ChipeTungi Jr
Senior Member
- Sep 21, 2018
- 104
- 251
- Thread starter
- #41
Hahah! Siwezi kuusemea moyo mkuu ila binafsi nampenda sana.Kifupi umebahatika kupata mchumba asiyependa kukutumia Meseji ya "Bebi nikwambie Kitu"
Huyo anakupenda na angependa atulie na wewe
Kule mtaani Vijana wanasema "Mbuzi Kafia kwa Muuza Supu"