SIJAPENDA AINA YA UWASILISHAJI WA POLEPOLE KWENYE MAMBO YA MSINGI

SIJAPENDA AINA YA UWASILISHAJI WA POLEPOLE KWENYE MAMBO YA MSINGI

Anonymous Caller

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2016
Posts
1,189
Reaction score
1,587
Ana contents nzuri sana huyu jamaa.Tatizo lake ni uongeaji wake wa siku hizi wa kimizaha mizaha.

Kiukweli nikufurahishwa na mizaha mizaha yake alipokuwa akiongea mambo nyeti ya kitaifa.

Mlio karibu nae hem mshaurini, kutowasilisha mambo muhimu kimizaha mizaha...kama Ahmed Ally, yule msemaji wa Simba.

Leo Kama Ulimuangalia Polepole vizuri kuanzia body language yake, gestures, hata tone ya sauti, utakubaliana na mimi kuwa maudhui yake, pamoja na kwamba yalikuwa yana mantiki, lakini yalififishwa na masihara ya polepole.

Ushauri wangu tu kwa Hamfrey ni kwamba urudi tu kwenye uongeaji wake wa awali tuliomzoea na kumpa umaarufu ule wa 2013/2014 kipindi cha vuguvugu la katiba mpya...

Otherwise, ujumbe wake umefika.
 
Ana contents nzuri sana huyu jamaa.Tatizo lake ni uongeaji wake wa siku hizi wa kimizaha mizaha.

Kiukweli nikufurahishwa na mizaha mizaha yake alipokuwa akiongea mambo nyeti ya kitaifa.

Mlio karibu nae hem mshaurini, kutowasilisha mambo muhimu kimizaha mizaha...kama Ahmed Ally, yule msemaji wa Simba.

Leo Kama Ulimuangalia Polepole vizuri kuanzia body language yake, gestures, hata tone ya sauti, utakubaliana na mimi kuwa maudhui yake, pamoja na kwamba yalikuwa yana mantiki, lakini yalififishwa na masihara ya polepole.

Ushauri wangu tu kwa Hamfrey ni kwamba urudi tu kwenye uongeaji wake wa awali tuliomzoea na kumpa umaarufu ule wa 2013/2014 kipindi cha vuguvugu la katiba mpya...

Otherwise, ujumbe wake umefika.
Otherwise, ujumbe wake umefika.✔✌🏿💥
 
Watanzania walo wengi na wanojitambua wamemwelewa Balozi Polepole.

Kwa kuwa yeye sasa ni mwanadiplomasia yamlazimu atumie lugha rahisi.

Na hili la CCM na mdundiko humo ndani sasa yawalazimu kujikosoa na kujitafakari au “reality check”
 
La kufurahisha ni kwamba utawala wa nchi hii kumbe itabaki mikononi mwa ccm kwa miaka mingi ijayo........nyumbu wote Sasa wapo kwa gwajima na polepole ambao ni wanaccm. Tehe tehe tehe!!
 
Ana contents nzuri sana huyu jamaa.Tatizo lake ni uongeaji wake wa siku hizi wa kimizaha mizaha.

Kiukweli nikufurahishwa na mizaha mizaha yake alipokuwa akiongea mambo nyeti ya kitaifa.

Mlio karibu nae hem mshaurini, kutowasilisha mambo muhimu kimizaha mizaha...kama Ahmed Ally, yule msemaji wa Simba.

Leo Kama Ulimuangalia Polepole vizuri kuanzia body language yake, gestures, hata tone ya sauti, utakubaliana na mimi kuwa maudhui yake, pamoja na kwamba yalikuwa yana mantiki, lakini yalififishwa na masihara ya polepole.

Ushauri wangu tu kwa Hamfrey ni kwamba urudi tu kwenye uongeaji wake wa awali tuliomzoea na kumpa umaarufu ule wa 2013/2014 kipindi cha vuguvugu la katiba mpya...

Otherwise, ujumbe wake umefika.
Msikilize tena na uzingatie matakwa ya Kiapo cha Viongozi wako wa ngazi za juu!
 
Ana contents nzuri sana huyu jamaa.Tatizo lake ni uongeaji wake wa siku hizi wa kimizaha mizaha.

Kiukweli nikufurahishwa na mizaha mizaha yake alipokuwa akiongea mambo nyeti ya kitaifa.

Mlio karibu nae hem mshaurini, kutowasilisha mambo muhimu kimizaha mizaha...kama Ahmed Ally, yule msemaji wa Simba.

Leo Kama Ulimuangalia Polepole vizuri kuanzia body language yake, gestures, hata tone ya sauti, utakubaliana na mimi kuwa maudhui yake, pamoja na kwamba yalikuwa yana mantiki, lakini yalififishwa na masihara ya polepole.

Ushauri wangu tu kwa Hamfrey ni kwamba urudi tu kwenye uongeaji wake wa awali tuliomzoea na kumpa umaarufu ule wa 2013/2014 kipindi cha vuguvugu la katiba mpya...

Otherwise, ujumbe wake umefika.

Yeye sio muandishi wa Shihata, kama umeelewa inatosha
 
Back
Top Bottom