Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,104
- 165,309
Kuanzia mwakani nakasirika kitajiri, mtu akinikera natafuta hotel nzuri yenye miti mingi naenda kutulia, kunywa kidogo kula na kulala hadi hasira ziishe
"Muniombee"
"Muniombee"
Tusiojua kutomber lazima makofi yahusikeUkiacha kumtukana mwanamke kwenye sex,sijawahi kumtukana mwanamke kwa kugombana.Mara zote panapotokea kutoelewana na mwanamke,wawe wake zangu au mchepuko sijawahi kuwatukana matusi.Mara zote panapotokea kutoelewana huwa naongea nao tena kwa lugha nzuri na bila kupandisha sauti,na mwanamke akija juu basi mie hunyamaza.
Kuna siku tulikosana na mke wangu Dodoma hotel usiku,alifoka sana lakini mie nilitulia kimya mpaka akajiona mjinga. Somo kubwa ni kwamba huna haja ya kumtukana au kumpiga mwanamke wako,una mahali pa kumchapa hapo ndio mchape sawasawa
Kataa ndoa, ndoa ni biashara haramu.
Mzee fimboyaukwaju wewe ni muongo lakini!Katika kuishi kwa amani mimi na wake zangu,maana mie nina wake 2 ilibidi kila mmoja nikae nae kutunga kanuni ambazo zinatusaidia sana kuishi kwa amani.Kwa kuwa wake zangu na mimi tunatoka kwenye tamaduni tofauti basi kila mke ana kanuni zake.Mfano kwa mke
wangu mmoja,kuna kanuni hii:
1.Chumbani ni sehemu ya utulivu hivyo wakati wa kulala,kelele haitakiwi,hakuna kuwasha redio,wala tv.Iwapo mmoja wetu anataka kusikiliza redio au kutazama tv basi aende sebuleni.Pia kwa kila mke kuna chumba spea ambacho hutumiwa ama na mimi au mke wangu,ambapo ikitokea tumehitilafiana sana basi ili kuepusha kukuza mgogoro mmoja wetu anahamia kwenye hicho chumba.
Pia tuna kanuni moja ambayo inakataza kugombana mbele ya watoto au wageni.Nikipata nafasi siku moja nitaziandika hapa hizo kanuni.Muhimu ni kwamba tunahitilafiana sana tu lakini hatuzitumii hitilafu hizo kuzua fuji baina yetu
Kwa vipi mkuu.Ndoa yangu haiwezkn kufanana na ya mwingine kamwe,
Ulisema huoi unataka kujua nn we ndege Joni 😂Kwa vipi mkuu.
Ikitokea nimeoa nitamnyoosha mke wangu kama rula na watoto vile vile nitawanyoosha.Ulisema huoi unataka kujua nn we ndege Joni 😂
Ndoa yangu haiwezi kufanana na ndoa yako mamodinyo baninyo 😂 mkubwa
Ndiyo maana ndoa au maisha hayana formula, notes, sana sana Yana kitu kama pattern tu ya kukuelekeza napo sio Kila anayekubali hizo.
Ndoa Ina Siri kubwa in bahati bukuku's voice.
Labda niimpende mkeo mm watoto wako mniite mtu mzima hovyoIkitokea nimeoa nitamnyoosha mke wangu kama rula na watoto vile vile nitawanyoosha.
Yaani familia yangu ukiiona utaipenda bure mkuu.
Kwa jinsi nitakavyomweka mke hawezi kunichiti mkuu.Labda niimpende mkeo mm watoto wako mniite mtu mzima hovyo
Asikuchiti labda awe Hana hisia tulia mzeeKwa jinsi nitakavyomweka mke hawezi kunichiti mkuu.
hapana,kila nachoandika ni kweli tupu.Unajua ndugu mimi ni suriyama,wazazi wangu mmoja ni mtz lakini wa pili hakuwa mtz.tumelelewa kwenye mila 2 tofauti na kufundishwa mambo mengi mno na pua mama yangu alikuwa ni mtu wa qmani sana na ndiye haswaaa alitunza kuwa usimpige mwanamke wala kumtukana.Mengi nayofanya ni mchango mkubwa sana wa mamaMzee fimboyaukwaju wewe ni muongo lakini!
Si utaona?Asikuchiti labda awe Hana hisia tulia mzee
Sasa unanuna hiyo mitoto kaileta nani?? 😹😹
Je, mwanamke akianza kukupiga utafanyeje?hapana,kila nachoandika ni kweli tupu.Unajua ndugu mimi ni suriyama,wazazi wangu mmoja ni mtz lakini wa pili hakuwa mtz.tumelelewa kwenye mila 2 tofauti na kufundishwa mambo mengi mno na pua mama yangu alikuwa ni mtu wa qmani sana na ndiye haswaaa alitunza kuwa usimpige mwanamke wala kumtukana.Mengi nayofanya ni mchango mkubwa sana wa mama
Nitamla before umle 😂Si utaona?
Nitamridhisha kiasi kwamba akiona mtu mwingine anahusi kinyaa.
Why not?Kwahiyo huwa mnatukanana kwenye tendo la kuleta watoto?