ijumaa wanafunga ndoa. na maya atajifungua mapacho soooo jiongeze. ila pole inauma
Pole sana.
Swala la kusamehe msamehe kwa moyo mmoja kabisa ili wewe ubaki mwepesi na uweze kuendelea na maisha yako bila kuwa umejawa na hasira/chuki ambavyo vitakuumiza wewe badala ya aliyekuweka kwenye hiyo nafasi. Na asikudanganye mtu KUSAMEHE SIO KURUDIANA. Na hapo kwenye kurudiana au la usitake kushauriwa na watu kwasababu mwisho wa siku wewe ndo utatakiwa kuishi na matokeo. Yani fuata moyo wako, kama uwezo wa kumsamehe na kurudiana nae unao haya, kama huwezi MSAMEHE kisha mwache aende zake. Hapo maamuzi ni yako wewe na sio yetu watazamaji.
Tukija kwenye swala la kuoa, hilo hutakiwi hata kulifikiria kwa sasa. Its way too soon. Usije ukalogwa ukaoa chap chap ili tu upate mtu wa kukulelea watoto, utaishia kulia tena mbeleni. Chukua muda wa kupumzisha moyo na akili yako huku watoto wako wakiwa your primary focus.
Ningekushauri wakae na mama yao utoe matumizi ila kuna sehemu nimesoma kwamba alishawahi kukimbia akawaacha watoto wote hadi huyo mdogo kwahiyo huyo hata hawajali watoto kwahiyo hilo jukumu halimfai. Wala sikushauri uwapeleke boarding kwasababu binafsi naamini watoto wanahitaji sana mapenzi na ukaribu wa wazazi katika ukuaji wao. Hapo nyumbani angalau utaweza kuwasaidia ku-cope na hiyo hali iliyopo kwa sasa kuliko huko boarding. Huko hamna aneenda kujali hisia zao, baadae utashangaa tu watoto wako sio wale uliokuwa ukiwafahamu mwanzo. Kwahiyo tafuta ndugu yako wa karibu ambae mnaelewana na unajua ni mzuri kwa watoto umuombe aje kuishi na nyie alafu uajiri na dada wa kazi. That way utakuwa na mtu atakae hakikisha watoto wanaishi maisha yanayokaribiana na yale ya nyuma au hata bora zaidi bila kumchosha sana na kazi.
Usitafute shortcut ya namna gani ulee watoto wako utaishia kujilaumu baadae. GOOD LUCK.
kwa ufupi tu dada yangu, mimi na huyu binti tulikutana hapa mjini, tukawa marafiki na hatimaye tukaoana, binti alikuja mjini toka kwa wazazi wake akaja kuishi kwa uncle wake ambaye ni swahiba wangu wa karibu. kiufupi huyo rafiki yangu ana familia yake nzuri kabisa na background yakwao naijua fika maana tumesoma,tumekua wote so haikua taabu mimi kumjua huyo binti kiundani zaidi. na kwa kweli ndani ya miaka yote hiyo sikua na tatizo naye kimaadili kwa kua hakuonyesha hilo waziwazi, mengine yapo japo ni madogo madogo. lakini kitu ambacho nikuweke wazi tu dada yangu ni kwamba nilimuamini sana na nikampa uhuru sana huyu binti kiasi kwamba hata alipokua akiniaga kwenda sehemu sikuhitaji kumuulizax2 ilo labda ndio kosa langu kubwa.
ukitaka kujua mengi tafadhali ni PM