Yani we nae unapuyanga. Sasa idadi yenu na yetu unaona ni sawa?Toa uthibitisho..
Vinginevyo vyote utakavyosema havina tofauti na kinyesi cha kuku...
Nimetoa hoja nikiattach ushahidi wa Sensa kuwa mkoa wa Kagera una asilimia 76 tuu ya watu wanaojua kusoma na kuandika halafu mnaishidanisha na kilimanjaro yenye asilimia 92!!!!!!
kama unabisha uje facts sio hizi mbolea na mashudu unazomwaga hapa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Una akili ndogo kama punje ya mtama..Yani we nae unapuyanga. Sasa idadi yenu na yetu unaona ni sawa?
Na je kama mmetuzidi wanaojua kusoma na kuandika kwa nini tukikutanishwa katika mtihani mmoja tunawafanya matusi?? Tunawatupa mbali mno? Sasa hapo mwenye elimu bora ni yupi?
Juzi niliwaambia kitu kuwa Kilimanjaro kielimu ni "kubwa jinga" najua hukunielewa! Idadi ya mashule kubwa, wanaojua kusoma wengi, lakini inapokuja mitihani mnapigwa na mhaya. "Kubwa jinga Kilimanjaro"
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyote unavyoongea havina tofauti na uharo kwa sababu huweki uthibitisho... kwahiyo ni upuuuzi mtupu unaongea..weka uthibitisho kama mimi nilivyoweka uthibitisho asilimia 76 tuu ya wakazi wa Kagera ndio wanaojua kusoma na kuandika wakati Kilimanjaro ni asilimia 92..Yani we nae unapuyanga. Sasa idadi yenu na yetu unaona ni sawa?
Na je kama mmetuzidi wanaojua kusoma na kuandika kwa nini tukikutanishwa katika mtihani mmoja tunawafanya matusi?? Tunawatupa mbali mno? Sasa hapo mwenye elimu bora ni yupi?
Juzi niliwaambia kitu kuwa Kilimanjaro kielimu ni "kubwa jinga" najua hukunielewa! Idadi ya mashule kubwa, wanaojua kusoma wengi, lakini inapokuja mitihani mnapigwa na mhaya. "Kubwa jinga Kilimanjaro"
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unajionaje kupewa mtihani mmoja na asiyeweza kusoma na kuandika na akakufunikilia mbali?? Huo ndo ukubwa jinga tunaousema. Umejitahidi kutafuta pa kufia, maskini.Una akili ndogo kama punje ya mtama..
Kama shida ni Idadi ya watu wa Kagera kuwa wengi mbona Dar es salaam , Mwanza , Mbeya na Arusha zina watu wengi kushinda Kagera kwa mujibu wa hizo takwimu lakini bado zina kiwango cha watu wengi wanaojua Kusoma na kuandika kushinda Kagera ?
Kiufupi mkoa wa kagera hamna kitu... kama tuu kusoma na kuandika bado kunawashinda mnatoa wapi jeuri ya kujiita mmeelimika!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Toa uharo huuuu...Sasa unajionaje kupewa mtihani mmoja na asiyeweza kusoma na kuandika na akakufunikilia mbali?? Huo ndo ukubwa jinga tunaousema. Umejitahidi kutafuta pa kufia, maskini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani niweke tena uthibitisho kwamba kwenye mitihani tunawaacha mbali??Vyote unavyoongea havina tofauti na uharo kwa sababu huweki uthibitisho... kwahiyo ni upuuuzi mtupu unaongea..weka uthibitisho kama mimi nilivyoweka uthibitisho asilimia 76 tuu ya wakazi wa Kagera ndio wanaojua kusoma na kuandika wakati Kilimanjaro ni asilimia 92..
Ukishindwa kuweka uthibitisho usiniquote..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli we pompompo! Yani nianze tena upya kukupa data zilizotolewa tangu uzi unaanza hadi sasa? Kweli elimu ya kuangalizia bado pia inawashinda?? Seriously?? Unashindwa kurudia tena kuangalia??
Hamna evidence... zaidi ya hisia tuu na kupost vitu ambavyo havihusianiKweli we pompompo! Yani nianze tena upya kukupa data zilizotolewa tangu uzi unaanza hadi sasa? Kweli elimu ya kuangalizia bado pia inawashinda?? Seriously?? Unashindwa kurudia tena kuangalia??
BTW umeshinda. Kizuri kila mmoja anaona nani kala mweleka. Acha tu tulale
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kwa kutokujua kusoma na kuandika Kagera inaishinda kilimanjaro..Au basi mkuu nimekubali Kilimanjaro inaishinda Kagera kwenye ufahulu. Nikusaidie tu maana unachoreka tu humu kwa kuruka ruka bila evidence
Sent using Jamii Forums mobile app
Nijulishe mkuu , nipo tayari kujifunza
Ahahahahaaaahahhahhaaha sasa hapa umeonyesha ulivyo sufuri, ukipewa aya zinakuchapa bakora unaita beti za mashahiri, halafu hizo hizo unatumia kuniuliza maswali ahahahhaahahjaaja , umeishiwa hoja uislamu ulikuwepo kabla ya mtume, nimetoa Ibrahim, musa, nuhu, yusufu, Isa wote walikuwa waislamu, labda kama una swali jingine , kama hauna ebu tuambie Mungu ana haja gani yeye kuja kupigwa VIBAO na aliwaumba ? ahahahhaahhahaahahahhahHizo beti za mashairi unayo ghani humu eti ndio ushahidi kwamba uislamu ulianza zamani kwa akili yako ya kizwazwa una HAKIKA shetani HAWEZI kughani hiyo mistarihizo ni stori ambazo baba kassim alikuwa akiwasomea warabu wa makkahView attachment 990726 na Mwenyewe baba fatuma amebainisha bila kifichoView attachment 990729 masudi usiharibu uzi wa wenyewe acha wenyewe waogelee wakifika pwani na SISI tuanze kuogeleakama una hamu sana twende inbox dogo....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nisamehe sana, siwez kurudia tena kubisha mambo yale yale tuliyobushana tangu uzi unaanza. Wenzio hayo wameshayauliza na tumeshatoa knock out. Som uzi upya. Usinitie njaa. Sijui wechaga wa wapi usiyeweza hata kuangalizia.Hamna evidence... zaidi ya hisia tuu na kupost vitu ambavyo havihusiani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahaaaahahhahhaaha sasa hapa umeonyesha ulivyo sufuri, ukipewa aya zinakuchapa bakora unaita beti za mashahiri, halafu hizo hizo unatumia kuniuliza maswali ahahahhaahahjaaja , umeishiwa hoja uislamu ulikuwepo kabla ya mtume, nimetoa Ibrahim, musa, nuhu, yusufu, Isa wote walikuwa waislamu, labda kama una swali jingine , kama hauna ebu tuambie Mungu ana haja gani yeye kuja kupigwa VIBAO na aliwaumba ? ahahahhaahhahaahahahhah
Ahahahahaaaahahhahhaaha huku kwengine sasa baada ya kupewa maandiko , umeamua kuleta udaku halafu unaita maneno ya mtume , braza taja huo upupu umetoa kitabu gani cha hadithi?Unashangaa kukuuliza maswali kwa hayo mashairi unayo tupia humukama hujui koloani is a handbook of satanView attachment 991788 njoo uanze udalali
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahaaaahahhahhaaha huku kwengine sasa baada ya kupewa maandiko , umeamua kuleta udaku halafu unaita maneno ya mtume , braza taja huo upupu umetoa kitabu gani cha hadithi?
Mbona hili jambo Mungu amelieleza kwa uwazi " anakuaje na mwana pasi na mke" akimaanisha ule ujinga wenu wa kumuita bikira maria mama wa Mungu , sasa ujinga kama huu kwanini Mungu asiukataze ? Uwana alioukataza Mungu huko wazi ni ule wa kusema Mungu kamuingilia Mariam akapatikana Yesu, wakati hili ni jambo dogo kwa Mungu hakuna aja ya kumpanda mtu, alisema. Kuwa Yesu akawa kama alivyosema kuwa NURU ikawa, halafu kila siku nakwambia wahab ndio mtume wa wawap ? wewe akili yako inamatatizo uislamu ni Quran na sunah basiiiii sio wahab wala wanubi ahahahhahahaah ahahahhhaMimi sikatai kwamba baba fatuma sio mtumeNinacho kataa huyu hakutumwa na Munguilaha ni mtume wa ibilisina baadhi ya daliliView attachment 992004View attachment 992009 wakati Biblia Takatifu Imesha Tangaza kabla ya muhammad hajazaliwaView attachment 992011View attachment 992013 Nikuongezesishangai kuuliza hiyo hadithi umepata kitabu gani sababu hii deen wenyewe warabuView attachment 992016 wewe haikuhusu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hili jambo Mungu amelieleza kwa uwazi " anakuaje na mwana pasi na mke" akimaanisha ule ujinga wenu wa kumuita bikira maria mama wa Mungu , sasa ujinga kama huu kwanini Mungu asiukataze ? Uwana alioukataza Mungu huko wazi ni ule wa kusema Mungu kamuingilia Mariam akapatikana Yesu, wakati hili ni jambo dogo kwa Mungu hakuna aja ya kumpanda mtu, alisema. Kuwa Yesu akawa kama alivyosema kuwa NURU ikawa, halafu kila siku nakwambia wahab ndio mtume wa wawap ? wewe akili yako inamatatizo uislamu ni Quran na sunah basiiiii sio wahab wala wanubi ahahahhahahaah ahahahhha
Mbona mmebadirisha maudhui ya uziMbona hili jambo Mungu amelieleza kwa uwazi " anakuaje na mwana pasi na mke" akimaanisha ule ujinga wenu wa kumuita bikira maria mama wa Mungu , sasa ujinga kama huu kwanini Mungu asiukataze ? Uwana alioukataza Mungu huko wazi ni ule wa kusema Mungu kamuingilia Mariam akapatikana Yesu, wakati hili ni jambo dogo kwa Mungu hakuna aja ya kumpanda mtu, alisema. Kuwa Yesu akawa kama alivyosema kuwa NURU ikawa, halafu kila siku nakwambia wahab ndio mtume wa wawap ? wewe akili yako inamatatizo uislamu ni Quran na sunah basiiiii sio wahab wala wanubi ahahahhahahaah ahahahhha