Sijawahi kumtukana mwanamke

Sijawahi kumtukana mwanamke

Ewaaaah!! Umemaliza.
mzuka wa mnyanduano ukipanda we acha,unaanza twende bby twende,naye anakujibu haya twende haya twende,njoo njoo,nifate bby nifate,anakujibu nakuja nakuja,sasa baada ya yanashuka matusi hapa siwezi kuyaandika,basi ndoa yenu itakuwa na amani sana,sasa siku umetembelewa na mama mkwe,asubuhi anamuuliza mwanae hivi jana mlivyokuwa mnasema twende twende,huo usiku mlikuwa mnataka kwenda wapi?Kusali mama,mwanae anamjibu
 
mzuka wa mnyanduano ukipanda we acha,unaanza twende bby twende,naye anakujibu haya twende haya twende,njoo njoo,nifate bby nifate,anakujibu nakuja nakuja,sasa baada ya yanashuka matusi hapa siwezi kuyaandika,basi ndoa yenu itakuwa na amani sana,sasa siku umetembelewa na mama mkwe,asubuhi anamuuliza mwanae hivi jana mlivyokuwa mnasema twende twende,huo usiku mlikuwa mnataka kwenda wapi?Kusali mama,mwanae anamjibu
Hahaha, hii nimeipenda bure mkuu.
Lamomy njoo ujifunze kitu kisichofundishwa na mtu mwingine zaidi ya huyu.
 
Hahaha, hii nimeipenda bure mkuu.
Lamomy njoo ujifunze kitu kisichofundishwa na mtu mwingine zaidi ya huyu.
Hayo mapenzi au wanaimba kwaya? 😹

Hapana fundishaneni wenyewe aiseee..!!
Siwezi kujifunza vitu ambavyo haviniingizii pesa..!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom