SOCIOLOGISTTZ
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 2,615
- 929
Wengi huku hawajapanda ndege kama wewe, huna haja ya kuuliza huku JF, Wewe nenda airport maelezo yote utayapata,
Wadau..mi kusema cha ukweli sijawahi kupanda ndege toka nimezaliwa. Nataman sana siku moja kuipanda. Umri wangu ni miaka 35. Naomba tuelimishane....siku ya kwanza inakuagaje?..Nikifika pale airpot JINIA...naelekea wapi na wapi mpaka naingia ndani ya ndege?..na humo kwenye ndege nasikia kuna mikanda unajifunga....je unaweza kutembea humo ndani wakati ndege ikiwa juu?..natamani kujua kiujumla...habari za ndege. Sagari za ndani na za yale madege makubwa ya nje.
hii ni picha iliyopigwa na abiria akiwa kwenye ndege....Mpaka sasa...sijapata jibu lolote. ..watu wa jf mnaudhi wakati mwingine..daah. Mnajibu mavimavi tu
Jamaa anataka kujua,nyie mnaleta utani.
mkuu usipande kama hiyo maana, jamaa yeye hakushuka tena..Air airline...!
wakuu wekeni link tuendelee kufanya siku yetu iishe kwa cheko.
Ok,jibu ni hili, ndege ni kama usafiri mwingine wowote,huwezi kukwama ukifika airport kwani utadesa kwa abiria wengine, ndani ya ndege ukijisikia kuchimba dawa unabonyeza kengele rubani anasimamisha kwenye kichaka unashuka na kushusha mzigo,pia usisahau kuomba siti ya dirishani ili uweze kununua vitu njiani na pia iwe rahisi ukitaka kutapika unatoa tu kichwa nje...safari njema.
Mnaudhi sana humu. Mavi kabisa....mmnfyuuuuuuussss
wakuu wekeni link tuendelee kufanya siku yetu iishe kwa cheko.
https://www.jamiiforums.com/jf-chit...a-ndege-kwa-mara-ya-kwanza-mnishauri-jmn.htmlwakuu wekeni link tuendelee kufanya siku yetu iishe kwa cheko.