Sijawahi kumtukana mwanamke

Sijawahi kumtukana mwanamke

Ukiacha kumtukana mwanamke kwenye sex,sijawahi kumtukana mwanamke kwa kugombana.Mara zote panapotokea kutoelewana na mwanamke,wawe wake zangu au mchepuko sijawahi kuwatukana matusi.Mara zote panapotokea kutoelewana huwa naongea nao tena kwa lugha nzuri na bila kupandisha sauti,na mwanamke akija juu basi mie hunyamaza.

Kuna siku tulikosana na mke wangu Dodoma hotel usiku,alifoka sana lakini mie nilitulia kimya mpaka akajiona mjinga. Somo kubwa ni kwamba huna haja ya kumtukana au kumpiga mwanamke wako,una mahali pa kumchapa hapo ndio mchape sawasawa
Shukuru hujakutana na Mwajuma
 
Hujakutana na hii kauli bado
"Nipige basi kama kweli wewe nimwanaume kweli"
Hapo utampiga tu maana ukimuacha wewe sio mwanaume
 
Hujakutana na hii kauli bado
"Nipige basi kama kweli wewe nimwanaume kweli"
Hapo utampiga tu maana ukimuacha wewe sio mwanaume
Unajua bro,kuna namna wewe mwanaume unachangia mpaka mwanamke anatoa maneno kama hayo hivyo naposema sijawahi kumtukana wala kumpiga mwanamke,haiji hivi hivi tu,ni pamoja na kitengeneza mazingira ya kuishi kwa amani,furaha,kuongea,kuzungumza taani kuwa pro active kuleta amani na mara tu dalili ya kutoelewana inapotokea tunazungumza.Maisha sio lelemama yanataka kujitoa na kujitolea kwa hali ya juu.Tukitaka tisitukanane wala kuoigana kwenye ndoa tunaweza japo sio kitu rahisi
 
Unajua bro,kuna namna wewe mwanaume unachangia mpaka mwanamke anatoa maneno kama hayo hivyo naposema sijawahi kumtukana wala kumpiga mwanamke,haiji hivi hivi tu,ni pamoja na kitengeneza mazingira ya kuishi kwa amani,furaha,kuongea,kuzungumza taani kuwa pro active kuleta amani na mara tu dalili ya kutoelewana inapotokea tunazungumza.Maisha sio lelemama yanataka kujitoa na kujitolea kwa hali ya juu.Tukitaka tisitukanane wala kuoigana kwenye ndoa tunaweza japo si


Kama hajawahi kukwazana na kurushiana maneno then mkasolve ikaisha mkapatana basi jua mnaigiza kupendana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom