Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025

Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Sijui Mnakwama wapi. Mbona Kiswahili ni Lugha rahisi sana? Mmefundishwa wapi kukosea kifala hivi?
 
Masoud nae anaona
Screenshot_20230615-190019~2.jpg
 
Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa
Maadam ni hisia tuu, you have all the right to your own opinion.
A negative opinion about anyone without any facts to substantiate opinion hiyo, ni chuki tuu, umbeya na majungu!.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Kiukweli tumejaaliwa macho tofauti tofauti, wengine macho yao yanauwezo wa kuona mtu kama ana raha!.

Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, ni PM mpaka 2025.

P
 
Maadam ni hisia tuu, you have all the right to your own opinion.
A negative opinion about anyone without any facts to substantiate opinion hiyo, ni chuki tuu, umbeya na majungu!.

Kiukweli tumejaaliwa macho tofauti tofauti, wengine macho yao yanauwezo wa kuona mtu kama ana raha!.

Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, ni PM mpaka 2025.

P
We all have the right to our opinions.

We wish him all the best.
 
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.

Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.

Ama anaumwa ama mengine zaidi.

Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Sijui zaidi katiba ila nadhani PM anatakiwa awe madarakani 10 only.

Cc Wakili Msomi Pascal Mayala leta ufahamu wako wala sio ushabiki!
 
Kwasababu katiba yetu inatupa marais DHAIFU.

kwahiyo Waziri Mkuu akiwa HODARI analazimishwa KUDHOOFISHWA.

Tuliona kipindi cha JK, Lowassa alikuwa FIRM Prime Minister akaundiwa Zengwe akalazimiswa ng'atuka.

Magufuli alikuwa Rais IMARA, alikuwa na Majaliwa Imara hivyo hakuna aliyehisi mwenzake anataka mpoka sifa.

MAMA ni WEAK.... anahitaji the WEAKEST PM, otherwise atajihisi na anajihisi hata sasa anafunikwa na PM.
Reply imetulia sana, you can't outshine your boss.
 
Back
Top Bottom