Sijaona sababu za msingi kwa nchi za Afrika kuzilaumu UK & USA kuiwekea vikwazo Zimbabwe.

joto la jiwe

JF-Expert Member
Sep 4, 2017
26,117
46,613

Kitendo cha UK & USA kuamua kuiwekea vikwazo Zimbabwe'(Targeted sanctions), kumezua tafrani katika bara la Africa, hasa katika nchi za SADC.

Nimejaribu kufikiria sana ili niweze kujiridhisha kama kweli waafrika tunapaswa kulalamika na wengine hata kufikia hatua ya kuzitishia hizi nchi, lakini sijapata sababu yoyote ya msingi.

Hakuna sheria yoyote katika umoja wa kimataifa inayolazimisha nchi kufanya biashara au kuwa na mahusiano ya kidiplomasia na nchi yoyote, hayo ni maamuzi ya nchi wenyewe, UK na USA wameamua kukata mahusiano ya kibiashara na kidiplomasia na Zimbabwe, sasa sisi nchi zingine tunahusikaje katika hilo hata tuanze kutoa vitisho?.

Wakati wa ukombozi kusini mwa Africa, nchi nyingi za Ulaya ziliamua kukata uhusiano na Tanzania, na zingine kama vile Ujerumani Magharibi na Uingereza, Nyerere alizifukuza na kuwarudishia baadhi ya pesa zao ambazo walizitoa kama misaada, kutokana na kutoelewana, kwanini Nyerere hakulalamika na kuwaambia waondoe vikwazo vyao.

Kwangu mimi ninaona hatua hii ya kuwalalamikia ili waondoe vikwazo, ni dalili ya udhahifu mkubwa wa nchi za Afrika, hii ni dalili kwamba, bila hizi nchi, Africa haiwezi kufanya lolote lile, kubwa ninaloliona ni kwamba uchumi wa nchi za Afrika unategemea sana wazungu.

Badala ya kutoa vitisho ambavyo ninajua wala haviwezi kuwatikisa hawa wakubwa, bora tungegangamala kama alivyofanya Nyerere ili kupunguza hathari ya vikwazo kwa Zimbabwe, au tungekuwa wanyonge na kuwaomba kwa upole ili waviondoe.
 

Kitendo cha UK & USA kuamua kuiwekea vikwazo Zimbabwe'(Targeted sanctions), kumezua tafrani katika bara la Africa, hasa katika nchi za SADC.

Nimejaribu kufikiria sana ili niweze kujiridhisha kama kweli waafrika tunapaswa kulalamika na wengine hata kufikia hatua ya kuzitishia hizi nchi, lakini sijapata sababu yoyote ya msingi.

Hakuna sheria yoyote katika umoja wa kimataifa inayolazimisha nchi kufanya biashara au kuwa na mahusiano ya kidiplomasia na nchi yoyote, hayo ni maamuzi ya nchi wenyewe, UK na USA wameamua kukata mahusiano ya kibiashara na kidiplomasia na Zimbabwe, sasa sisi nchi zingine tunahusikaje katika hilo hata tuanze kutoa vitisho?.

Wakati wa ukombozi kusini mwa Africa, nchi nyingi za Ulaya ziliamua kukata uhusiano na Tanzania, na zingine kama vile Ujerumani Magharibi na Uingereza, Nyerere alizifukuza na kuwarudishia baadhi ya pesa zao ambazo walizitoa kama misaada, kutokana na kutoelewana, kwanini Nyerere hakulalamika na kuwaambia waondoe vikwazo vyao.

Kwangu mimi ninaona hatua hii ya kuwalalamikia ili waondoe vikwazo, ni dalili ya udhahifu mkubwa wa nchi za Afrika, hii ni dalili kwamba, bila hizi nchi, Africa haiwezi kufanya lolote lile, kubwa ninaloliona ni kwamba uchumi wa nchi za Afrika unategemea sana wazungu.

Badala ya kutoa vitisho ambavyo ninajua wala haviwezi kuwatikisa hawa wakubwa, bora tungegangamala kama alivyofanya Nyerere ili kupunguza hathari ya vikwazo kwa Zimbabwe, au tungekuwa wanyonge na kuwaomba kwa upole ili waviondoe.

Kweli kabisa. Kwani Africa wakijiunga na kufanya biashara na Zimbabwe na kupuuza nchi za magaharibi si bora zaudi badala ya kulalamikia mabeberu? Africa sijui tuna matatizo gani kila kitu mpaka tuwapigie magoti mabeberu!
 
Bro USA sanctions=UN (approximately worldwide sanctions ).
Kaka Kumbuka Iran ameekewa vikwazo na USA lakin anateseka sasa hv.
Jua ya kwamba USA akiweka vikwazo ujue ni vikwazo vya UN.
Na hususan mataifa washirika wa USA hawatoweza kushirikiana na hilo taifa husika na ndivyo inavyokua vikwazo vyake USA.
Sisi tutashirikiana nao ktk biashara mbali mbali ila kumbuka soko la dunia wameliteka wao mabeberu na kuna mambo muhimu twayapata kwao.
Sisi bado hatujaweza kusimama wenyewe tusijidanganye kaka.

Kitendo cha UK & USA kuamua kuiwekea vikwazo Zimbabwe'(Targeted sanctions), kumezua tafrani katika bara la Africa, hasa katika nchi za SADC.

Nimejaribu kufikiria sana ili niweze kujiridhisha kama kweli waafrika tunapaswa kulalamika na wengine hata kufikia hatua ya kuzitishia hizi nchi, lakini sijapata sababu yoyote ya msingi.

Hakuna sheria yoyote katika umoja wa kimataifa inayolazimisha nchi kufanya biashara au kuwa na mahusiano ya kidiplomasia na nchi yoyote, hayo ni maamuzi ya nchi wenyewe, UK na USA wameamua kukata mahusiano ya kibiashara na kidiplomasia na Zimbabwe, sasa sisi nchi zingine tunahusikaje katika hilo hata tuanze kutoa vitisho?.

Wakati wa ukombozi kusini mwa Africa, nchi nyingi za Ulaya ziliamua kukata uhusiano na Tanzania, na zingine kama vile Ujerumani Magharibi na Uingereza, Nyerere alizifukuza na kuwarudishia baadhi ya pesa zao ambazo walizitoa kama misaada, kutokana na kutoelewana, kwanini Nyerere hakulalamika na kuwaambia waondoe vikwazo vyao.

Kwangu mimi ninaona hatua hii ya kuwalalamikia ili waondoe vikwazo, ni dalili ya udhahifu mkubwa wa nchi za Afrika, hii ni dalili kwamba, bila hizi nchi, Africa haiwezi kufanya lolote lile, kubwa ninaloliona ni kwamba uchumi wa nchi za Afrika unategemea sana wazungu.

Badala ya kutoa vitisho ambavyo ninajua wala haviwezi kuwatikisa hawa wakubwa, bora tungegangamala kama alivyofanya Nyerere ili kupunguza hathari ya vikwazo kwa Zimbabwe, au tungekuwa wanyonge na kuwaomba kwa upole ili waviondoe.
 
Shida ni mentality yetu
Tunajifanya mdomoni tunaweza wenyewe lakini hatupo tayar kutoa jasho
Angalia nchi kama Cuba iliwekewa vikwazo tena vikubwa kuliko Zimbabwe lakini inasonga hadi inatoa misaada kwetu Afrika.
Wengine wanahubiri ujamaa na kujiita wajamaa wakati watoto wao wanasoma feza, ist na kwa mabeburu wenyewe sijui hawajui maana ya ujamaa au nin.
Afrika shida ni viongozi na mifumo ya kupata hao viongozi
 
Bro USA sanctions=UN (approximately worldwide sanctions ).
Kaka Kumbuka Iran ameekewa vikwazo na USA lakin anateseka sasa hv.
Jua ya kwamba USA akiweka vikwazo ujue ni vikwazo vya UN.
Na hususan mataifa washirika wa USA hawatoweza kushirikiana na hilo taifa husika na ndivyo inavyokua vikwazo vyake USA.
Sisi tutashirikiana nao ktk biashara mbali mbali ila kumbuka soko la dunia wameliteka wao mabeberu na kuna mambo muhimu twayapata kwao.
Sisi bado hatujaweza kusimama wenyewe tusijidanganye kaka.
Sasa UK & USA wamefanya kosa gani kwa kutumia uwezo wao wa kiuchumi katika "bargaining"?, wao wanataka Zimbabwe irekebishe Sera yake ya ardhi dhidi ya wazungu, na kuacha kukandamiza haki za binadamu.

Zimbabwe imepewa masharti ya kutimiza kama inataka kuwa na mahusiano ya kidiplomasia na biashara na hizo nchi. Haiwezikani kwamba ni haki kwa Zimbabwe kuamua vyovyote ipendavyo, lakini sio haki kwa UK & USA kuamua wapendavyo.

Faida kubwa ya kuwa na uchumi imara, ni kukupa Uhuru katika maamuzi ya mambo yako maishani, kadri unavyozidi kuwa masikini, Uhuru huo unaupiteza, labda uamue kuwa masikini jeuri kama Nyerere na Fidel Castro, haiwezikani upate vyote.
 
Kaka hatujaelewana.
UK na USA wao kwasababu ndio victorious wa UN wataweka sheria kwa matakwa yao ili wapate watakayo.
Asa km vikwazo basi vingeishia UK na USA.
Ila hawa jamaa wakiweka vikwazo wanakuwekea vikwazo worldwide.
Pengine labda hujawajua hawa jamaa.
Rejelea Iran,Iran alikuwa anataka aongoze extraction of petroleum mwenyewe USA kuona hvyo wakawawekea vikwazo Iran.
Inamaa hawa mabeberu wanatumia ubabe.
Kwasababu kama wametumia uhuru wa uchumi wao basi hawapaswi kugusa mataifa yote ila wao wanagusa mataifa yote.
Kiufupi kisa cha Mugabe kuwapokonya ardhi wazungu Zimbabwe imeharibiwa soko worldwide.
Labda haukukijua hiko.
Hata Cuba alifanywa hvyo hvyo na Iran anafanyiwa hvyo hvyo.
USA wanafanya makosa kwasababu wanatumia sheria za mabavu km kumuwekea vkwazo viishie nchini mwao sio kumuharibia soko mwenzio kidunia.
Kama tunataka tusimame basi tuwe kama China lasivyo kazi bure.
Sasa UK & USA wamefanya kosa gani kwa kutumia uwezo wao wa kiuchumi katika "bargaining"?, wao wanataka Zimbabwe irekebishe Sera yake ya ardhi dhidi ya wazungu, na kuacha kukandamiza haki za binadamu.

Zimbabwe imepewa masharti ya kutimiza kama inataka kuwa na mahusiano ya kidiplomasia na biashara na hizo nchi. Haiwezikani kwamba ni haki kwa Zimbabwe kuamua vyovyote ipendavyo, lakini sio haki kwa UK & USA kuamua wapendavyo.

Faida kubwa ya kuwa na uchumi imara, ni kukupa Uhuru katika maamuzi ya mambo yako maishani, kadri unavyozidi kuwa masikini, Uhuru huo unaupiteza, labda uamue kuwa masikini jeuri kama Nyerere na Fidel Castro, haiwezikani upate vyote.
 
Kaka hatujaelewana.
UK na USA wao kwasababu ndio victorious wa UN wataweka sheria kwa matakwa yao ili wapate watakayo.
Asa km vikwazo basi vingeishia UK na USA.
Ila hawa jamaa wakiweka vikwazo wanakuwekea vikwazo worldwide.
Pengine labda hujawajua hawa jamaa.
Rejelea Iran,Iran alikuwa anataka aongoze extraction of petroleum mwenyewe USA kuona hvyo wakawawekea vikwazo Iran.
Inamaa hawa mabeberu wanatumia ubabe.
Kwasababu kama wametumia uhuru wa uchumi wao basi hawapaswi kugusa mataifa yote ila wao wanagusa mataifa yote.
Kiufupi kisa cha Mugabe kuwapokonya ardhi wazungu Zimbabwe imeharibiwa soko worldwide.
Labda haukukijua hiko.
Hata Cuba alifanywa hvyo hvyo na Iran anafanyiwa hvyo hvyo.
USA wanafanya makosa kwasababu wanatumia sheria za mabavu km kumuwekea vkwazo viishie nchini mwao sio kumuharibia soko mwenzio kidunia.
Kama tunataka tusimame basi tuwe kama China lasivyo kazi bure.
Hapo unakosea sana kaka, wanachofanya sio kosa kabisa, wala hawashawishi nchi yoyote ile duniani, wao wanachofanya ni kutumia uchumi wao katika kushinikiza matakwa yao bila kuvunja sheria.

Marekani kwasababu ya uchumi wake mkubwa ndio sababu unahisi anashawishi dunia. Maana ya vikwazo vya biashara na uchumi ni kukata mahusiano yote ya biashara na uchumi na nchi au mtu husika " Directly or indirectly ".

"Inderectly" ni kuacha kufanya biashara na nchi au Kampuni yoyote inayofanya Kazi na hiyo nchi, huko sio kushawishi nchi zingine, hivyo ndio maana ya vikwazo. Sasa kama US inaiwekea vikwazo IRAN, lakini IRAN inafanya Biashara na Ufaransa, maana yake Iran utaendelea kufanya biashara na USA kupitia France, sasa hivyo ni vikwazo gani?.

Nguvu za uchumi wa USA ndio zinazofanya nchi zingine zikatae kufanya biashara na IRAN kwa kuogopa kutengwa na USA, mbona nchi za Ulaya zimekataa kuiwekea vikwazo IRAN, lakini kwasababu uchumi wao ni mdogo, bado athari za vikwazo kwa Iran ni kubwa.

Muhimu hapa ni uchumi, ukigombana na tajiri hapo mtaani kwenu, jiandae kutengwa na majirani zako, sio kwamba atawashawishi, ila kila mmoja ataogopa kuwa mbali na tajiri.
 
Mkuu bado hatuelewani.
USA anapokuwekea vikwazo anashinikiza hadi mataifa mengine dhidi yako.
Mathalan Iran alivyowekewa vikwazo na USA hadi yale mataifa washirika wa USA walishinikizwa wasifanye biashara na Iran ikiwemo hadi France uliyoitaja.
Ila UK ndio ikagoma na kukataa.
Hata uuzaji wa mafuta mataifa dunian yamekatazwa kununua mafuta ya Iran isipokuwa mataifa yanayojiweza kama China na Russia ndio yananunua kwa Iran. Na bado US anakinzana na China kwann anafanya biashara na Iran ilhali yeye ameiwekea vikwazo.
Hapo nadhani utaelewa kuwa USA ni muonevu na mbabe na hiyo siyo sawa.
Hata Cuba ilivyowekewa vikwazo mataifa ya magharib yalishinikizwa kutokushirikiana na Cuba isipokuwa China giant ndiye aliyekua akiiinua Cuba in many aspects na sasa ndivyo anavyofanya kwa Iran.
Huo ni ukosefu na uonevu tayari .
Ndio maana nikasema hv US akikuwekea vikwazo anakutibulia international affairs generally ikiwemo na soko la dunia kaka.
IRAN HANA UCHUMI MDOGO.Iran ana uchumi mkubwa hakuna taifa hapa Africa linalolifikia Iran kwa uchumi mkubwa.
Na iran ilikua nchi ya 37 ana 38 km sikosei ktk mataifa yenye uchumi mkubwa.
Ila kuchafuliwa soko kidunia kunamuangusha kaka.
Kumbuka hata mfano uliotolea si wote watakuwa upande wa tajiri.Wapo wapenda haki watasimama na yule masikini japo kuna kitu kunaitwa fitina zinaweza tokea.Asa ndicho anachofanya USA.
Ndio maana nikasema tukitaka tusimame wenyewe tuwe km vietnam ama China tuanze mapemaaa utegemezi.
USA ni mbabe na mwonevu hakuna taifa lisilojua kaka.
Hapo unakosea sana kaka, wanachofanya sio kosa kabisa, wala hawashawishi nchi yoyote ile duniani, wao wanachofanya ni kutumia uchumi wao katika kushinikiza matakwa yao bila kuvunja sheria.

Marekani kwasababu ya uchumi wake mkubwa ndio sababu unahisi anashawishi dunia. Maana ya vikwazo vya biashara na uchumi ni kukata mahusiano yote ya biashara na uchumi na nchi au mtu husika " Directly or indirectly ".

"Inderectly" ni kuacha kufanya biashara na nchi au Kampuni yoyote inayofanya Kazi na hiyo nchi, huko sio kushawishi nchi zingine, hivyo ndio maana ya vikwazo. Sasa kama US inaiwekea vikwazo IRAN, lakini IRAN inafanya Biashara na Ufaransa, maana yake Iran utaendelea kufanya biashara na USA kupitia France, sasa hivyo ni vikwazo gani?.

Nguvu za uchumi wa USA ndio zinazofanya nchi zingine zikatae kufanya biashara na IRAN kwa kuogopa kutengwa na USA, mbona nchi za Ulaya zimekataa kuiwekea vikwazo IRAN, lakini kwasababu uchumi wao ni mdogo, bado athari za vikwazo kwa Iran ni kubwa.

Muhimu hapa ni uchumi, ukigombana na tajiri hapo mtaani kwenu, jiandae kutengwa na majirani zako, sio kwamba atawashawishi, ila kila mmoja ataogopa kuwa mbali na tajiri.
 
Mkuu bado hatuelewani.
USA anapokuwekea vikwazo anashinikiza hadi mataifa mengine dhidi yako.
Mathalan Iran alivyowekewa vikwazo na USA hadi yale mataifa washirika wa USA walishinikizwa wasifanye biashara na Iran ikiwemo hadi France uliyoitaja.
Ila UK ndio ikagoma na kukataa.
Hata uuzaji wa mafuta mataifa dunian yamekatazwa kununua mafuta ya Iran isipokuwa mataifa yanayojiweza kama China na Russia ndio yananunua kwa Iran. Na bado US anakinzana na China kwann anafanya biashara na Iran ilhali yeye ameiwekea vikwazo.
Hapo nadhani utaelewa kuwa USA ni muonevu na mbabe na hiyo siyo sawa.
Hata Cuba ilivyowekewa vikwazo mataifa ya magharib yalishinikizwa kutokushirikiana na Cuba isipokuwa China giant ndiye aliyekua akiiinua Cuba in many aspects na sasa ndivyo anavyofanya kwa Iran.
Huo ni ukosefu na uonevu tayari .
Ndio maana nikasema hv US akikuwekea vikwazo anakutibulia international affairs generally ikiwemo na soko la dunia kaka.
IRAN HANA UCHUMI MDOGO.Iran ana uchumi mkubwa hakuna taifa hapa Africa linalolifikia Iran kwa uchumi mkubwa.
Na iran ilikua nchi ya 37 ana 38 km sikosei ktk mataifa yenye uchumi mkubwa.
Ila kuchafuliwa soko kidunia kunamuangusha kaka.
Kumbuka hata mfano uliotolea si wote watakuwa upande wa tajiri.Wapo wapenda haki watasimama na yule masikini japo kuna kitu kunaitwa fitina zinaweza tokea.Asa ndicho anachofanya USA.
Ndio maana nikasema tukitaka tusimame wenyewe tuwe km vietnam ama China tuanze mapemaaa utegemezi.
USA ni mbabe na mwonevu hakuna taifa lisilojua kaka.
Kaka sio kweli kabisa unayozungumza kuhusu vikwazo vya Iran. Baada ya Iran na mataifa ya Ulaya na Marekani kukubaliana mkataba wa "Nuclear" ktk kipindi cha Obama, nchi zote zilitekeleza Mkataba huo ikiwemo Marekani, Trump alipoingia madarakani US ilijitoa katika mkataba ila nchi zingine zote za Ulaya zilibaki na ziliahidi kuisaidia IRAN ili kupambana na vikwazo vya Marekani.

Kama nilivyokuambia kwamba uchumi wa hizi nchi ni mdogo sana ukilinganisha na USA, kwahiyo makampuni yote duniani yakiwemo yale ya Europe, China na Russia yanaogopa kupiteza soko la Marekani, kwahiyo pamoja na kuhakikishiwa na nchi zao kuendeleza biashara na Iran, lakini yaneacha kwa kuogopa kutengwa na Marekani.

Marekani anapoweka vikwazo, anatumia sheria zile zile zinazotumiwa na nchi zote duniani, kwamba kila anayeshirikiana na nchi au mtu aliyewekewa vikwazo, yeye pia anaingia katika hivyo vikwazo.

Hakuna nchi hata moja ya Ulaya iliyoungana na Marekani ktk kuiwekea vikwazo Iran, na wala Marekani hashawishi nchi yoyote kuiwekea vikwazo Iran, ila nchi yoyote au kampuni yoyote itakayofanya biashara na Iran, itakumbana na vikwazo vya Marekani, huo sio ushawishi, bila ndivyo vikwazo vinavyotekelezwa.
 
Kaka sio kweli kabisa unayozungumza kuhusu vikwazo vya Iran. Baada ya Iran na mataifa ya Ulaya na Marekani kukubaliana mkataba wa "Nuclear" ktk kipindi cha Obama, nchi zote zilitekeleza Mkataba huo ikiwemo Marekani, Trump alipoingia madarakani US ilijitoa katika mkataba ila nchi zingine zote za Ulaya zilibaki na ziliahidi kuisaidia IRAN ili kupambana na vikwazo vya Marekani.

Kama nilivyokuambia kwamba uchumi wa hizi nchi ni mdogo sana ukilinganisha na USA, kwahiyo makampuni yote duniani yakiwemo yale ya Europe, China na Russia yanaogopa kupiteza soko la Marekani, kwahiyo pamoja na kuhakikishiwa na nchi zao kuendeleza biashara na Iran, lakini yaneacha kwa kuogopa kutengwa na Marekani.

Marekani anapoweka vikwazo, anatumia sheria zile zile zinazotumiwa na nchi zote duniani, kwamba kila anayeshirikiana na nchi au mtu aliyewekewa vikwazo, yeye pia anaingia katika hivyo vikwazo.

Hakuna nchi hata moja ya Ulaya iliyoungana na Marekani ktk kuiwekea vikwazo Iran, na wala Marekani hashawishi nchi yoyote kuiwekea vikwazo Iran, ila nchi yoyote au kampuni yoyote itakayofanya biashara na Iran, itakumbana na vikwazo vya Marekani, huo sio ushawishi, bila ndivyo vikwazo vinavyotekelezwa.
Mkuu ebu uwe unafuatilia mambo.
CHINA NI TAIFA KUBWA BADO LINAFANYA BIASHARA NA IRAN LICHA YA USA KUKATAZA.
MATAIFA YOTE YAMEKATAZWA NA USA YASIFANYE BIASHARA NA IRAN.
USIBISHE KAKA.
UNAKUMBUKA KWANN MELI YA IRAN ILIKAMATWA NA UK.?
UNAKUMBUKA KM USA ALIISHINIKIZA MATAIFA YA ULAYA YAKAMATE MELI YA IRAN IKISHAACHIWA?
JE UNAJUA KUWA USA ILITISHIA KUVUNJA MKATABA WA NATO BAADA YA UK KUGOMA KUISHINIKIZA IRAN KM USA ANAVYOTAKA??
JIJIBU HAYO MASWALI UTAJUA UNAKATAA UKWELI .
CHINA NA RUSSIA NI MATAIFA AMBAYO NDIO YANAFANYA BIASHARA NA IRAN LICHA YA USA KUKATAZA.
MM NAZUNGUMZIA KIPINDI HIKI CHA TRUMP NAJUA KABISA KUWA IRAN HAIKUWA NA VIKWAZO VIKALI KIPINDI CHA OBAMA.
HAKUNA SHERIA INAYOSEMA KUWA TAIFA LOLOTE LIKIIWEKEA VIKWAZO TAIFA LINGINE BASI MATAIFA MENGINE HAYARUHUSIWI KUSHIRIKIANA NA HILO TAIFA.
ILA HIYO SHERIA ANAITUMIA USA PEKE YAKE.
WE UMEONA WAPI KAKA??
HAYO NI MABAVU MAZEH.
Na mm ninazungumzia ubabe sio ushawishi.
USA anatumia ubabe sio ushawishi.
Km unaweka vikwazo kwa Iran basi iwe ww na Iran basi.
Eti kisa hauchezi na mm uwe unampiga kila ninayecheza naye.
 
Mkuu ebu uwe unafuatilia mambo.
CHINA NI TAIFA KUBWA BADO LINAFANYA BIASHARA NA IRAN LICHA YA USA KUKATAZA.
MATAIFA YOTE YAMEKATAZWA NA USA YASIFANYE BIASHARA NA IRAN.
USIBISHE KAKA.
UNAKUMBUKA KWANN MELI YA IRAN ILIKAMATWA NA UK.?
UNAKUMBUKA KM USA ALIISHINIKIZA MATAIFA YA ULAYA YAKAMATE MELI YA IRAN IKISHAACHIWA?
JE UNAJUA KUWA USA ILITISHIA KUVUNJA MKATABA WA NATO BAADA YA UK KUGOMA KUISHINIKIZA IRAN KM USA ANAVYOTAKA??
JIJIBU HAYO MASWALI UTAJUA UNAKATAA UKWELI .
CHINA NA RUSSIA NI MATAIFA AMBAYO NDIO YANAFANYA BIASHARA NA IRAN LICHA YA USA KUKATAZA.
MM NAZUNGUMZIA KIPINDI HIKI CHA TRUMP NAJUA KABISA KUWA IRAN HAIKUWA NA VIKWAZO VIKALI KIPINDI CHA OBAMA.
HAKUNA SHERIA INAYOSEMA KUWA TAIFA LOLOTE LIKIIWEKEA VIKWAZO TAIFA LINGINE BASI MATAIFA MENGINE HAYARUHUSIWI KUSHIRIKIANA NA HILO TAIFA.
ILA HIYO SHERIA ANAITUMIA USA PEKE YAKE.
WE UMEONA WAPI KAKA??
HAYO NI MABAVU MAZEH.
Na mm ninazungumzia ubabe sio ushawishi.
USA anatumia ubabe sio ushawishi.
Km unaweka vikwazo kwa Iran basi iwe ww na Iran basi.
Eti kisa hauchezi na mm uwe unampiga kila ninayecheza naye.
Kaka, kumbuka yanayofanya biashara ni makampuni sio nchi, makampuni ya China na Urusi karibu yote yamesitisha biashara na Iran kwa kuogopa vikwazo vya Marekani. Kumbuka marekani iliruhusu nchi za India, China na Japan kuendeleza biashara kwa muda wa miezi sita, muda ulipoisha, makampuni yote ya China yaliacha.

Kama makampuni ya China na Urusi yangeendelea kufanya biashara na Iran kama unavyodai wewe, basi Iran isingehitaji chochote toka Marekani, wala hivyo vikwazo visingekuwa na athari yoyote kwa Iran.

Sasa hivi Iran inauza mafuta yake kwa siri sana, ndio sababu ile meli iliyokamatwa na Waingereza, ni kwasababu waingereza waliokuwa na wasiwasi kwamba inaelekea Syria kuwauzia ISIS, kumbuka ISIS ni kundi la kigaidi lilowekewa vikwazo na UN, baada ya Iran kuthibitisha kwamba ilikua haiendi huko, iliachiwa.

Kaka una taarifa yoyote ya mauzo ya mafuta, au biashara yoyote kati ya Iran na China baada ya ule muda uliotolewa na USA kwa China, India na Japan?.

Iran ilikodesha mantank Mengi sana ya kuhifadhi mafuta yao ndani ya China, kama mikakati ya kibiashara na Ulinzi, kwahiyo huwa meli za Iran hupeleka na kuhifadhi katika hayo mantank huko China. Marekani wameweka watu kufiatilia ni kampuni gani inayonunua hayo mafuta, hivi tynavyizungumza, hayo mafuta yananunuliwa na North Korea pekee.
 
Dah kaka hata ISIS huwafaham.
ISIS ni kundi linalotumiwa na US mzee.
UK iliikamata meli ya Iran kwa kusingizia kuwa hyo meli imeingia western marines kimakosa na imekatazwa kufanya bishara.
Na mafuta wala hayakua yakienda Syria.
Maana Syria ilishaachwa yani umbali wa UK na Syria wapi na wapi kaka ilhali meli imekamatiwa maeneo ya Gablattar???
Na baada ya hapo Iran ikaiteka meli ya UK ilokatiza strait of homuz wakakubaliana kila mtu aachie meli ya mwenzake.UK akakubali lakini USA akashinikiza ishikiliwe km ikiachiwa taifa lolote iikamate.
Iran hana analolitaka kwa USA miaka nenda miaka rudi.
Iran baada ya USA kujitoa ktk mkataba ama makubaliano ya JCPOA US alimshinikiza Iran akae nae mezani ila Hassan Rouhani amesema hatakaa na mtu yeyote ima US irudi JCPOA ama ipunguze vikwazo.
Iran ina miaka takriban 40 ina vikwazo vya USA toka mwaka 1979 na USA anataka kufanya regime change abadilishe uongozi wa kishia apandikize uongozi wake.
Asa kama haujui VLADIMIR PUTIN ANAUZA SILAHA NA TEKNOLOJIA YA SILAHA IRAN IKIWEMO CHINA SERIKALI YAKE INANUNUA MAFUTA NA INAUZA SILAHA IRAN.
JE HILO JAMBO DOGO???
KAKA CHINA NA URUSI NDIO RIVAL WA USA YANI WAKIDINDA USA HANA CHA KUFANYA.
REJELEA MGOGORO WA SOUTH CHINA SEA USA ILIPELEKA BATTLE SHIP ZAKE WAKISEMA CHINA IACHIE UKANDA WA SOUTH CHINA SEA UWE FREE FOR INTERNATIONAL NAVIGATIONS LAKINI ALICHOTISHWA USA HAKUTHUBUTU KUBAKI.
USIMCHUKULIE CHINA NA USA POA WANA UBAVU KAKA.


Despite sanctions, China is still doing (some) business with Iran

The relationship between China and Iran goes back thousands of years, but has come under greater scrutiny since the United States withdrew from the Joint Comprehensive Plan of Action (JCPOA). The US re-imposition of sanctions on Tehran has many worried that China would provide Iran an economic lifeline, as it did in the lead-up to the JCPOA. On September 25, the US blacklisted Chinese companies for importing Iranian oil in violation of US sanctions for the second time in three months, seemingly confirming these concerns. With that in mind, how much has China helped Iran since the US withdrawal?
Since the US pull out from the JCPOA in May 2018, China has continuously declared its intention to uphold the deal and protested Washington’s unilateral actions. It even said it will continue trading with Iran, even though it would be susceptible to US sanctions.
That being said, the most important aspect of the China-Iran relationship is Beijing’s oil imports. From 2017 through September 2018, China imported at least 630,000 barrels per day (bpd) from Iran. In anticipation of the US reintroducing sanctions on Iran’s oil sector in November 2018, China reduced its purchases of Iranian oil by about two thirds in October.
Days after the reintroduction of oil sanctions, the US
announced that eight countries—including China—were receiving waivers allowing them to purchase Iranian oil for 180 days. China’s waiver reportedly allowed it to import 360,000 bpd, but Beijing resumed imports of at least
390,000 bpd in November. By March, China was importing over
613,000 bpd and in April its imports reached 800,000 bpd or more as the waiver period came to a close.
After the waivers expired in May, China stopped importing Iranian oil at first, but soon resumed taking shipments. Reports suggest that China imported between 163,000 –
186,000 bpd in June, 101,000 – 226,000 bpd in July, and
105,000 – 186,000 bpd in August.
Data presented is the monthly average of open-source reports of China’s imports. Sources include Reuters, TankerTrackers.com, Bloomberg, Refinitiv, and others.
*Sanctions on the Iranian oil sector are re-imposed; China is granted a sanctions waiver.
** Sanctions waivers expire.
While the blacklisting of Chinese companies proves that at least some of China’s oil imports violated sanctions, it’s ambiguous how much of the imports were violations. For example, the waiver volume supposedly does not include oil that Chinese state-owned Sinopec and China National Petroleum Company (CNPC) are entitled to as part of investment deals dating to 2016 and earlier.
Another reason is that it’s unclear whether the more than twenty billion barrels of Iranian oil sitting in bonded storage in China violates sanctions. Most of this oil has not passed through local customs and is still owned by Iran, leading some to believe it’s not a violation. It’s also possible that Chinese imports are higher than public estimates, as Iranian and Chinese tankers have tried to evade sanctions by turning off their location transponders and changing their names for example.
It’s worth noting that bilateral trade has also fallen drastically. Chinese imports of Iranian goods fell almost 70 percent from October to December 2018. Between October 2018 and February 2019, Chinese exports to Iran dropped from $1.2 billion to $428 million. While bilateral trade did
increase leading up to the oil waiver’s expiration, it cooled


HABARI HII HAPA INAELEZEA LICHA YA VIKWAZO BADO CHINA INAFANYA BIASHARA NA IRAN.
isome hiyo article vema kaka utatambua kuwa China sio kipolepole.
Kaka, kumbuka yanayofanya biashara ni makampuni sio nchi, makampuni ya China na Urusi karibu yote yamesitisha biashara na Iran kwa kuogopa vikwazo vya Marekani. Kumbuka marekani iliruhusu nchi za India, China na Japan kuendeleza biashara kwa muda wa miezi sita, muda ulipoisha, makampuni yote ya China yaliacha.

Kama makampuni ya China na Urusi yangeendelea kufanya biashara na Iran kama unavyodai wewe, basi Iran isingehitaji chochote toka Marekani, wala hivyo vikwazo visingekuwa na athari yoyote kwa Iran.

Sasa hivi Iran inauza mafuta yake kwa siri sana, ndio sababu ile meli iliyokamatwa na Waingereza, ni kwasababu waingereza waliokuwa na wasiwasi kwamba inaelekea Syria kuwauzia ISIS, kumbuka ISIS ni kundi la kigaidi lilowekewa vikwazo na UN, baada ya Iran kuthibitisha kwamba ilikua haiendi huko, iliachiwa.

Kaka una taarifa yoyote ya mauzo ya mafuta, au biashara yoyote kati ya Iran na China baada ya ule muda uliotolewa na USA kwa China, India na Japan?.

Iran ilikodesha mantank Mengi sana ya kuhifadhi mafuta yao ndani ya China, kama mikakati ya kibiashara na Ulinzi, kwahiyo huwa meli za Iran hupeleka na kuhifadhi katika hayo mantank huko China. Marekani wameweka watu kufiatilia ni kampuni gani inayonunua hayo mafuta, hivi tynavyizungumza, hayo mafuta yananunuliwa na North Korea pekee.
 
Back
Top Bottom