Sijaona waziri anaeshirikiana na jamii kwa moyo wa kujitolea bila makamera kumzidi Dkt Dorothy Gwajima, Her Responsibility exceeds her power

Sijaona waziri anaeshirikiana na jamii kwa moyo wa kujitolea bila makamera kumzidi Dkt Dorothy Gwajima, Her Responsibility exceeds her power

Sasa kumsifia kwenu kusije kukawa ni kwazo kwa mwanamke mwenzake. Kumbukeni mwanamke mwenzake anapenda kusifiwa yeye pekee
Hahahaa
Na utawala wake huyo mama yeye amejiweka mbaali na wananchi hasa wanyonge...aliwahi kusema kero za wananchi tuwape wabunge then zitamfikia yeye!
 
Hahahaa
Na utawala wake huyo mama yeye amejiweka mbaali na wananchi hasa wanyonge...aliwahi kusema kero za wananchi tuwape wabunge then zitamfikia yeye!
Kabisa mkuu, akionekana ana shine kuliko boss wake anaweza akatupwa ubalozini au akawekwa sehemu ambayo atasahaulika. Sasa hivi awe mpole kwanza yasije yakamkuta yasiyotarajiwa.
 
Naunga mkono hoja Uyu mama ndio mbunge pekee wa ccm niliona anafanya kazi kwausawa kuliko ata Raisi wa nchi hii; nafkili nimtu sahii zaidi ata ya mama kizimkaz
 
Hakuna anapojitahidi, ni muoga sana. Wanawake wa chadema na waandishi wa habari walipigwa pale mahakamani siku ya kesi ya lissu, akaombwa achukue hatua, akatumiwa na videos, lakini alikaa kimya hata kuzungumzia tu aliogopa

Anachagua matukio
Yeye haogopi unafikiri? 😹
 
Back
Top Bottom