blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 10,439
- 12,596
- Thread starter
- #41
We unashing ngapi kima ww!??Hela kidogo hiyo mbona, hajaweka hela ya kila siku ya kutumia, yaani minimum 15,000 ya mkate, mboga za majani, maji ya kunywa, pia sijaona gas, mkaa, TV payment, ngano, hela ya soksi, viatu, dela, kanga, vitambaa, hela ya kusuka, perfumes, hela ya emergency, sijaona. Mwanaume lazima ujue majukumu, ndio ukubwa. Huyu konde boy bado ana akili ya kijinga, hela kidogo hiyo ya matumizi ya kawaida anaweka mitandaoni ili iweje? Au hataki kutunza mtoto?