Sijaona waziri anaeshirikiana na jamii kwa moyo wa kujitolea bila makamera kumzidi Dkt Dorothy Gwajima, Her Responsibility exceeds her power

Sijaona waziri anaeshirikiana na jamii kwa moyo wa kujitolea bila makamera kumzidi Dkt Dorothy Gwajima, Her Responsibility exceeds her power

EDIT: Sio waziri tu, ni viongozi wakiwemo mawaziri, maspika, wakuu wa mikoa, wabunge, n.k.

Kujua matatizo ya wananchi kwa ukaribu ni msingi wa utatuzi wa kweli. Ni muhimu kwa viongozi kuwa karibu na waathirika moja kwa moja badala ya kutegemea tu ripoti kutoka kwa viongozi wa chini. Mara nyingi ripoti hizi huwa zimepunguzwa au kuhaririwa kwa nia ya kulinda maslahi ya viongozi hao wa chini, kundi kubwa zaidi hata hawafuatilii wala kujishughulisha (wavivu) wanasubiri mishahara wanatunga chochote, hivyo kuficha hali halisi ya matatizo yanayowakumba wananchi.

Katika mazingira haya, napenda kukiri kuwa Dkt. Dorothy Gwajima ni miongoni mwa viongozi wachache wanaojitahidi kuwasiliana moja kwa moja na wananchi ili kuelewa changamoto zao kwa undani. Anaonekana kuwa na dhamira ya dhati ya kufuatilia matatizo ya kijamii kutoka kwenye vyanzo vya moja kwa moja. Silaha yake kubwa imekuwa matumizi ya majukwaa ya mitandao ya kijamii, jambo ambalo linadhihirisha kuwa anaendana na wakati na ana nia ya kweli ya kusikiliza wananchi.

Kwa mfano, katika jukwaa la JamiiForums, mara kadhaa nimeona Dkt. Gwajima akianzisha mijadala, akichangia, na kureply maoni mengi ya wananchi. Hili si jambo rahisi kwa kiongozi wa ngazi yake, lakini linaonyesha jinsi anavyothamini maoni ya watu wa kawaida. Pia katika mitandao mingine kama Facebook, anaendelea kuwa na uwepo wa dhati, si tu kwa kutoa taarifa, bali pia kwa kujibu maswali na kutoa mrejesho wa moja kwa moja kwa wananchi.

Uwajibikaji wake unazidi mamlaka aliyopewa, jambo linalomtofautisha sana na viongozi wengi ambao wanajulikana zaidi kwa vyeo vyao kuliko kwa kazi wanazozifanya. Dkt. Gwajima ameonyesha kuwa cheo si pambo, bali ni nafasi ya kuwatumikia wananchi kwa uwazi, uwajibikaji na moyo wa dhati.

Dkt. Dorothy Gwajima ni mmoja wa mawaziri wachache ambao uongozi wao unaonekana wazi hata nje ya mitandao ya kijamii. Anajitambulisha kwa unyenyekevu wa kweli na urahisi wa kuwafikia wananchi bila kutegemea kamera, mapambo ya heshima, au mazingira ya kisiasa yaliyoandaliwa kwa makusudi.

si jambo geni kuwaona viongozi wakijitokeza kushiriki shughuli za kijamii, kutoa msaada, au kuonyesha unyenyekevu mbele ya umma. Hata hivyo, mara nyingi hatua hizi huwa zimepangwa kwa makusudi, zikiendeshwa kwa lengo la publicity (kuripotiwa kwenye vyombo vya habari), kujipost kwenye kurasa za mitandao, kupandishwa vyeo, n.k. lakini Body Language (lugha ya mwili) huwa vinawasaliti.

Kwa mtu ambaye hamfahamu sura yake wala cheo chake, anaweza kumkuta katika shughuli zake na kudhani ni afisa wa chini aliye makini kazini, kumbe tayari ni Waziri wa Serikali, hana kiu ya kuthibitisha kuwa yeye ni mwenye mamlaka.
Huwezi amini leo Asubuhi nilipata idea hiyo kuhusu huyu mama .,. Nikapitia instagram yake , yaani she is very focused kwenye masuala Yale ya kijamii… hana mambo ya cheap popularity za kisiasa
Super proud of her !!!
 
yupo vizr dada yetu hongera zimfikie,ila asije kutugeuka,mana limfumo linaharibu wazalendo wetu.
 
EDIT: Sio waziri tu, ni viongozi wakiwemo mawaziri, maspika, wakuu wa mikoa, wabunge, n.k.

Kujua matatizo ya wananchi kwa ukaribu ni msingi wa utatuzi wa kweli. Ni muhimu kwa viongozi kuwa karibu na waathirika moja kwa moja badala ya kutegemea tu ripoti kutoka kwa viongozi wa chini. Mara nyingi ripoti hizi huwa zimepunguzwa au kuhaririwa kwa nia ya kulinda maslahi ya viongozi hao wa chini, kundi kubwa zaidi hata hawafuatilii wala kujishughulisha (wavivu) wanasubiri mishahara wanatunga chochote, hivyo kuficha hali halisi ya matatizo yanayowakumba wananchi.

Katika mazingira haya, napenda kukiri kuwa Dkt. Dorothy Gwajima ni miongoni mwa viongozi wachache wanaojitahidi kuwasiliana moja kwa moja na wananchi ili kuelewa changamoto zao kwa undani. Anaonekana kuwa na dhamira ya dhati ya kufuatilia matatizo ya kijamii kutoka kwenye vyanzo vya moja kwa moja. Silaha yake kubwa imekuwa matumizi ya majukwaa ya mitandao ya kijamii, jambo ambalo linadhihirisha kuwa anaendana na wakati na ana nia ya kweli ya kusikiliza wananchi.

Kwa mfano, katika jukwaa la JamiiForums, mara kadhaa nimeona Dkt. Gwajima akianzisha mijadala, akichangia, na kureply maoni mengi ya wananchi. Hili si jambo rahisi kwa kiongozi wa ngazi yake, lakini linaonyesha jinsi anavyothamini maoni ya watu wa kawaida. Pia katika mitandao mingine kama Facebook, anaendelea kuwa na uwepo wa dhati, si tu kwa kutoa taarifa, bali pia kwa kujibu maswali na kutoa mrejesho wa moja kwa moja kwa wananchi.

Uwajibikaji wake unazidi mamlaka aliyopewa, jambo linalomtofautisha sana na viongozi wengi ambao wanajulikana zaidi kwa vyeo vyao kuliko kwa kazi wanazozifanya. Dkt. Gwajima ameonyesha kuwa cheo si pambo, bali ni nafasi ya kuwatumikia wananchi kwa uwazi, uwajibikaji na moyo wa dhati.

Dkt. Dorothy Gwajima ni mmoja wa mawaziri wachache ambao uongozi wao unaonekana wazi hata nje ya mitandao ya kijamii. Anajitambulisha kwa unyenyekevu wa kweli na urahisi wa kuwafikia wananchi bila kutegemea kamera, mapambo ya heshima, au mazingira ya kisiasa yaliyoandaliwa kwa makusudi.

si jambo geni kuwaona viongozi wakijitokeza kushiriki shughuli za kijamii, kutoa msaada, au kuonyesha unyenyekevu mbele ya umma. Hata hivyo, mara nyingi hatua hizi huwa zimepangwa kwa makusudi, zikiendeshwa kwa lengo la publicity (kuripotiwa kwenye vyombo vya habari), kujipost kwenye kurasa za mitandao, kupandishwa vyeo, n.k. lakini Body Language (lugha ya mwili) huwa vinawasaliti.

Kwa mtu ambaye hamfahamu sura yake wala cheo chake, anaweza kumkuta katika shughuli zake na kudhani ni afisa wa chini aliye makini kazini, kumbe tayari ni Waziri wa Serikali, hana kiu ya kuthibitisha kuwa yeye ni mwenye mamlaka.
Dorothy Gwajima ni zaidi ya binadamu, sijui km wakati mwingine anakumbuka ni waziri. Anajichanganya km mtu wa kawaida sana, Mungu ambariki sana serikali ijayo apewe TAMISEMI, Maana TAMISEMI ni ndio kila kitu kwa mwananchi.
 
In fact ndiye kiongozi pekee pendwa nchi nzima! Uzuri wa Dkt. Gwajima D kajaliwa kusikiliza sauti za watu, yaani inaonekana ni kiongozi anayeishi maisha ya mtanzania wa kawaida, yaani pamoja na ukubwa wa madaraka alionao ila hajasahau maisha ya mtanzania wa kawaida. Hata mume wake atakuwa ana enjoy u Baba nyumbani
Hapo kwenye kufaid U-house nimekuelewa
Kwani yule wa kiti cha mbele inaelekea Mume wake kufaidi U baba kuna shida kidogo au?
 
EDIT: Sio waziri tu, ni viongozi wakiwemo mawaziri, maspika, wakuu wa mikoa, wabunge, n.k.

Kujua matatizo ya wananchi kwa ukaribu ni msingi wa utatuzi wa kweli. Ni muhimu kwa viongozi kuwa karibu na waathirika moja kwa moja badala ya kutegemea tu ripoti kutoka kwa viongozi wa chini. Mara nyingi ripoti hizi huwa zimepunguzwa au kuhaririwa kwa nia ya kulinda maslahi ya viongozi hao wa chini, kundi kubwa zaidi hata hawafuatilii wala kujishughulisha (wavivu) wanasubiri mishahara wanatunga chochote, hivyo kuficha hali halisi ya matatizo yanayowakumba wananchi.

Katika mazingira haya, napenda kukiri kuwa Dkt. Dorothy Gwajima ni miongoni mwa viongozi wachache wanaojitahidi kuwasiliana moja kwa moja na wananchi ili kuelewa changamoto zao kwa undani. Anaonekana kuwa na dhamira ya dhati ya kufuatilia matatizo ya kijamii kutoka kwenye vyanzo vya moja kwa moja. Silaha yake kubwa imekuwa matumizi ya majukwaa ya mitandao ya kijamii, jambo ambalo linadhihirisha kuwa anaendana na wakati na ana nia ya kweli ya kusikiliza wananchi.

Kwa mfano, katika jukwaa la JamiiForums, mara kadhaa nimeona Dkt. Gwajima akianzisha mijadala, akichangia, na kureply maoni mengi ya wananchi. Hili si jambo rahisi kwa kiongozi wa ngazi yake, lakini linaonyesha jinsi anavyothamini maoni ya watu wa kawaida. Pia katika mitandao mingine kama Facebook, anaendelea kuwa na uwepo wa dhati, si tu kwa kutoa taarifa, bali pia kwa kujibu maswali na kutoa mrejesho wa moja kwa moja kwa wananchi.

Uwajibikaji wake unazidi mamlaka aliyopewa, jambo linalomtofautisha sana na viongozi wengi ambao wanajulikana zaidi kwa vyeo vyao kuliko kwa kazi wanazozifanya. Dkt. Gwajima ameonyesha kuwa cheo si pambo, bali ni nafasi ya kuwatumikia wananchi kwa uwazi, uwajibikaji na moyo wa dhati.

Dkt. Dorothy Gwajima ni mmoja wa mawaziri wachache ambao uongozi wao unaonekana wazi hata nje ya mitandao ya kijamii. Anajitambulisha kwa unyenyekevu wa kweli na urahisi wa kuwafikia wananchi bila kutegemea kamera, mapambo ya heshima, au mazingira ya kisiasa yaliyoandaliwa kwa makusudi.

si jambo geni kuwaona viongozi wakijitokeza kushiriki shughuli za kijamii, kutoa msaada, au kuonyesha unyenyekevu mbele ya umma. Hata hivyo, mara nyingi hatua hizi huwa zimepangwa kwa makusudi, zikiendeshwa kwa lengo la publicity (kuripotiwa kwenye vyombo vya habari), kujipost kwenye kurasa za mitandao, kufeki waonekane wanatimiza majukumu, kupandishwa vyeo, n.k. lakini Body Language (lugha ya mwili) huwa vinawasaliti.

Kwa mtu ambaye hamfahamu sura yake wala cheo chake, anaweza kumkuta katika shughuli zake na kudhani ni afisa wa chini aliye makini kazini, kumbe tayari ni Waziri wa Serikali, hana kiu ya kuthibitisha kuwa yeye ni mwenye mamlaka.
Huyu mama yuko vizuri.
Siku nikikutana naye nitamnunulia angalau glass mbili za sharubati fresh.
 
EDIT: Sio waziri tu, ni viongozi wakiwemo mawaziri, maspika, wakuu wa mikoa, wabunge, n.k.

Kujua matatizo ya wananchi kwa ukaribu ni msingi wa utatuzi wa kweli. Ni muhimu kwa viongozi kuwa karibu na waathirika moja kwa moja badala ya kutegemea tu ripoti kutoka kwa viongozi wa chini. Mara nyingi ripoti hizi huwa zimepunguzwa au kuhaririwa kwa nia ya kulinda maslahi ya viongozi hao wa chini, kundi kubwa zaidi hata hawafuatilii wala kujishughulisha (wavivu) wanasubiri mishahara wanatunga chochote, hivyo kuficha hali halisi ya matatizo yanayowakumba wananchi.

Katika mazingira haya, napenda kukiri kuwa Dkt. Dorothy Gwajima ni miongoni mwa viongozi wachache wanaojitahidi kuwasiliana moja kwa moja na wananchi ili kuelewa changamoto zao kwa undani. Anaonekana kuwa na dhamira ya dhati ya kufuatilia matatizo ya kijamii kutoka kwenye vyanzo vya moja kwa moja. Silaha yake kubwa imekuwa matumizi ya majukwaa ya mitandao ya kijamii, jambo ambalo linadhihirisha kuwa anaendana na wakati na ana nia ya kweli ya kusikiliza wananchi.

Kwa mfano, katika jukwaa la JamiiForums, mara kadhaa nimeona Dkt. Gwajima akianzisha mijadala, akichangia, na kureply maoni mengi ya wananchi. Hili si jambo rahisi kwa kiongozi wa ngazi yake, lakini linaonyesha jinsi anavyothamini maoni ya watu wa kawaida. Pia katika mitandao mingine kama Facebook, anaendelea kuwa na uwepo wa dhati, si tu kwa kutoa taarifa, bali pia kwa kujibu maswali na kutoa mrejesho wa moja kwa moja kwa wananchi.

Uwajibikaji wake unazidi mamlaka aliyopewa, jambo linalomtofautisha sana na viongozi wengi ambao wanajulikana zaidi kwa vyeo vyao kuliko kwa kazi wanazozifanya. Dkt. Gwajima ameonyesha kuwa cheo si pambo, bali ni nafasi ya kuwatumikia wananchi kwa uwazi, uwajibikaji na moyo wa dhati.

Dkt. Dorothy Gwajima ni mmoja wa mawaziri wachache ambao uongozi wao unaonekana wazi hata nje ya mitandao ya kijamii. Anajitambulisha kwa unyenyekevu wa kweli na urahisi wa kuwafikia wananchi bila kutegemea kamera, mapambo ya heshima, au mazingira ya kisiasa yaliyoandaliwa kwa makusudi.

si jambo geni kuwaona viongozi wakijitokeza kushiriki shughuli za kijamii, kutoa msaada, au kuonyesha unyenyekevu mbele ya umma. Hata hivyo, mara nyingi hatua hizi huwa zimepangwa kwa makusudi, zikiendeshwa kwa lengo la publicity (kuripotiwa kwenye vyombo vya habari), kujipost kwenye kurasa za mitandao, kufeki waonekane wanatimiza majukumu, kupandishwa vyeo, n.k. lakini Body Language (lugha ya mwili) huwa vinawasaliti.

Kwa mtu ambaye hamfahamu sura yake wala cheo chake, anaweza kumkuta katika shughuli zake na kudhani ni afisa wa chini aliye makini kazini, kumbe tayari ni Waziri wa Serikali, hana kiu ya kuthibitisha kuwa yeye ni mwenye mamlaka.
Baaasi umeisha muharibia ,maana pale juu huwa hapapendi mtu mwingine apewe sifa
 
Back
Top Bottom