Point of No Return 19
Senior Member
- Jul 2, 2023
- 194
- 454
Eti ebu njooni mnijibu sisi sijui tutaolewa na nani?
Mwanaume akikutongoza sasa hivi anakuuliza unaushi wapi, ukimwambia nyumbani
Anakuuliza tena kwako au kwenu?
Sasa ukijiroga ukasema unaishi kwako, basi ataanza nataka kuja kukusalimia ukikosea tu ukamkaribisha atakukula humo humo ndani kwako.
Yaani utampa chakula ale na wewe atakukula free
Atarudi tena na tena usipokua makini atahamia moja kwa moja
Au wengine wanatabia hii babe nikopeshe laki hapo,
Mara una 50k hapo
Ladies ukitongozwa sasa hivi Kama unaishi kwako SEMA unaishi kwenu kwa wazazi wako.
VIJANA wa SIKU HIZI wamekosa haya. Wameupoteza uanaume wao.
Unapata wapi ujasiri wa kulala kwa mwanamke hujui hata rent analipaje?
Hivi sisi wa karne hii tutaolewa na nani? Kama wanaume wenyewe ndo hawa
Wazazi leeni watoto wenu wa kiume kama wanaume ambao watakuja kuwa baba, mume na kiongozi Katika familia
Mwanaume akikutongoza sasa hivi anakuuliza unaushi wapi, ukimwambia nyumbani
Anakuuliza tena kwako au kwenu?
Sasa ukijiroga ukasema unaishi kwako, basi ataanza nataka kuja kukusalimia ukikosea tu ukamkaribisha atakukula humo humo ndani kwako.
Yaani utampa chakula ale na wewe atakukula free
Atarudi tena na tena usipokua makini atahamia moja kwa moja
Au wengine wanatabia hii babe nikopeshe laki hapo,
Mara una 50k hapo
Ladies ukitongozwa sasa hivi Kama unaishi kwako SEMA unaishi kwenu kwa wazazi wako.
VIJANA wa SIKU HIZI wamekosa haya. Wameupoteza uanaume wao.
Unapata wapi ujasiri wa kulala kwa mwanamke hujui hata rent analipaje?
Hivi sisi wa karne hii tutaolewa na nani? Kama wanaume wenyewe ndo hawa
Wazazi leeni watoto wenu wa kiume kama wanaume ambao watakuja kuwa baba, mume na kiongozi Katika familia