Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Sijui Mnakwama wapi. Mbona Kiswahili ni Lugha rahisi sana? Mmefundishwa wapi kukosea kifala hivi?Hisia zangu zinanionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na jumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.