Sijui hii kitaalam inaitwaje? Very dangerous

blogger

JF-Expert Member
Mar 13, 2012
10,364
12,473
IMG_20211024_075815_736.jpg

Alafu mtoto awe wako basi. !?

Alafu hugongi!?

Nini hiki!!!!!!?!
 
The Boss Watu8
Huyo ni mama Zuu, aliyezaa na Harmonize. Na huyo mtoto ndo Zuu mwenyewe. Ametuma ujumbe huo kwa Konde...anahitaji mahitaji ya mwezi.

Konde akaamua kushare, nafikiri anataka tumuombee.
 
Mama Zuu kasahau Vitu vya Msingi, pia sijaona DSTV AU AZAM malipo au Hana TV. Au pengune aweke hata gharama za Bando netflix. Mbinguni tutafika tumechoka sana.
Itakuwa kuna part 2 ataituma siku zijazo.
 
Mbona sioni nyanya vitunguu, mkaa au gas.
Mama Zuu atakuwa amesahau kuweka mboga mboga za majani, mshahara wa dada wa kazi.
Wanaume tafuteni hela mtafika mbinguni mmechoka sana.
Anapikia umeme si 50000 hiyo umeona hivyo vingine vyote
 
Ingekua mimi ndio mmakonde huyu ndio mke wa kuoa kabisa kwa sababu anachallenge katika kuongeza nguvu kutafuta hela
 
Huyu ni changudoa, wanawake wa aina hii si wa kuoa ni wa kuchapa tu na kinga zaidi ya moja ili asikuzalie mtoto.
 
Vipi anataka kufungua duka au? Aiseee!!! Wanaume tukifika mbinguni Mungu atufikirie kidogo maana km jehanam tutakuwa tushasota vya kutosha
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom