Sijui huu ni mtego au...?

Sijui huu ni mtego au...?

Wadau humu kwenye vikao huwa wanasisitiza ukitaka kuoa single mother kalione kaburi la baba mtoto, akuoneshe na cheti za kifo, picha za mazishi pamoja na video kama ipo...
 
Brother ukifika Tanga hiyo Handeni haurudi. Niliwahi kupita hayo maeneo ya Wazigua, kuanzia hapa Mandela, Kwa Makocho, Kimange, Kabuku, Manga, Mkata, Amani, Sua, Kitumbi, Mazingara , Kabuku, Kwa Nzundu, Kabuku, Kwediboma, Pongwe Kiona, Kwedikwazu, mpaka Michugwani na Handeni yenyewe.

Maeneo hayo yote nimekuta wageni waliolowea na hawawezi kurudi kwao, mpaka nikakutana na jamaa wa kwetu akaniambia usijaribu kutafuta mwanamke wa hapa, ndoa utapewa bila mahari wanajina lako wanaita Kajingira nyumba, kwa maana ndoa ya mkeka hiyo. Cha kusikitisha Hilo kabila wanawake ni wachawi sana, so uingie kwa tahadhari.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Wadau humu kwenye vikao huwa wanasisitiza ukitaka kuoa single mother kalione kaburi la baba mtoto, akuoneshe na cheti za kifo, picha za mazishi pamoja na video kama ipo...
Bila kusahau jina la kwenye msalaba lilandane na jina la mtoto kutoka mamlaka ya vizazi na vifo RITA
 
Ukicheleweshewa lawama.
Ukiwaishiwa wasiwasi.
Vijana na vijimambo.

Turudi kwenye uzi;
Nenda Mkuu. Ila usikutane naye kwake. Fanya ufukunyuku, jua anapokaa.

Fika huko, ongea na majirani wakupe ukweli. Watu wa Tanga ni Wambea mno haswa kwa mambo hasi kuhusu mtu.

Utakayoyapata huko, utaamua.
Wewe jamaa uko vizuri
 
Let me tell you bro,

Usiwe na haraka naye, boresha mawasiliano naye na kama si mbali sana, basi mtembelee over the week end moja mbili hivi, ufikapo huko chunguza vizurii na utapata uhakika,

Ukiridhika na utakayo yaona basi usiku amka na usali swala ya maongozo hakika allaha atakufanyia wepesi.
 
Back
Top Bottom