Sijui huu ni mtego au...?

Sijui huu ni mtego au...?

Naamini kuna point muhimu sana tu ambazo umeshindwa kuzitaja hapa, mfano nini ilikuwa reaction yako alipokwambia kuwa yeye ni single mother? Ulimwambia kama hilo sio tatizo na uko tayari kuanzisha mahusiano nae? Kwa ulivyojieleza wewe na yeye inaonyesha nyote ni watu wa dini, jee ni nini ulichomtaka kwake au ulitegemea? ulitaka ndoa au ulitaka kumuasi mungu nae kwanza? Nashangaa ni kwa nini afikie kukutafutia kazi huko kwao bila ya kukushauri wewe kwanza, una hakika hukumpa impression ya kuwa una mpenda sana kiasi cha kuwa utamfuata huko aliko? Kwa mtizamo wangu naona binti hataki kumuasi mungu na anataka kama unampenda basi umuoe tu, lakini nahisi wewe ni kama vile unataka kumchezea chezea tu na huna nia ya kumuoa. Ama kukutaka uhamie huko aliko inaonyesha huyu binti ameshaamua kuwa Tanga ndio maisha yake yalipo.
Kiukweli nilishtuka baada ya kuniambia ni single mother. Binafsi siko interested na singles mother nimeamua kulikubali hilo sababu ya nguvu ya upendo.

Tuliongea mengi hapa kati na niliwahi kumgusia kuwa natamani kufika Tanga na kujionea ukarimu wa watu wa huko pamoja na vivutio vingine vya kiasili lakini si kuweka makazi kabisa huko. Hili la kunitafutia kazi huko ni moja kati ya mambo yaliyonishangaza sana.

Suala la kumuoa hilo liko wazi since nampenda kweli kutoka moyoni lakini si ndoa ya ghafla hivyo.
 
Kama Yuko makorola basi namjua huyoo! Ila watu wa Tanga ndivyo walivyo familia wakikukubali unaweza pewa mpaka houniao,halafu wengi ni wakweli wee nenda tu Kama una Nia ya kweli mtoto ni baraka jomba!
 
Wewe Kama sio Hilo Kabila achana nae kàa mbali kabisa na hao watu. Wanawezaje wenyewe kwa wenyewe. Utajuta. Hata vipi kàa mbali kabisa hata kama fini yenu ni moja
Kwa nini mkuu? Kabila lina shida gani hapo?
 
Kila kitu ni mipango, sema watanzania tunaishi kikondoo. Ulikuwa umepanga kuoa??? Au umevutiwa mpango ukaanzia hapo
 
Juzi nilikuwa naongea na Daktari, anasema hakuna tatizo la Nguvu za Kiume miongoni mwa WaTanzania isipokuwa Meseji ya "Baby Nikwambie Kitu" 🤪🏃🏃🏃
Ndo zinawamaliza nguvu 😀😀
 
Je unamjua vyema zaidi ya kukupikia chakula?

Anaweza asiwe na tabia mbovu..ila kama hamna chemistry hamuwezi dumu.
Namjua kiasi pia nina mawasiliano na ndugu yake wa kike ambaye ni pacha wake anaishi Zanzibar.
 
Maisha ckuiz yapo Kasi Sana wewe endelea kuwa na wasi wasi utakuta bidada kashawahiwa
 
Hakikisha KABURI .. ikiwezekana dai cheti cha kifo. Kama haitoshi kafukue kabisa.

Ukijihakikishia kwamba MWAMBA aliFARIKI kweli kweli.. yaani ORIGINALLY.. basi Unaweza KUWOWA.
Duh! Sawa mkuu.
 
Back
Top Bottom