fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,613
- 7,169
Ukiacha kumtukana mwanamke kwenye sex,sijawahi kumtukana mwanamke kwa kugombana.Mara zote panapotokea kutoelewana na mwanamke,wawe wake zangu au mchepuko sijawahi kuwatukana matusi.Mara zote panapotokea kutoelewana huwa naongea nao tena kwa lugha nzuri na bila kupandisha sauti,na mwanamke akija juu basi mie hunyamaza.
Kuna siku tulikosana na mke wangu Dodoma hotel usiku,alifoka sana lakini mie nilitulia kimya mpaka akajiona mjinga. Somo kubwa ni kwamba huna haja ya kumtukana au kumpiga mwanamke wako,una mahali pa kumchapa hapo ndio mchape sawasawa
Kuna siku tulikosana na mke wangu Dodoma hotel usiku,alifoka sana lakini mie nilitulia kimya mpaka akajiona mjinga. Somo kubwa ni kwamba huna haja ya kumtukana au kumpiga mwanamke wako,una mahali pa kumchapa hapo ndio mchape sawasawa