Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,974
- 95,475
Evelyn Salt ujikute sasa una co-parents zako 10 kama hizi
Hayo ni matokeo ya wasanii vijana kupiga picha na madola ya kimarekani na kupost kwenye mitandao.Huyu ni changudoa, wanawake wa aina hii si wa kuoa ni wa kuchapa tu na kinga zaidi ya moja ili asikuzalie mtoto.
Mleta mada anahisi sote humu niwapenda udaku....tunajua mwanzo wa story.Ni nini umeweka, fafanua zaidi
Mkeka unasoma 6120000 hatari sanaaa
Mkeka unasoma 6120000 hatari sanaaa
Sure tena kwa mtoto wa celebrity ni ndogo sana maana hiyo ni chupa ya Hennessy mbili tu anakunywa na Malaya na hawalewi sasa why asimfanyie mwanae shopping rena ya mwezi mzima kwa pesa zaidi ya hiyo?Ni hela ya kawaida mbona,hii ni kulingana na kipato tu 600k kama ni per month ni hela ya kawaida
Motivational speakers bana.Ingekua Mimi ndio mmakonde huyu ndio mke wa kuoa kabisa kwa sababu anachallenge katika kuongeza nguvu kutafuta hela
Anapikia umeme si 50000 hiyo umeona hivyo vingine vyote