Sijui hii kitaalam inaitwaje? Very dangerous

600K...

Slay queens.. Hii ya mtoto kumbukeni.

Mama hajataka yake...

Msimuone Mondi anahangaika huko US... Mkeka wa Zari huenda unakaribia 500M per year.

Acha wanyooke. Wapumbavu.
 
Hiyo kwa mwezi/ week au mwaka?

Mi siwezi aisee bora aniletee mtoto niishi nae nimtafutie house maid.

Imagine akianza shule:

Ada Mil 3
Hela ya bus Laki 5
Madaftari Laki 1
Peni elfu 50
Penseli elfu 30
Vifutio elfu 10
Vichongeo WTF???
 
Hela kidogo hiyo mbona, hajaweka hela ya kila siku ya kutumia, yaani minimum 15,000 ya mkate, mboga za majani, maji ya kunywa, pia sijaona gas, mkaa, TV payment, ngano, hela ya soksi, viatu, dela, kanga, vitambaa, hela ya kusuka, perfumes, hela ya emergency, sijaona. Mwanaume lazima ujue majukumu, ndio ukubwa. Huyu konde boy bado ana akili ya kijinga, hela kidogo hiyo ya matumizi ya kawaida anaweka mitandaoni ili iweje? Au hataki kutunza mtoto?
 
Kuna watu ni wavivu wa kuelewa......

Jamani huu ni mkeka wa mtoto. Mkeka wa mama sijui mchepuko bado hatuujui.

Alafu kuna wale wanasema eti hela ndogo...!??? Wapumbav. Wakikua watanielewa
 
Back
Top Bottom